ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tanga ni chimbo la CCM lakini hakuna cha maana kitu kutoka CCM

    Nimegundua kitu kimoja muhimu. Mikoa yote ambayo CCM imetamalaki majimbo yote kwa 100%, sio kipaumbele cha serikali kwenye kupeleka na kumaliza miradi ya maendeleo kulinganisha na mikoa ambayo wapinzani wameshika baadhi ya majimbo ya mikoa hiyo. Mifano ni mingi sana. Kwanini imekuwa hivyo?
  2. Determinantor

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole atangaza kuinanga CCM leo usiku tena

    Naam habari ndio hio, anasema leo tukae mkao wa kula, anakuja tena na leo ana watu kadhaa wa kuwajibu..... Hii ngoma imenoga, wacha tuone. https://www.youtube.com/live/3RjbB6EGgsk?si=NLp9VuqDweX6RTuq https://vm.tiktok.com/ZMSEv6VN6/
  3. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO GE2025 Kama TAKUKURU wameshindwa. basi CCM angalieni hili

    Ikiwa kama mustakhabali wa VITI MAALUMU Ndani ya Chama Utaamuliwa Kwa Rushwa tena Rushwa ya Wazi Wazi basi hadhi ya Uwakilishi wa kundi Hili maalumu hauna faida yeyote Ile kwetu sisi Wanawake. Hii ni Moja ya ripoti yenye Ukakasi na inayo vunja moyo Kwa Ustawi wa Wanawake Ndani ya Jamii zetu...
  4. E

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuikabili Sheria ya kulinda mashahidi

    Baada ya Mahakama Kuu ya Masijala ya Dar es Salaam kukubali ombi la upande wa Jamhuri la kuficha majina na taarifa nyingine za mashahidi raia wa upande wa Mashitaka katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, chama hicho kimesema kinaipinga Sheria hiyo ya iliyopitishwa...
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kila la kheri vikao vya kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM Taifa.

    Kwa unyenyekevu mkubwa niko tayari kuupokea kwa mikono miwili uamuzi wenu thabiti kwa ustawi na maslahi mapana ya chama cha mapinduzi. Hakuna cha kupoteza. Asante sana wa jumbe wa mikutano mikuu ya CCM katika kata zote zaidi ya 17 katika Jimbo langu, kwa imani na mapenzi yenu makubwa mno kwangu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tunahamasisha maadili na uwazi ndani ya CCM

    Katika chaguzi nyingi za kura za maoni ndani ya CCM, asilimia 60 hadi 80 ya walioshinda wamekuwa ni wale walioanza kampeni miaka 2 hadi 3 kabla ya mchakato kuruhusiwa rasmi na chama. Wamewekeza siyo tu muda, bali pia wamenunua ushawishi ndani ya mfumo wa chama kuanzia ngazi ya mashina hadi mkoa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tujenge demokrasia inayozingatia uwazi, uwajibikaji na nidhamu ndani ya CCM

    Mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni msingi muhimu wa demokrasia ya ndani ya chama. Mwaka huu, tumeshuhudia mwitikio mkubwa wa wajumbe kushiriki, jambo linaloonesha nguvu ya chama na uaminifu wa wanachama wake katika mchakato wa kidemokrasia. Hata hivyo, yapo maeneo...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!

    Wanabodi, Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini Leo hilo jambo, limetokea kweli GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole...
  9. Michael Dudicoff

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wana CCM Dodoma wapinga uteuzi wa Mayala

    Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Mbabala, jijini Dodoma, baada ya baadhi ya makada wa chama hicho kuandamana hadi ofisi za CCM Wilaya wakieleza kutokuwa na imani na diwani mteule wa kata hiyo, Pascazia Mayala, wakidai...
  10. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Nani mshindi CCM Mbulu Mjini?

    Mwenye kujua Nani kaibuka kidedea jimbo la Mbulu Mjini!
  11. L

    JamiiForums Tanzania CCM imvue Uanachama na Kumfukuza Kabisa Humphrey Polepole ili Asiendelee kutumia Jina la Chama Kwa Maslahi yake

    Ndugu zangu Watanzania Kama kuna kitu CCM inapaswa kuchukua hatua za haraka kwa kipindi na wakati huu. Ni kumvua uanachama pamoja na kumfukuza au kumtimua haraka sana Humphrey Polepole kutoka ndani ya CCM. Anapaswa kufurushwa bila huruma wala subira wala ngoja ngoja. Kwa sababu huyu mtu hana...
  12. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Chadema na watanzania kiujumla ni rahisi sana kuwaongoza milele kwakuwa ni rahisi sana kutolewa katika mjadala , mnabidi kujitafakari!

    Slogan ya No election no reform ilikuwa imeshaanza kueleweka mpaka vijijini . Ila sasa kinachotokea ni either kukosa Mwelekeo na kujua nini wanabidi wasimamie kwa wakati husika. Page zote za Chadema zinahangaika na Polepole . Huyu alibidi kupotezewa na sio kupewa airtime . Kwa style hii...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rashid Shangazi aibuka mshindi kura za maoni CCM Jimbo la Mlalo

    Mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi, ameongoza kura za maoni za Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kushinda kwa kura 4,240 kati ya kura halali 6,901 zilizopigwa. Shangazi amewashinda wagombea wenzake wanne akiwemo Amiri Mkufya aliyeshika nafasi ya pili kwa kura...
  14. Mgeni wa Jiji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Pendekezo la Kimkakati: Nadhani sasa CCM tuanzishe chaneli yetu ya Televisheni kwa ajili ya uchaguzi mkuu 2025

    Salamu Wakuu wa JF SSH 25 30 Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ni wazi kuwa ushindani wa kisiasa unazidi kuwa wa kisasa na unaotegemea zaidi teknolojia na mawasiliano ya umma. Kwa kuzingatia hali hiyo, chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashauriwa kuangalia uwezekano wa...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kwa Babalevo akitokea upinzani kwa tofauti ya kura 88 kuna ujumbe kwa wenye CCM yao!!

    Wenye akili watalifanyia kazi awe ameshindwa au ameshinda ila haki ya kweli ingekuwa pale tu kuwashindanisha washindi wa3 wa mwanzo na kupata namba 1 isiyo na mazonge. Kama siasa ni lelemama kajaribu na wewe!! NAKUPONGEZA BABALEVO USIKATE TAMAA SUBIRI TU SAUTI YA WANANCHI ITAKUBEBA!!
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mjue bado tunajitaji reforms, Wapiga kura wa CCM wa uhakika ni wajumbe ambao ni sehemu ndogo sana ya wananchi

    Ni kweli , kuna mchezo unaochezwa na vyombo vya habari na kitengo cha propaganda cha CCM ionekane kuwa sehemu kubwa ya wananchi wapiga kura ni CCM , nawaambia wapiga kura wa uhakika wa CCM ni Wajumbe wao tu, ambao ni sehemu ndogo sana ya wananchi ambao ni wapiga kura wa ujumla wa Taifa. CCM...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Grace Tendega: Kura hazijatosha Ubunge kalenga, ila siondoki CCM

    Aliyekuwa mgombea wa ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Grace Tendega, amesema kuwa licha ya kutoshinda katika kura za maoni, ataendelea kuwa mwanachama mwaminifu wa chama hicho na kushiriki kikamilifu katika kampeni za kuwanadi wagombea wa CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa...
  18. chiembe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajumbe wa CCM wamuhenyesha Mnyeti kura za maoni, aangushwa vibaya

    Wajumbe hawana utani, wamemtwanga vibaya ndugu Mnyeti. Anaitwa ‘𝘽𝙪𝙜𝙤𝙩𝙖 𝙬𝙖 𝙈𝙞𝙨𝙪𝙣𝙜𝙬𝙞’ (dawa ya Misungwi) jina maarufu alilopewa na wananchi wa Jimbo la Misungwi, wakimaanisha ‘dawa ya Misungwi’ kwa madai kwamba baada ya kuteswa na gonjwa sugu tafiti zimefanyika hatimaye tiba imepatikana...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mpina kafanya kosa kubwa sana kuhama ACT. Aliyemkata jina CCM, ndio huyo huyo atakeyemkata kuwa Mbunge

    Ni Kweli MPINA Hauna Mpinzani KISESA hili liko wazi Ila ilikupasa ukubaliana na Ukweli kua chini ya SAMIA SULUHU hutakiwi kua Mbunge Kwa Namna yoyote Ile . Angetaka uwe Mbunge ,asingekukata, Angekubakisha CCM, ila alikukata Licha ya yeye kujua ukweli kua unakubalika. Kilichomfanya akukate...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Kwa aina ya mgombea wa CCM Temeke, jimbo litakwenda mikononi mwa ACT-Wazalendo, Shehe Issa Ponda kushinda mchana kweupe

    KWA AINA YA MGOMBEA WA CCM TEMEKE, JIMBO LITAKWENDA MIKONONI MWA ACT-WAZALENDO – SHEHE ISSA PONDA Katika harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu, macho mengi yameelekezwa katika majimbo yenye ushindani mkali – mojawapo likiwa ni Jimbo la Temeke. Kauli kali iliyotolewa na Shehe Issa Ponda...
Back
Top Bottom