Habari!?
Eeeeh bwana eeeh, nimeteseka sana aisee.
Nimesumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka 10.
Katika kipindi hicho chote nimetumia dawa nyingi sana, kuanzia dawa za hospitali mpaka dawa za asili. Dawa zote zilishindwa kunisaidia.
Hivi karibuni nilikutana na jamaa...