ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. LESIRIAMU

    JamiiForums Tanzania CCM chungeni ndimi zenu

    Wabunge wa CCM wanatumia vibaya Bunge kuanzisha mgogoro wa kidiplomasia na Kenya bila sababu za msingi. Kauli zao ni za kiholela, hazizingatii athari za kiuchumi wala kijamii, na zinaweza kuumiza raia wa kawaida wanaofanya biashara au kuishi pande zote mbili. Maneno ya chuki dhidi ya raia wa...
  2. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM na Serikali majibu yenu yako wapi kwenye orodha ya Watanzania waliotekwa iliyotolewa na TLS?

    Serikali na CCM mmepaparuka huko na kusema taarifa ya Gwajima ina walakini, inalenga kuleta chuki kwa serikali, kwamba inabidi serikali iseme upande wake. Orodha ya Gwajima ndio hiyo orodha ya TLS iliyokuwa na watu 80 waliotekwa/kupotea toka mwaka 2016 mpaka Agosti 2024, kama angechukua na watu...
  3. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Cicil Mwambe: Jimbo la Ndanda limetekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 85

    Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Mheshimiwa Cecil David Mwambe, amesema kuwa hadi kufikia sasa, utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 umefikia asilimia 85 katika jimbo hilo. Akizungumza leo Mei 25, mbele ya mabalozi wa mashina wa CCM katika...
  4. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wabunge Shangazi na Kingu wakipongeza chama cha walimu Tanzania kuahirisha mkutano wao kupisha mkutano wa CCM

    Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Emmanuel Kingu, na Mbunge wa Mlalo ambaye pia ni Katibu wa Wabunge wa CCM Bungeni Rashid Shangazi, wamepongeza uongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa hatua ya kuahirisha Mkutano Mkuu wao ili kupisha Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  5. M

    JamiiForums Tanzania WanaCCM tusiwe wajinga. Mambo ya chama yaishie kwenye miambali ya chama, kuyaleta bungeni kujadiliwa ni aibu kubwa

    Kichwa cha mada chajitosheleza. Hii inaleta picha kuwa hatuna cha kujadili juu ya nchi...vikao vya chama kwa sehemu zake ziko kujadili haya. Ifike kipindi hata km tutakuwa wote ni Ccm ndani ya Bunge ni marufuku kuleta mada za chama. Hii inatujengea picha mbaya. Hatuwezi maliza mambo yetu ndani...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ana shida jimboni .... Afukuzwe CCM.... Aliahidi safari za Kawe/Japan... Hakuongea wakati wa Magu - Hoja ya mauaji bado haijajibiwa !!!

    Mzee Msuya - sio mimi nasema - Mzee Msuya mtu wao wa system kabla hajafa alisema watu wa CCM ni wadhaifu sana kwenye kujenga hoja. Bunge linasema: Mtu mwenyewe ana shida jimboni Afukuzwe CCM Aliahidi safari Kawe-Japan Kataja jina takatifu la mtoto wa Rais Angeweza kuyamaliza kwa ushauri wa...
  7. Bila bila

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM mnajikaanga kumshambulia Askofu Gwajima bila kutoa suluhisho la utekaji

    Ni kichaa tu atakayewaunga mkono Kwa matamko yenu yasiyotoa suluhisho Kwa tatizo la utekaji. Ni Machawa wenu wasio na impact mliowaswaga wamjibu Gwajima Kwa Jambo ambalo wananchi wote wanaliona na nyie wenyewe mnaona lipo na linazidi kukomaa. Pia soma Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa...
  8. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Hitimisho: Watanzania mmejionea wenyewe, hawa ndo CCM, Kamwe msitegemee watatoka madarakani kwa njia za Kawaida au kubadilika

    Kama mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani jana bungeni haujawafungua akili Watanzania kuielewa CCM ni kina nani? Basi hakuna siku Watanzania watakuja kupata akili na kuielewa CCM hadi mwisho wa Dunia. Kama Majadiliano ya jana Bungeni hayajawafungua akili Watanzania kujua CCM...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Jamani tatizo sio Rais ni mfumo CCM

    Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM. Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau. Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo. Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
  10. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Movie scenario!, ni lazima awepo mtu ndani ya CCM, aonyeshe kutokubaliana na hali iliyopo!

    Balancing the equation, baadhi ya wakosoaji ni lazima watoke ndani ya ccm ili kutengeneza uwiano ulio mzuri, #Hata Wana ccm wenyewe hili jambo linawashangaza sana juu wahalifu, katika kuendeleza ualifu wao, Siamini ya kuwa hata chadema wenyewe wanaidadi kubwa namna hii inayodaiwa watu kupotea...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM wanamshambulia Gwajima. Je, amefanya kipi kibaya?

    Wabunge wa CCM wanamshambulia Gwajima. Je, amefanya kipi kibaya? Mwingine amediliki kusema Bungeni bila aibu kuwa vyombo vya dola vianze na wale waliopo ndani ya CCM kisha vimalizie wa nje ya CCM Je, hichi ni chama sahihi kutawala Watanzania? Yaani tunatawaliwa na Chama ambacho kinahimiza...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mbunge Tauhidi viti maalumu CCM Kalidanganya Bunge Elimu yake ya DIPLOMA , this is Serious !!

    Wakuu ,huyu Mbunge wa Viti MAALUMU alotumia MIAKA 18 kusoma Elimu ya Sekondari. Na ambaye ameanza shule mwaka 1988 lakini mpaka 2015 akawa kaishia Diploma. Inawezekana kabisa, Kalidanganya Bunge na Serikali juu ya Elimu yake. Tanzania yetu HAMNA CHUO KINAITWA "COMMUNITY CONCERN TRAINING...
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM, CHADEMA, CHAUMMA, CUF, ACT, NGOs kesho Kwa pamoja kujadili faida za PPP katika kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya 2050

    https://youtu.be/1f_r4K23h0c?si=JryS33KdwjyIkuCY === Mkurugenzi wa Mtendaji wa taasisi ya Utafiti na demokrasia Prof Rwekeza Mukandara kwa mashirikiano na kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC wameandaa kongamano kubwa na la kihistoria litakalofanyika Chuo kikuu Cha Dar es salaam. Pamoja na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video: Hii sasa tuseme ni uchawa wa CCM au ni ushamba wa watu wao

    Wakuu kuna mambo yanafurahisha sana kama ni uchawa basi tumefika pambaya sana Kuna baadhi ya Mambo hata CCM yenyewe inatushangaa maana imetupa nafasi alafu tunachofanya no TOFAUTI na ilichotutuma
  15. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kosa la CCM ni kukubali kupeleka bidhaa mbili sokoni ambazo haziuziki kwa haraka hii itawasumbua sana watu wa sales and marketing wamekosea

    Katika Biashara huwa kuna Aina mbili za bidhaa kwa upande wa mauzo na masoko. Kuna bidhaa zinazotoka sana au huitwa Fast Moving products Pia huwa kuna bidhaa zinazotoka taratibu Sana huitwa Slow moving products. Hivyo ukiwa Kama mfanya-biashara ukiwa unamiliki bidhaa ambayo haitoki kwa...
  16. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Masaa 72 , hakuna Mwana CCM aliyeweza kujibu japo nukta ya Hoja ya UTEKAJI ya Gwajima

    Ni almost 72hrs now, hakuna hata hoja yoyote ile imejibiwa genuinely na CHAWA yoyote Yule wa CCM, leave alone police. Usalama wote wamekenua meno kisirisiri kwa kupata msemaji wao, kawasemea kwa ufasaha. Kila aliyejaribu kumjibu Gwajima ameishia kumshambulia personally na sio hoja zake Hadi...
  17. Magufuli 05

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nileteeni Gwajima, nileteeni Gwajima!

    Hongera Gwajima. Acha wajinga wakushambulie lakini watanzania wenye akili tumekuelewa Gwajima ameagana na nyonga kabla ya kukimbia. Haikuwa rahisi kujitokeza hadharani kwa desturi ya nchi yetu kwa mbunge tena wa chama tawala kuzungumza jambo linalogusa maisha ya watanzania kwa kiasi kile. Na...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa sisi Watibeli kwenye Siasa za nchi yetu

    MSIMAMO WA SISI WATIBELI KWENYE SIASA ZA NCHI YETU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinipigia Simu, kunitumia jumbe kwa njia za meseji ya kawaida au kupitia pm za mitandao ya kijamii, wakihitaji kujua msimamo wangu na msimamo wa Watibeli kwenye siasa za nchi...
  19. chiembe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tarimba ataka CCM kumchukulia hatua Askofu Gwajima

    Ameongea kwa uchungu mkubwa sana leo Bungeni. Na mimi naunga mkono. CCM Kinondoni iandae kongamano la kumlaani Gwajima, hata mimi ntachangia gharama za mkutano huo. Ajibiwe na ngazi ya wilaya na mkoa tu ili ajue hiyo ni level yake, akiwa anataka ajibiwe na ngazi ya taifa. CCM Wilaya inamtosha...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

    Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni...
Back
Top Bottom