Ongezea pia comments za watoto, ndugu wa upande wa wake na masulia pamoja na majirani.
Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome.
Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja!
Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi basi, angekuwa anatembea na sinia la mihigo mibichi, vipande vya nazi, karanga mbichi na thermos ya alikasusu. Maana kila siku alikuwa na ratiba ya kuona wake zake.
Hata hivyo angechapiwa sana mazee!
Jamaa angeupiga mwingi sana. Mtandao X wangempa blue ticks mpaka wakome.
Halafu anatokea mtu katika zama hizi anawadanganya watu waoe mke mmoja!
Aaah! Mfalme Sulemani wewe! Yaani jamaa angeishi zama hizi basi, angekuwa anatembea na sinia la mihigo mibichi, vipande vya nazi, karanga mbichi na thermos ya alikasusu. Maana kila siku alikuwa na ratiba ya kuona wake zake.
Hata hivyo angechapiwa sana mazee!