Tukiandikiwa dawa mfano na Daktari, tunavoenda kununua pharmacy za nje ya hospital zile bei tunaziaminije?
Maana hakunaga bei elekezi ya madawa, au reference ya bei, just kumpa kikaratasi cha madawa na muuzaji anakuambia jumla elfu kadhaa.
Vipi kama kila dawa anaongeza bei flani? Ilitakiwa...