cement

A cement is a binder, a substance used for construction that sets, hardens, and adheres to other materials to bind them together. Cement is seldom used on its own, but rather to bind sand and gravel (aggregate) together. Cement mixed with fine aggregate produces mortar for masonry, or with sand and gravel, produces concrete. Concrete is the most widely used material in existence and is behind only water as the planet's most-consumed resource.Cements used in construction are usually inorganic, often lime or calcium silicate based, which can be characterized as non-hydraulic or hydraulic respectively, depending on the ability of the cement to set in the presence of water (see hydraulic and non-hydraulic lime plaster).
Non-hydraulic cement does not set in wet conditions or under water. Rather, it sets as it dries and reacts with carbon dioxide in the air. It is resistant to attack by chemicals after setting.
Hydraulic cements (e.g., Portland cement) set and become adhesive due to a chemical reaction between the dry ingredients and water. The chemical reaction results in mineral hydrates that are not very water-soluble and so are quite durable in water and safe from chemical attack. This allows setting in wet conditions or under water and further protects the hardened material from chemical attack. The chemical process for hydraulic cement was found by ancient Romans who used volcanic ash (pozzolana) with added lime (calcium oxide).
The word "cement" can be traced back to the Ancient Roman term opus caementicium, used to describe masonry resembling modern concrete that was made from crushed rock with burnt lime as binder. The volcanic ash and pulverized brick supplements that were added to the burnt lime, to obtain a hydraulic binder, were later referred to as cementum, cimentum, cäment, and cement. In modern times, organic polymers are sometimes used as cements in concrete.
World production is about four billion tonnes per year, of which about half is made in China. If the cement industry were a country, it would be the third largest carbon dioxide emitter in the world with up to 2.8 billion tonnes, surpassed only by China and the United States. The initial calcination reaction in the production of cement is responsible for about 4% of global CO2 emissions. The overall process is responsible for about 8% of global CO2 emissions, as the cement kiln in which the reaction occurs is typically fired by coal or petroleum coke due to the luminous flame required to heat the kiln by radiant heat transfer. As a result, the production of cement is a major contributor to climate change.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Jaji Mihayo azungumza kuhusu Twiga Cement kununua hisa za Tanga Cement, akemea uvunjaji wa sheria

    HATIMAYE Jaji Mstaafu Thomas Mihayo ameamua kuvunja ukimya kwa kueleza kuwa wanasheria waliipotosha Serikali na Mawaziri kuhusu kuendelea na mchakato wa kampuni ya Saruji ya Twiga kununua hisa za Tanga Cement wakati mahakama ilizuia kuwapo kwa muunganiko wa kampuni hizo. Pia amesema tayari...
  2. amshapopo

    Kama unataka unataka hela ndefu weka mzigo kwenye hisa za Tanga cement PLC

    Wakuu hisa za Tanga cement zimerise for almost 50% ndani ya wiki mbili tu. Kama mjuavyo hii mostly imechangiwa kwa kampuni hii kuuzwa kwa Twiga cement company PLC hivyo future prospectus itakuwa njema zaidi. Kama una mpunga tupia Tanga cement PLC hutojuta. Asante
  3. Maguguma

    Who is behind Chalinze Cement? What is hidden and why?

    For some time now I have been following a company called Chalinze Cement and what I saw was funny. Did you know that this company does not own any land that can mine limestone for cement production? It also doesn't even have the branding they claim to have. They do not even import cement into...
  4. Stephano Mgendanyi

    Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement

    SERIKALI IMETOA UFAFANUZI KUHUSU UNUNUZI WA TANGA CEMENT UNAOFANYWA NA TWIGA CEMENT Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria na kwamba kampuni inayopinga ununuzi huo ya Chalinze Cement imeshafutiwa usajili...
  5. R

    Wakati tunapiga kelele za Bar kufungwa kuna watu wanauza kiwanda cha Tanga Cement awataki mbambamba

    Mhe. Waziri WA Fedha Bila kujali kesi zilizowahi kufunguliwa na kuamuliwa kwenye mabaraza mbalimbali amegongelea msumari kuunganishwa Kwa Tanga cement na Twiga cement Kwa maelezo kwamba serikali inaziona dola milion Mia NNE siyo zakuacha hivihivi. Nawakumbusha Tu maana mambo NI mengi uchaguzi...
  6. BigTall

    Chalinze Cement yatoa tamko kuwa kampuni yao si ya mfukoni na sio matapeli

    Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021. Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ahoji, Kwanini Tanga Cement Ilazimishwe Kuuzwa Twiga Cement

    KUNTI MAJALA AHOJI KWANINI TANGA CEMENT ILAZIMISHWE KUUZWA TWIGA CEMENT Mhe. Kunti Majala, Mbunge wa Viti Maalum tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishw akwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara iliyosomwa na Waziri...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mnyeti: Tanga Cement irudi kuwa Mali ya Serikali

    ALEXANDER MNYETI ATAKA TANGA CEMENT IRUDI KUWA MALI YA SERIKALINI Mbunge wa Jimbo la Misungwi Mhe. Alexander Pastory Mnyeti tarehe 04 Mei, 2023 alipata nafasi ya kuchangia suala la Tanga Cement na Twiga Cement wakati wa kuwasilishw akwa hoja ya bajeti ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara...
  9. Stephano Mgendanyi

    Tanga Cement vs Twiga Cement

    MBUNGE MHE. GETERE - TANGA CEMENT INA HIFADHI YA MALIGHAFI YA SARUJI HUKU TWIGA CEMENT WANA MITAMBO MIZURI YA KUZALISHA SARUJI Mbunge wa Jimbo la Bunda Vijijini Mhe. Boniphace Mwita Getere amegusia suala la Twiga Cement na Tanga Cement huku akichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  10. Stephano Mgendanyi

    Utaratibu Ufuatwe Baina ya Twiga Cement na Tanga Cement

    MBUNGE JUDITH KAPINGA ASISITIZA UTARATIBU UFUATWE BAINA YA TWIGA CEMENT NA TANGA CEMENT Mbunge wa Viti Maalmu Vijana Kupitia Kundi la Vijna, Mhe. Judith Kapinga jana tarehe 04 Mei, 2023 amechangia Bungeni suala la Twiga Cement kuinunua Tanga Cement katika hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji...
  11. Stephano Mgendanyi

    Taratibu Zifuatwe Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement

    MHE. DUNSTAN KITANDULA - TARATIBU ZIFUATWE TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT Mbunge wa Jimbo la Mkinga, Tanga, Mhe. Dunstan Luka Kitandula wakati anachangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema kuwa watu wa Tanga hawatakuwa tayari kuona Tanga Cement inageuka kuwa...
  12. Stephano Mgendanyi

    Mchakato wa Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement Uwekwe Wazi ili Kuondoa Malalamiko

    MHE. TIMOTHE MNZAVA - MCHAKATO WA TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT UWEKWE WAZI KUONDOA MALALAMIKO Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Paul Mnzava leo Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema Mchakato wa Kampuni ya Twiga Cement...
  13. M

    Chokaa, gypsum powder, wallputy na white cement kwa ajili ya kusafisha ukuta

    Miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,🎚️baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi. Nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home...
  14. evangelical

    Cement imepanda bei

    Duuh wajenzi tuna shida sana, Nimekwenda kununua cement Leo. Hardware 2 wakaniambia hawana cement. Ikabidi niende dukani Kwa mshkaji ninayemfahamu akaanza kulalamika kwamba hauzi sijui anataka afatulie tofali za kuuza. Nikamkomalia sana na kumdadisi mbona wengine hawana ndipo akanieleza...
  15. Pdidy

    Malori ya cement wazo yakaguliwe yote kama school bus.. Tutaishaaa

    Tumepoteza jirani na mzazi alietegemewa na watoto wake asubuhi kisa break za haya malori ya kubebea cement kufeli. Mh RTO niwapongeze kwa zoezi zuri la kukagua mabasi ya shule wengine leo watoto wanabebwa na no ....E...Shule nyingi zimenunua mabasi mapya baada ya zoezi. Tunakuomba watu tukaao...
  16. Kaka mwisho

    Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Kichwa cha habari kinajieleza. Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?
  17. dinongo

    Bomoa bomoa yaja waliovamia kiwanda cha cement

    Bomoabomoa yaja waliovamia kiwanda cha Wazo Wednesday August 31, 2022 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akizungumza na baadhi ya wakazi wa maeneo ya Chasimba, Chatembo na Chachui katika Kata ya Wazo. Bomoabomoa kubwa inakuja kwa waliovamia maeneo yanayomilikiwa na kiwanda cha Wazo...
  18. LUS0MYA

    Kiwanda cha Cement Tanga chasimamisha uzalishaji kutokana na ukosefu wa umeme

    Taarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji. TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua...
  19. MERCENARY2015

    Wakala wa uuzaji wa Jumla Cement aina ya SIMBA Arusha

    Salamu Wakuu Kwa muda mrefu sasa nilikuwa na mpango wa kufungua biashara ya kuuza CEMENT kwa bei ya rejareja mkoani Arusha. Wakuu naomba kupata mawasiliano au kuunganishwa na wakala anayeuza CEMENT za Kampuni ya SIMBA kwa bei ya Jumla. Kwa sasa nipo mkoa wa Arusha, hasa ukizingatia pia...
  20. king kan

    Ujenzi wa Kutumia EPS na EPS Cement Sandwich Panels

    Wataalam wa Ujenzi naomba kujua utofauti wa EPS Panels na EPS Cement Sandwhich Pannels. EPS panels nimeona zimeanza kutumika kujengea Tanzania na kampuni ya Mega Panels Tanzania. Kati ya materials hizo mbili zipi bora kwa kujengea? Za kwanza ni EPS Pannels zikiwa kwenye ujenzi. Na hizi...
Back
Top Bottom