Sasa hivi watu wanamuacha Mungu, wanabishana kuhusu dini ya kweli.
Kuishi Mungu anavyotaka ni rahisi sana, fuata amri 10 alizotupatia Musa hapo utaishi vizuri kabisa.
Achana na hizi dini maana dini ni biashara za watu, ukifuata sana dini utamuacha Mungu.
Vitabu vipo tusome tuelewe na sio...