Tokea nianze kutafuna chips za Dar sijaona utamu wowote kwa kweli. Yaani picha linaanza viazi vimeumuka halafu full mafuta kama vile unatafuna kipochi, havina ladha hata kidogo, viungo navyo vinaandaliwa kiholela holela, labda kidogo mayonaizi
Yaani chips za huku huwezi mdanganyia binti...