comments

A Request for Comments (RFC) is a publication from the Internet Society (ISOC) and its associated bodies, most prominently the Internet Engineering Task Force (IETF), the principal technical development and standards-setting bodies for the Internet.
An RFC is authored by individuals or groups of engineers and computer scientists in the form of a memorandum describing methods, behaviors, research, or innovations applicable to the working of the Internet and Internet-connected systems. It is submitted either for peer review or to convey new concepts, information, or occasional engineering humor. The IETF adopts some of the proposals published as RFCs as Internet Standards. However, many RFCs are informational or experimental in nature and are not standards. The RFC system was invented by Steve Crocker in 1969 to help record unofficial notes on the development of ARPANET. RFCs have since become official documents of Internet specifications, communications protocols, procedures, and events. According to Crocker, the documents "shape the Internet's inner workings and have played a significant role in its success," but are not well known outside the community.Requests for Comments are produced in non-reflowable text format, but work has begun to change the format so that documents can be viewed optimally in devices with varying display sizes.Outside of the Internet community, other documents also called requests for comments have been published in U.S. Federal government work, such as the National Highway Traffic Safety Administration.

View More On Wikipedia.org
  1. Traxtion

    Watanzania mnamchukia sana Samia. Sio kwa hizi comments dah...

    Leo katika pitapita zangu mitandaoni nikaingia page ya Millard Ayo kuangalia post za hizi siku mbili tatu. Aisee watu mnamchukia Samia sio poa, yani watu wanakasirika kabisa kuona habari za Samia. Dah . . . . . . Huku nako naona habari Shilole amepata ajali, gari alilopanda limegonga ng'ombe...
  2. M

    PostGE2025 Hata wapinzani wanafunga comments? John Mrema vipi?

    Jon mrema amefunga comments ktk Twitter ktk account yake. Kaandika mambo mengi lkn ukitaka kukoment amezuia. Hata wapinzani wa ccm wanafunga comments?
  3. D

    Kama Ikulu, Polisi na Idara zote za Serikali zinafunga “comments”, basi Umma umeshinda

    Kama kuanzia huyo “Rais” mwenyewe na Ikulu yake wakichapisha chochote mtandaoni wanafunga comments, maana yake Umma umeshinda. Jeshi la Polisi, Idara, viongozi binafsi na taasisi zote ambazo zinalalamikiwa kwa dhulma na maovu pia wanafunga comments, kuanzia Msemaji wa Serikali hadi akina...
  4. Analogia Malenga

    Msigwa amepost na kuomba comment ziwe fupifupi ila kafunga comments

  5. Kiranja Mkuu

    Chumbani kwa Mshana Jr, comments ziwe fupifupi tafaadhali.

    Haa ndipo Mshana Jr anapojipimzisha baada ya KAZI ngumu ya tunguri na manyanga
  6. Kipenzi Changu

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida, aachia comments kujadili suala la Humphrey Polepole

    Hawa watu wa CCM wamekuwa na "ujinga" wa kupost vitu halafu wanafunga comments.
  7. sinza pazuri

    Comments za no reform no election zimeyeyuka mapema mitandaoni

    Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election. Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza...
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Wananchi wacharuka na comment za 'No Reforms, No Election' kwenye page za Viongozi na Taasisi za Umma ikiwemo post ya Eid ya Rais Samia

    Wakuu! Bila uoga, Wananchi wengi wamejitokeza kuandika comments zenye ujumbe wa 'No Reforms, No Election' chini ya post ya salamu za kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha zilizotolewa na Rais Samia kupitia mitandao ya kijamii. Badala ya kusherehekea ujumbe huo wa sikukuu kwa kawaida, baadhi ya...
  9. Just Pray

    PreGE2025 Nimesikitishwa na kitendo cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufunga comments Instagram kisa 'No reforms, No election'

    Wakuu Shirika la utangazaji Tanzania (TBC) linaloendeshwa kwa kodi zetu watanzania limethubutu kufunga comments kwenye mtandao wake wa Instagram eti kwa sababu tu wananchi wanaihubiri "NO REFORMS NO ELECTION" Kwa kutoa maoni kwenye taarifa wanazozipakia. Shirika linaloendeshwa kwa kodi zetu...
  10. Dalton elijah

    Kauli ya WHO kuhusu taarifa ya Marekani kujitoa katika shirika hilo

    Kauli ya WHO Kuhusu Taarifa ya Marekani Kujitoa katika shirika hilo Shirika la Afya Duniani (WHO) limesikitishwa dhidi ya tangazo la Marekani kwamba inapanga kujitoa katika Shirika hilo. WHO ina jukumu muhimu la kulinda afya na usalama wa watu duniani, wakiwemo Wamarekani, kwa kushughulikia...
  11. FK21

    NJOO UWEKE REPLAY COMMENTS YEYOTE YA XAVIER LEGEND

    Huu ni uzi maalumu wa majibu ya kisenzi ya xavier
  12. Mtoa Taarifa

    Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

    Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii. Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya...
  13. S

    Huyu Mama leo hii akipatwa na msiba wa mtu wake wa karibu, hizo comments mitandaoni, zitakuwa ni msiba wa pili kwake

    Watu wakiwa kwenye madaraka, wanajisahau kabisa kuwa nao ni binadamu tu kama wengine na yote yanayowapata binadamu wengine (magonjwa, vifo, n.k), na wao yanaweza kuwapata wakati wowote wakiwa madarakani na hata baada ya kuondoka madarakani. Ni bahati mbaya sana, huyu Mama anaongea utadhani yeye...
  14. Pdidy

    KERO NIDA kuna matatizo ya rushwa na urasimu

    Ni siku tatu zilizopita nimelalamikia nida Kawe na uhuni nilioona. 1. Siku naenda kujiandikisha nilifika saa nne nkaitwa saa tisa kupigwa picha. Unaweza hisi ni makusudi ama wewe pekeyako lakini lundo la watu mnaitwa saa tisa wengine walikata tamaa wakaondoka. 2. Nililalamika ushenzi...
  15. G

    Anayestahili kuomba like ni mwenye Youtube channel, wengine kama hamna cha kuchangia mkae kimya. Acheni kujaza comments za kuomba likes

    Imekuwa too much sasa, video unaicheki youtube unaanza kusoma comments za mrejesho, ushauri, ukosoaji, nyongeza, n.k. Ila unakutana na comments za kuomba likes. Wanakera sana hawa watu Uki comment cha maana utapewa like bila kuomba,
  16. S

    Vipi kama enzi za Mfalme Sulemani kungekuwa na mitandao ya kijamii angekuwa anapata comments 1000 za wake zake

    Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani. Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome. Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja! Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi...
  17. THE FIRST BORN

    Hizi hapa baadhi ya Comments za WanaJf Mashabiki wa Simba walizitoa kabla ya Derby

    Hizi ni baadhi ya Comments za wana Jf nilizochukua Mapema kwenye baadhi ya Nyuzi kabla ya Derby,Ndugu Mpenzi wa Jukwaa leta nyingine kama unayo. Au nisaidie kuwa-Tag waje wajitetee hapa tena.😂😂
  18. badison

    Ukurasa wa X wa timu ya Simba kuruhusu matangazo ya ngono katika comments

    Ni aibu timu kubwa kama Simba kuruhusu account zenye maadili mabovu ya picha za utupu na ngono katika comments. Simba ni timu inayoheshimiwa ndani na nje ya Nchi. Kuna watu wenye hadhi zao ni washabiki wa simba kama viongozi wa serikali, viongozi wa dini, wanafunzi wa chuo, shule nk. Inakuwaje...
  19. Gol D Roger

    Hivi Uzi gani unaongoza kwa replies?

    Oya washkaji uzi gani una comments/replies nyingi? Kwenye pitapita zangu, nimeona ule Uzi wa Manchester United una replies kama 190k hv na wa arsenal una 140k approx. Uzi wa "Mikeka"(betting) una replies 372k Kuna uzi una replies nyingi kuzidi huu? Utume humu kweny reply yako kama unadhani...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Siku binti yako akisoma nyuzi na maoni yako atafurahi au atasikitika?

    Habari Waheshimiwa! Najua kuna watu hamjawahi kuitwa Waheshimiwa, ngoja niwatoe lock na ninyi muonjeonje kidogo majina ya heshima. Mimi mara ya kwanza kuitwa Mheshimiwa ni siku nimeenda kutoa posa huko madongo kuinama, niliazima VX ya kijivu, nikaiweka bendera ya Tanzania upande wa mbele, kisha...
Back
Top Bottom