Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Kutoka kwenye account ya Hilda Newton kule X ameandika taarifa hii
==================
Mjumbe wa Kamati Tendajji ya Chadema Wilaya ya Busega Mhe. Lobezi Kuliko Masanya ametekwa na watu wasiojulikana jioni ya leo tarehe 01/10/2025 akiwa kazini kwake NYAMIKOMA Wilaya ya Busega.Walioshuhudia tukio...
Makamu mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA John Heche akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wazee duniani yaliyofanyika kwa njia ya Mtandao.
Viongozi watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuharibu mabango ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...
WARAKA WA CHACHA WANGWE. (Alifariki 2008)
UTANGULIZI.
Jumamosi, June 28 mwaka huu wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu ya CHADEMA walidai kuwa wamesitisha Umakau Mwenyekiti wangu katika kikao kilichofanyika mjini Dodoma siku hiyo. Kesho yake Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. FREEMAN MBOWE akaitisha...
Namheshimu sana na mno Kaka Andrew Nyerere na nimeuheshimu Mchango wake ila sikubaliani nae kwa 100% kumzuia Rais Samia asiende Kuzuru Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Ni kweli kabisa kuwa Demokrasia kwa sasa nchini Tanzania iko mahututi ICU na Serikali ya CCM chini ya Rais Samia...
Kwa mara ya kwanza Zacharia Obadi, Katibu wa CHADEMA kanda ya Victoria – anaweka wazi kuwa wao kama chama hakuna walichopoteza kwa kutoshiriki uchaguzi zaidi sana wamerudisha Imani kwa Watanzania.
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, leo Jumatatu (29.09.2025) imetoa uamuzi mdogo katika kesi namba 8322/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohamed na wenzake wawili dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa chama...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma kwamba kesho, Jumatatu tarehe 29 Septemba 2025, shauri lililofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake 2 dhidi ya Bodi ya wadhamini wa Chadema na Katibu Mkuu itaendelea Mahakama Kuu...
Sina mengi ya kuandika!
CCM ipo kwa sababu Police, Mahakama na watekaji wako nyuma ya CCM
Bila ya hao, hakuna kitu inaitwa CCM nchini hadi hivi sasa napoandika
Ufisadi ambao ulikuwepo tukaufumbia macho umekuwa na umekuwa kwa kiasi kikubwa sana mpaka mamlaka ambazo unategemea zitakuwa mbele kukemea na kuchukua maamuzi sahihi juu ya haya mambo zinakaa kimya, hivyo hakuna namna zaidi ya sisi wananchi wenyewe kusimamia hili jambo mpaka tufikie mwisho wake...
Fikiria wamechangishana Tsh 1000,000/= Kwa ajili ya juice na soda ya wahanga waliopigwa na polisi pale mahakama kuu.
Wanapanda mabasi na makosta kwenda Dar kufuatilia kesi ya ya Lissu.
Wana nguvu na hali kuliko kipindi cha Mbowe. Pamoja na mizengwe wanayofanyiwa sasa hivi.
Toka lini kwenye uchaguzi SERA zikamithilishwa na AMANI?
Siku zote shilingi lazima iwe na pande mbili. Na demokrasia ni shilingi yanye pande 2. Kamwe haitakaa nchi ya kidemokrasia watu wote wakawa na muono unaofanana.
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia, hata kuwe na vyama vingi vipi, lazima...
Naona kama CHADEMA wameenza kutusaliti Gen Z
Yaani watu tunajua tupo pamoja Oktoba 29, 2025 kupambania G Wagon na Royce alafu wanaleta tena siasa za CCM
Wakuu ebu iangalieni hii kabla sijachanganya mambo
Asante kwa wote walioshiriki kwenye hili. Historia haitowasahau, mlicheza upande uliosahihi. Ule uchaguzi ili mark mwanzo wa siasa mpya na mageuzi makubwa kwa nchi.
Huu ni moja ya UZI MFUPI ILA UNAWAFIKIA
Nitaendelea
Kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Edwin Odemba Mwanachama wa zamani wa CHADEMA, na Mmoja wa kundi la G 55 kwa wakati huo, ambaye kwa sasa ni Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Act Wazalendo Glory Tausi amesema G 55 walitoa mawazo yetu mazuri kwa Chadema ya namna...