Wake kwa Waume habari zenu.
Hivi benki gani ambayo haifanyi kazi kuanzia ALHAMISI, IJUMAA, JUMAMOSI NA Hakuna uhakika pia kama itafanya kazi Jumatatu. Hii ni Pemba yote, Unguja na hata mikoa ya bara pia tatizo ni hilohilo
Yaani huduma kupitia mitandao ya simu kawaida haifanyi kazi, kwa kutumia...