music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 441
- 758
Amemaliza kidato cha 4.
Akachaguliwa kozi ya ualimu ngazi ya cheti.
Alisoma arts ana ufaulu wa division 3.
Ameshindwa kuendelea na diploma ya education kwa sababu utaratibu hauruhusu.
Anataka kusoma Diploma ya kitu kingine lakini hajui asomee nini.
Hivyo anahitaji ushauri wa kusoma kozi itayomfaa kwa chuo chochote ngazi ya diploma.
Nisaidieni ushauri maana mimi sielewi vizuri kozi nzuri itayomfaa.
NB: ni yatima amepata mtu wa kumfadhili.
Akachaguliwa kozi ya ualimu ngazi ya cheti.
Alisoma arts ana ufaulu wa division 3.
Ameshindwa kuendelea na diploma ya education kwa sababu utaratibu hauruhusu.
Anataka kusoma Diploma ya kitu kingine lakini hajui asomee nini.
Hivyo anahitaji ushauri wa kusoma kozi itayomfaa kwa chuo chochote ngazi ya diploma.
Nisaidieni ushauri maana mimi sielewi vizuri kozi nzuri itayomfaa.
NB: ni yatima amepata mtu wa kumfadhili.