certificate

  1. M

    Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Serikali imeanza mpango wa kupanga upya walimu kulingana na viwango vyao vya elimu, ambapo walimu wenye stashahada watapangiwa kufundisha katika shule za msingi huku wale wenye shahada wakielekezwa kufundisha ngazi ya sekondari. Hatua hiyo inalenga kuongeza ufanisi katika ufundishaji kwa...
  2. Mr Beach Boy

    USHAURI: Ni sahihi kusoma certificate baada ya kuhitimu shahada ili kupata fursa za ajira?

    Kwenye kada za maendeleo ya jamii serikali wanaajili NTA level 4,5 na 6 Lakini kwa upande wa shahada za maendeleo ya jamii mara nyingi nafasi hizo hakuna. Kwasasa mimi nimemaliza shahada ya maendeleo ya jamii je ni sawa kusoma NTA level 5 mwaka mmoja ili niweze kuomba KAZI kwa cheti husika...
  3. O

    Huduma Kenya Announces Plans to Contact Driving Licence, ID, and Birth Certificate Applicants

    The government has issued a fresh announcement, revealing how applicants will be contacted once their driving licences, national identity cards (IDs), and birth certificates are ready. In a brief notice on Thursday, February 12, Huduma Kenya disclosed that members of the public who applied for...
  4. JOSEPHAT_07

    Msaada wa kupata Dealth Certificate

    Naomba msaada kwa aliewahi kuomba Dealth certificate online, nimefanya atua zote nimekwama hapa Yanini nimeattach documents zzinazoitajia ikaleta control namba na nikalipia Tsh. 20,000 the inanipa maelekezo ni download form ni sign na kujaza tena then ni upload signed form. Sasa kwenye ku...
  5. Prof_rutta22

    Advance Your Career: Online Microsoft Office & Programming Courses – Certificate Included 💻

    Dear Professionals and Learners, In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers structured online courses designed to equip you with practical skills in office productivity and programming...
  6. Kumfumaster97

    Nahitaji kufahamu tofauti kati Certificate of registration for Taxpayer Identification Number na Service levy

    Natumai mmeamka salama Familia ya wanajf Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ,naomba msaada wa kufahamu tofauti kati Certificate of registration for TIN na service levy(BRELA)
  7. L

    Usawa kwa Waandishi wa Habari: Wabunge Wanahitaji Elimu ya Msingi Tu, Lakini Waandishi taaluma Certificate etc.? Hii Sio Haki! Uchaguzi 2025

    Wananchi wa Tanzania, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025, ni wakati muafaka wa kuangazia masuala ya msingi yanayohusu haki, usawa, na maendeleo ya taifa letu. Moja ya changamoto kubwa inayopaswa kushughulikiwa kwa dharura ni tofauti kubwa ya viwango vya elimu vinavyohitajika...
  8. Fbn

    Sawa wewe ni msanii mwenye pesa ili kuthibitisha onyesha Cheti cha Mlipakodi Mzuri (Tax Clearance Certificate - TCC) tuthibitishe kuwa pesa unayo

    Hakuna kazi halali isiyolipa kodi ijalishi nini unafanya nini ila uwe unatambulika na TRA na taasisi zengine kutokana na kazi yako. Sasa hawa wasanii wetu wanaojitapa kuwa wanalipwa na mamilioni sijui wana pesa za kufa mtu kupitia sannaa zao mbona sijaona hata TRA kupewa cheti kama wanavyofanya...
  9. A

    KERO RITA wamekuwa wazembe kutatua changamoto ya ku-VERIFY Birth Certificate wakidai Mfumo wa Malipo ya CONTROL NUMBER unasumbua. Leo umefika mwezi 1

    Rita wamekuwa wazembe kuhsughulikia changamoto za wateja wao, niliripoti terehe 19/06/2025 kwenye maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma Dodoma kuwa nilifanya maombi ya kuverify cheti cha kuzaliwa na kulipia 10/06/2025 lakini kufikia tarehe niliyoripoti account ilikua inasema malipo...
  10. Nomadiq

    Kwa zama tulizopo ni bora mtu kwenda Ordinary diploma au Advance Education (Form 5 na 6?)

    HESHIMA MBELE wakuu. Kama mnavyojua kuwa mwezi wa saba umefika na tayari wale wanafunzi ambao walifaulu kwenye mtihani wa NECTA mwaka, wengine wanaenda kidato cha tano na cha sita huku wengine wakianza mipango ya kuingia chuo kwa maana ya Ordinary Diploma. Sasa nilitaka kujua iwapi level hizi...
  11. Munch wa Annabelle

    Bongo Nyoso mtu ana Certificate ya Clinical Officer anajiita Daktari (MD)

    Ukistaajabu ya mussa utayoona ya firauni. Yani hapa Tz unakuta mtu anajiita na kujimwambafy dokta na anapata heshima kubwa Kwa watu kama mtu aliesoma sana lakini ukijafatilia kwa undani unakuta ni certificate holder wa clinical medicine au nursing. Mtu huyohuyo hata majukumu Yake ya msingi...
  12. H

    Natengeneza tin certificate, cheti cha kuzaliwa, lessen ya biashara

    Kwa wale wenye uhitaji WA tin certificate, vyeti vya kuzaliwa na lessen za biashara nakutengenezea Kwa bei nafuu Sana ...nichek 0761808489 Kwa wasap au normal SMS... Huduma NI uhakika
  13. P

    Institute of accountancy Arusha (IAA) Complaint Regarding Delay in Issuance of Bachelor of Computer Science Certificate

    am writing to formally express my complaint regarding the delay in receiving my Bachelor of Computer Science certificate, which I completed in 2023 at your institution. It has now been over one year and four months since I graduated, yet I have not been able to obtain my certificate. This delay...
  14. A

    KERO CBE Dodoma hawatoi vyeti kwa ngazi ya Astashahada mpaka wamalize Stashahada

    Ni jambo la ajabu kwa ngazi ya certificate kukosa cheti eti mpaka umalize diploma ndio upewe cheti. Hii haipo sawa na inatukwamisha kimaisha. Tunaomba mtoe vyeti kwa wahitaji muache janja janja, kila ngazi ina cheti chake.
  15. S

    Ni Course gani ya afya naweza soma?

    Habari, Mimi nina Certificate ya Community Health. Je, course gani naweza soma kwa Certificate au Diploma?
  16. komunisti

    Mishahara ya Muhimbili kwa muuguzi mwenye certificate ni kiasi gani?

    Hivi muuguzi mwenye certificate Muhimbili anaanza na mshahara kiasi gani?
  17. bjhjhj

    KERO Nimeomba clearence certificate polisi, mwezi wa nne sijapewa

    Nimeomba clearence certificate polisi ni takriban miezi minne mpaka sasa hivi sijapata.Hili jeshi letu itabidi lijitathmini aisee vitu vidogo kama hivi kweli vinachukua miezi kupatikana.
  18. M

    Je ngazi ya certificate chuoni kuna muda ina expire.?

    Habar wakuu! Naomba kuuliza je latesay ulimaliza certificate miaka mi5 au 6 iliyopita nasasa unataka kuendelea na diploma je inawezekana kuendelea kupitia hiyo certificate yako au nilazima uanze upya ngazi ya cheti?? Kuna mtu ameniambia chet chako kikizidi miaka mitatu huwez kuendelea nacho...
  19. Tanki

    Kwa Dar es salaam. Ni wapi naweza kwenda kusoma kozi ya Store keeping japo Nipatie Certificate tu.

    Nitashukuru zaidi kama utaniambia na Bei ya hiyo kozi na muda wake hadi kozi kuisha. Natanguliza shukrani
  20. S

    rita death certificate attachment

    Habari za muda huu wakuu, Ninaomba msaada juu ya jinsi ya kuandika: Muhtasari wa kikao cha familia ulioshirikisha wanandugu wasiopungua saba pamoja na nakala za vitambulisho vyao. Kiapo cha mahakama. Muhtasari wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Kata ikithibitisha kutokea kwa kifo. Naombeni...
Back
Top Bottom