M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 9,187 Reaction score 14,015 Jul 4, 2025 #1 Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha
Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha
U ubarinolutu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2012 Posts 2,761 Reaction score 5,810 Jul 4, 2025 #2 Nyie CCM matupa sana stress Kwa tabia zenu za wizi, ni Bora museme tu wazi sisi tunaamua kuwa madictor, sio mnahadaaa umma.
Nyie CCM matupa sana stress Kwa tabia zenu za wizi, ni Bora museme tu wazi sisi tunaamua kuwa madictor, sio mnahadaaa umma.
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 30,110 Reaction score 54,197 Jul 4, 2025 #3 Malaria 2 said: Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha Click to expand... No honor among thieves
Malaria 2 said: Maisha muruwa, hakuna kulinda au kuzuia uchaguzi. Ukishapiga kura unaongojea kutangaziwa. Wapinzani unaweza ukajitolea hali na mali na ukapoteza kila chako siku ya siku anaujiuga ccm na kupata cheo wewe ukiuguza majeraha Click to expand... No honor among thieves