Za jioni wadau
Naomba msaada wenu mimi nina diploma ya pharmacy nimemaliza mwaka jana nikataka kuendelea mwaka huu lakini nilikosa awamu zota tatu.
Likaja dirisha la huruma la awamu ya nne kwakuwa nilikuwa na cheti cha form six nikajaribu kuombea nacho pale ardhi (nilifanya kama kujaribu tuu sikuwa na maanisha)na nikatumia na kile cha diploma.
Lakini cha ajabu nimepata pale ardhi course inaitwa land management and evaluation na huku nilipo omba degree ya pharmacy nimekosa kote.
Sasa naomba ushauri niende nikasome huko au nibaki tuu na hiki cheti changu cha diploma
Naomba msaada wenu mimi nina diploma ya pharmacy nimemaliza mwaka jana nikataka kuendelea mwaka huu lakini nilikosa awamu zota tatu.
Likaja dirisha la huruma la awamu ya nne kwakuwa nilikuwa na cheti cha form six nikajaribu kuombea nacho pale ardhi (nilifanya kama kujaribu tuu sikuwa na maanisha)na nikatumia na kile cha diploma.
Lakini cha ajabu nimepata pale ardhi course inaitwa land management and evaluation na huku nilipo omba degree ya pharmacy nimekosa kote.
Sasa naomba ushauri niende nikasome huko au nibaki tuu na hiki cheti changu cha diploma