Mimi ni mwalimu kutoka tarafa ya Mlola, Lushoto DC.
Mkurugenzi Mtendaji Lushoto DC tunaomba utusaidie walimu tulioandika barua za kujitoa CWT na kuhamia CHAKUHAWATA, ofisi ya utumishi inasuasua kushughulikia barua zetu kwa zaidi ya miezi tisa sasa licha ya kufuatilia mara nyingi tangu mwezi...