chuki

This is a list of characters from the Pixar franchise Cars, as well as the Disney franchise Planes, which is set in the same fictional universe:

the 2006 film Cars
the 2011 film Cars 2
the 2017 film Cars 3
the 2013 film Planes
the 2014 film Planes: Fire & Rescue

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Chuki ya Wassira kwa Mh Lissu, ni ile kesi ya Ubunge Mahakamani, Lissu alilihenyesha Wassira mpaka likataka kupigana

    Hi Zeee ni Moja ya Zee lenye ROHO mbaya mnoo. Mh Polepole aliwahi tuelezea, Namna GANI Lilivyomtukana Nyerere, na namna GANI Magufuli alivyoliweka pembeni. Ni zee korofi, lenye UCHU, Zee ambalo lipotayari kufanya lolote kwa ajili ya Cheo. Kwa sasa Linatumia Nafasi yake, kumuumiza Lissu yaan...
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kama sio roho mbaya na chuki za watawala, Jamii forum ingekuwa platform kubwa sana kusini mwa afrika

    Yeah, ni chuki tu za watawala wetu na Roho mbaya ,ila Jamii forum ingekuwa ipo mbali zaidi ya hapa . Ila ndio hivyo tuna watu kwenye viti vya mamlaka wana fantasize na ku wish jamiiforum isingekuwepo... Hii platform ingekuwa bidhaa ya watu karibia million 300 kwa nchi zote zinazoonhea...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Chuki juu ya mtu ni sawa na kuchukua sumu na kuiweka mdomoni mwako kisha unasubiri imuue mtu unayemchukia. Utakufa mwenyewe

    Hii ni tahadhari kwa watu wenye roho mbaya, roho za kichawi. Iwe unamchukia mtu kwakuwa alikutendea jambo baya, au alimtendea mtu mwingine jambo baya au umeamua tu kumchukia kwasababu za kisiasa au unamchukia mtu kwasababu ya ujinga uliokukandamiza. Yaani haupaswi kumchukia mtu. Nyie...
  4. Traxtion

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Videos: Maneno ya Trump ya chuki dhidi ya Ilhan Omar 😂

    Sidhani kama kuna mtu anamsumbua Trump akili kama huyu mwanamke wa Kisomali Ilhan Omar ambaye ni raia wa Marekani na congresswoman wa jimbo la Minnesota, Marekanii Ilhan anapenda sana kupinga utawala wa Trump kuhusu policy zake za immigration, serikali yake, ICE, chuki dhidi ya waislamu nk...
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jux: Siyo vizuri Mashabiki kuwa na chuki na sisi wasanii wao

    Sioni kama ni vyema mashabiki zetu kuwa na chuki na sisi wasanii wenu,wasanii wa mataifa mengine wameendelea kwa sababu mashabiki wa Nchini kwao wanawasapoti kwa moyo mmoja"Amesema Jux
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Afrika amkeni: Chuki za kidini ni ufala wa kiwango cha lami!

    Nawaona mnavyochukiana mitaani na hapa JF kisa dini, nacheka sana. Hivi mnatambua ninyi ni MAFALA WASIOJITAMBUA? 😂 Yaani unamchukia ndugu yako, jirani yako, au mbongo mwenzako kisa tu mmoja anamshabikia mzungu fulani (Kristo) na mwingine mwarabu fulani (Mudi)? Nasema tena: WEWE NI FALA MARA...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

    Katibu Mwenezi wa CCM, Kenani Kihongosi amemwomba Jaji Mstaafu, Joseph Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo bali awashauri kwa hekima badala ya kulalamika mtandaoni. Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma siku ya Jumamosi, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani...
  8. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Chuki dhidi ya mende... Nahau inayotufaa watanzania

    Ufuatiliaji wangu mdogo wa masuala ya kisiasa, umenifanya nifahamu kuwa asilimia tisini na tisa nukta tisa tisa (99.99%) ya machafuko ya kisiasa na kijamii kwenye nchi zote duniani, husababishwa na wanasiasa walioko madarakani. Lakini miongoni mwa nahau ambazo hutumiwa na watawala dhidi ya...
  9. Don YF

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbona Watanzania wengi wako na roho chafu towards Kenya? Ni ukweli wamefunzwa chuki?

  10. C

    JamiiForums Tanzania Baada ya nchi kutulia itabidi Habib Mchange na kundi lake watueleze hii project ya kuliingiza taifa kwenye chuki za udini amepewa na nani

    Maana hii ni project na inaratibiwa kwa makusudi kabisa sasa inabidi tujue nani muasisi na mdhamini na lengo ninini?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mfumo dume, chuki wivu na udini ni baadhi ya sababu kwa watu kueneza chuki dhidi ya utawala wa awamu ya sita

    Binafsi sioni kama Rais Samia ana makosa ambayo yeye ndiye Rais wa kwanza kuyafanya, Kama ni mambo ya kutekwa yalikwepo toka enzi ya Dr Ulimboka Kama ni uchaguzi wenye udanganyifu ccm haijawahi kushinda bila wizi ndiyo tabia yake Ufisadi upo toka kipindi cha nyerere Maisha magumu toka...
  12. Inside10

    JamiiForums Tanzania Je, Padri Kitima Anachuki Na Serikali, Anachuki Na Rais Samia Au Chuki Na Uislamu?!

    Anaandika Aloyse Nyanda Mtozi kupitia ukurasa wake wa Instagram: Je Fr Kitima anachuki na serikali au ana chuki na Rais Samia au anachuki na Uislamu? Jibu ni HAPANA ila ukweli ni kwamba Kitima mbali na kuwa ni mlezi wa wengi pia ni Mwalimu wa Human rights alifundisha vijana chuo Kikuu na...
  13. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Machafuko ya Disemba 9 hayana sura ya Kisiasa bali ni chuki ya Mihemko ya kidini

    Naamu Hakuna Msiba unaokosa Matanga na ukiona Moshi ujue kuna Moto Utawaka au Umewaka. Bado Watanzania tupo katika Majonzi ya Ndugu zetu waliopata Maafa ya D29 ambapo ni masikitiko makubwa yanatokana na dhamira ya watu wachache kujitafutia umaarufu na Kujilimbikizia Mali kupitia Majukwaa...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Enyi Wakristo Uishini Ukristo. Wavuteni Wasiomjua Kristo Kwa Kuuishi Ukristo, Siyo Kupalilia Chuki

    Injili iliyoletwa na Kristo, ndiyo neno pekee la Mungu lililoleta ukamilifu wa maagizo yote yaliyotangulia yaliyokuwa na mapungufu mengi. Yesu Kristo alisema kuwa hakuja kuitangua torati ya Musa bali kuikamilisha, kwa sababu ilikuwa na mapungufu. Kwa hiyo utimilifu na ukamilifu wa unabii wote...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Ukisikiliza Taarifa za Mashuhuda na Wahanga, Mauaji Makubwa ya Watanganyika Yalisababishwa na Chuki za Wazanzibari kwa Watanganyika.

    Ukifuatilia kwa umakini maelezo ya mashuhuda na manusura wa mauaji ya Watanganyika yaliyofanyika kwa siku 3 mfululizo kuanzia tarehe 29 Oct, ni dhahiri mauaji makubwa ya holela yalifanywa na askari wa kutoka Zanzibar, nao waliyafanya hayo kwa misingi ya chuki dhidi ya watanganyika, na siyo...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania JamiiForums naomba kueleza ni kweli chuki ya utawala inaenezwa na mtawala mwenyewe

    Sio utani wala kupindisha Moderator kuna mda unataka kupindisha ila mtakumbuka haya maneno. Mtawala ndio analeta chuki ambayo sasa kaingiza kwenye udini kabisa akijua kitamuokoa. Mimi sipendi kuweka wazi ila wanayofanya kwenye ku promote huko kuna kitu sio kizuri. Sisi wa tanganyika wanataka...
  17. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni nini hasa kiini cha chuki za viongozi wa TEC dhidi ya viongozi wa kiisilamu hasa wa Serikali Kuu?

    Maana ni wazi ukitazama kwa umakini body language, facial expressions and tones za viongozi wa TEC hasa rais wa baraza hilo na katibu mkuu wake, utabaini na kukubaliana na mimi kwamba viongozi hawa kabisa hawana hoja za msingi, wana chuki ya kiwango cha juu mno na dini ya viongozi wakuu wa Taifa...
  18. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiliba: Shughuli za kiharakati lazima zisisitize amani na upendo siyo kueneza hofu na chuki kwa wanajamii

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi na Taasisi za Elimu, Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 14, 2025 akielezea shughuli za kiharakati zinazoendelea mitandaoni amesema shughuli za uharakati lazima isimamie misingi ya kudumisha amani, upendo na kuunganisha taifa na siyo...
  19. CodeX

    JamiiForums Tanzania Nani anamfahamu mmilikiwa wa Cheche Times anaeneza sana chuki za kidini. Naombeni Tujuzane

    Nimekuwa nikiingia Facebook na Instagram nakutana na machapisho sponsored yenye chuki za kidini ambayo ni taarifa za kueneza chuki za kidini au upotoshaji. Mtu huyu wa Cheche Times analipia kabisa matangazo katika majukwaa ya Instagram na Facebook. Posts zake ni kashfa zaidi za...
  20. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Mambo yalianza kuhariba baada ya hawa Marais kufariki. Chuki na hasira vipo mioyoni mwa Watanzania

    Mpaka leo kuna hasira kubwa ndani ya mioyo ya Watanzania. Baada ya hawa viongozi kufariki.
Back
Top Bottom