Hello
Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi
Endelea kukologa pole pole mpka zibadirike kama hivi
Uku una zio onja ili zisije ungua zikiwa teyari ziache zipoe
Baada ya hapo mm...