Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Kaeni na wataalamu wa mambo ya usalama hata kama kuwatafuta nje ya nchi, wawape namna mtu akiitwa na polisi afanye nini kabla ya kwenda polisi.
Nimesoma Mwenyekiti wa Vijana Kanda serengeti ameitwana polisi / walifika Nyumbani kwake na sasa hajulikani alipo
Wekeni protocol mtu afanyeje...
Nadhani utakubaliana na mimi kwamba bila fujo, ghasia na uropokaji hakuna kikundi kinachoitwa Chadema humu nchini. Na sote ni mashahidi kwamba matusi, chuki, uropokaji, mihemko nonsense na kufanya drama za kuatract public sympathy ndio utambulisho wa kipekee sana wa kikundi hiki cha kisiasa, na...
Akizungumza na waandishi wa habari lo Juni 15, 2026, Mkurugenzi wa Uenezo na Uhusiano wa CHADEMA, Brenda Rupia amesema operesheni Katiba Mpya Free Lissu phase 2 itakayoanza Kanda ya Kusini Juni 18 na kukamilika Juni 29, 2026 Kanda ya Magharibi.
Soma Pia; CHADEMA kuanza na oparesheni Katiba...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekanusha madai ya CCM kuwa imefanya vikao vya siri na wanaharakati wanaoishi nje ya nchi ili kupanga kufanya vurugu nchini kupitia maandamano.
Madai hayo yalitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenan Kihongosi Juni 13, 2026...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetuma onyo kali kwa waliokuwa wanachama wao, Saidi Issa Mohamed na Ahmed Rashid, kikitaka wajiandae kukilipa chama hicho mamilioni ya fedha kama fidia ya hasara waliyosababisha kufuatia mfululizo wa kesi wanazofungua mahakamani.
Kauli hiyo...
Freeman Aikaeli Mbowe,
aliwahi kua mwenyekiti wa chadema taifa kwa kipindi kirefu kiasi, lakini tangu uongozi mpya wa chama hicho ulivyoshika hatamu, Chadema masalia nayo imekosa utulivu wa kisiasa, lakini pia Chadema masalia haina agenda, sera wala hoja ya kueleweka.
Chadema masalia imekua...
Sikatai na wala sipingi kuwa CCM ipo madarakani sababu ya kuwa vyombo vya dola vimeikumbatia.
Lakini nguvu ya umma ni zaidi ya bunduki na vifaru.
Heche na Lissu wamekiheshumisha chama chao. Kwanza kwa kuwa na msimamo wa kutonunulika.
Sasa kwa Chama ambacho kina viongozi kama Kihongosi na Ally...
MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CHADEMA ZANZIBAR KILICHOFANYKA PEMBA TAREHE 07 JUNI 2026.
Kamati Maalum ya CHADEMA Zanzibar ilifanya kikao chake cha kawaida tarehe 07 Juni 2026, Kisiwani Pemba chini ya uongozi wa Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Mhe. Said Mzee Said. Kikao hicho...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amedai kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, ametumwa kutengeneza propaganda za uongo ili kupata sababu za kisheria za kukifungia chama hicho kufanya mikutano ya hadhara.
Pia soma...
Kwasababu sidhani kama kuna mTanzania atachagua mihemko, chuki, ghasia, makasiriko, porojo, uzushi, malalamiko yasio koma au migawanyiko, na aache kuchagua wabunge wa vyama vya siasa vyenye agenda na mipango ya maendeleo yake mwenyewe kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Nadhani ombwe la uongozi ndani...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na kile kilichokiita ni mipango ya siri inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yenye lengo la kuhamasisha vurugu nchini kupitia maandamano.
Kauli hiyo imetolewa leo Juni 13, 2026, Jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi, Uenezi na...
Watanganyika endeleeni kupaza Sauti ya Utaifa ya Tanganyika.
Kadri Wazanzibari wanavyojibu ndio mpasuko ndani ya Jamii unaongezeka, sikiliza kwa makini huyu Sheikh anayozungumza alafu useme kwa nini kusiwepo na Serikali ya Tanganyika.
CCM mjibuni huyu Sheikh.
Mnatambua wazi kuwa CCM imeshachokwa na Watanzania. Watanzania hawaitaki CCM na hawamtaki rais Samia. Hili lipo wazi.
Mnafanya uzembe kuandikisha wanachama kwenye vyuo vikuu.
Mnafanya uzembe kuandikisha wanachama ambao wana uwezo na kupambanua mambo kama Deogratius Mahinyila.
Ni kweli...
CHADEMA wametoka kuwa chama cha Siasa sasa ni chama cha wanaharakati, wanaendeshwa na rimoti
Anachoongea kwenye video Kenan Kihongosi leo, Juni 13 2026
"Lakini jambo lingine ninalopenda kulisema ni kwamba CHADEMA kimetoka kuwa chama cha siasa, limekuwa ni kundi la wanaharakati. Wanaendeshwa...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche akizungumza na Vijana wa CHASO Mkoani Iringa Juni 13, 2026 amesema; "Chuo Kikuu, university, unakuta kijana anajihusisha na CCM and he is proud. Sasa ukimuuliza, it's not bad, sio tatizo kujisoshiaiti na CCM. Lakini anajihusisha na CCM kwa lipi? Kwa...
RPC wa mkoa wa Pwani, ACP Salim Morcase amezuia shughuli za Chadema za uzinduzi wa vizimba iliyokuwa ifanywe na Katibu Mkuu John Mnyika asubuhi ya leo Jumamosi, Juni 13, 2026.
RPC huyo alipoulizwa alisema amezuia kwasababu Chadema haijamuandikia barua ya kutaka kufanya shughuli hiyo.
Madai...
Nimefanya utafiti kuwa vijana wengi wa vyuo vikuu wanatamani kujiunga na CHADEMA ila hawajui matumizi ya si digital app ya chama chenu
Nawashauri mfanye kampeni mahususi ili vijana wajiunge na kuweza kuchangia chama.
Katika siku za karibuni, dunia ya michezo imeshuhudia tukio lililozua mjadala mkubwa baada ya mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuzuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi walioteuliwa na FIFA kuchezesha Kombe la Dunia la 2026. Tukio hili limeibua maswali mengi kuhusu...