cag

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa: CAG amempongeza Rais Samia

    Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema "Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na...
  2. J

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Sasa kama wanayajua haya kwanini ATCL, TTCL na SGR zinaendelea kutia hasara kila ripoti ya CAG?

    Nimesikiliza hii clip kwa zaidi ya mara tano hiki kitu kinachoitwa Ubia naona kama kinaelekea elekea hivi kwa mbali, Mimi nashauri badala ya kila siku CAG kutangaza namba kubwa kubwa za hasara toka kwa baadhi ya Mashirika yetu ya Umma nadhani ni wakati Sasa Mashirika haya yawekwe chini ya...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Taxpayers feel uneasy with the CAG report 2023/2024

    Introduction The release of the 2023/2024 report by the Controller and Auditor General (CAG) has once again shaken the confidence of Tanzanian taxpayers. As has been the trend in previous years, the findings have laid bare disturbing levels of financial mismanagement, misappropriation, and...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Furaha Dominic: waliohusika katika ubadhirifu wa fedha uliobainishwa kwenye ripoti ya CAG watolewe kafara ili iwe mfano kwa wengine

    Baada ya kutolewa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Dkt. Charles Kichere Machi 27, 2025, Ikulu jijini Dar es Salaam, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Furaha Dominic, amependekeza itumike adhabu ya kunyongwa kwa wale wote waliohusika katika ubadhirifu wa fedha...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Kwa taarifa ya CAG watumishi wa serikali hawalipwi madeni yao, na bado wanashabikia serikali!

    Utumwa unaweza kuwa ni hiari ya moyo. Ina maana miaka mingi hawa watumishi wa serikali wanaidai serikali, hailipi na wao wanaendelea kusifia, " anaupiga mwingi". Hii ni akili ya kawaida? Kwa watumishi wa aina hii TZ inategemea kuendelea? nilidhani ni walimu tu ambao huwa wansombwa na baadaye...
  6. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG; Matumizi yasiyokuwa na tija ni zaidi ya Bilioni 300

    Huyu ndiye anaomba kurudi tena ikulu kwa miaka mingine mitano
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania CAG alidhishwa ufanisi wa fedha TPA Mwaka wa Fedha 2023/24

    Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepokea pongezi kubwa kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa utendaji wake bora katika mwaka wa fedha 2023-2024. Ripoti ya CAG, iliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan, ilionesha kuwa TPA ni miongoni mwa mashirika ya umma...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Angalia mapesa ambayo yanapotea bure kutokana na report ya CAG (picha) 822.5 BILLIONS

  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ripoti za CAG kwa CCM iliyopo madarakani ni aibu sana

    Kila ripoti inapotoka kwa CAG ni segere na visingeli wanavyo fanya hawa ccm ndani ya serikali sababu ni chama kipo madarakani hakuna wa kusingizia kama wasemavyo aliyepita kama kapita mbona deni lina ongezeka. Soma Pia: Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CAG: TANESCO wanadaiwa Tsh. Bilioni 238 na IPTL – Deni la Tsh. Bilioni 111, Tsh. Riba Bilioni 127

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebainisha kuwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linadaiwa jumla ya shilingi bilioni 238 na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL). Kati ya kiasi hicho, bilioni 111 ni deni la msingi, huku bilioni 127 zikiwa ni riba...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Halmashauri 37 zilikusanya shilingi bilioni 3.45 ambazo hazikuwekwa kwenye akaunti rasmi za serikali

    "Mheshimiwa Rais ukaguzi wangu pia ulibaini kuwa halmashauri 37 zilikusanya shilingi bilioni 3.45 ambazo hazikuwekwa kwenye akaunti rasmi za serikali. Hali hii inaashiria uwezekano wa ubadhirifu wa fedha za umma na kusababisha ucheleweshaji na utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi. Napendekeza...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Serikali inadaiwa Shilingi Bilioni 7.90 kama fidia kwa wananchi waliopisha miradi ya maendeleo

    Wakati akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa Rais, Mkaguzi mkuu wa serikali Charles Kichere amesema kuwa serikali inadaiwa kiasi cha shilingi Bilioni 7.90 kama fidia kwa waliopisha miradi ya maendeleo. Aidha ameshauri pesa hizo kulipwa kwa wakati ili kuepusha riba inayoweza kutokea kutokana na...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Mashirika 12 kati ya 217 yaliyokaguliwa yametumia Sh. Bilioni 371.42 katika matumizi yasiyoleta thamani kwa taasisi

    Akiwasilisha ripoti yake kwa Rais, Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, Charle Kichere ameeleza kuwa mashirika 12 kati ya 217 yaliyokaguliwa yametumia Bilioni 371 katika matumizi yasiyoleta thamani kwa taasisi. Matumizi hayo yalitokana na mambo mbalimbali ikiwemo malimbikizo ya riba...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025

    Leo Machi 27, 2025 majira ya saa 5:00 asubuhi Rais Samia Suluhu Hassan atapokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ya mwaka 2023/2024 Ikulu Dar es Salam. https://www.youtube.com/live/5EZXxHObW-k?si=aMlOZdDHTaaGHgmt TUJIKUMBUSHE ALICHOSEMA RAIS SAMIA BAADA YA KUPOKEA REPOTI YA...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mwezi March, 2025 unayoyoma, taarifa ya CAG mbona kimya?

    Kwa kawaida, mwezi march ndio kipindi ambacho taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) hukabidhiwa kwa Rais. Swali: March ya mwaka huu wa 2025, inaanza kuyoyoma,. Vipi taarifa ya CAG kwa mwaka huu inakabidhiwa lini kwa Raisi? Mwenye majibu tafadhali ingawa hatutarajii jipya...
  16. HORSE POWER

    JamiiForums Tanzania Vipi taasisi hizi zikipitiwa na CAG?

    Habari ndugu zangu!! Kwa ufinyu wangu wa mawazo na elimu yangu duni nawaza tu kwamba sijui hali itakuaje siku CAG akipitia mahesabu ya TISS na TPDF.Maana kila mwaka huko anakokagua CAG wizi upo pale pale kama kawaida tena wa mabilioni ya shilingi.Serikali ipo,bunge lipo,TAKUKURU wapo lakini wizi...
  17. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Gharama za matibabu India, CAG anaweza kuzichunguza?

    1. Imekua kawaida Watanzania kwenda kutibiwa India kwa Kodi za wavuja jasho. 2. Hizi gharama CAG anaweza kuzikagua? Maana tunapanda nao Emirates wao wakitanua Business class na wasindikizaji huku walipa Kodi tukijilipia economy
  18. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Unafuta Sherehe za Uhuru kuokoa pesa wakati huo huo wale wote walio husika na upigaji report ya CAG mwaka huu umewasamehe kwa asilia 100

    Rasi Samia anafanya hadaaa za kiwango cha juu kabisa, na pia anacheza na akili za wajinga kwenye hii Jamhuri ilio jaa wajinga. Report ya CAG mwaka huu watuhumiwa wote wamesamehewa kwa asilimia 100 kwa kuombewa msamaha na kamati ya CCM ya kuombea watuhumiwa mbalia mbali msamaha kwa raisi...
  19. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania CAG wa Usajili kwa Clubs za Simba na Yanga

    Tunapoelekea nusu ya msimu mimi Mkaguzi Mkuu wa Sirikali. USAJILI WA DUBE Wanachama waangalie jambo hili wakiwahoji viongozi wao. Hizo Milion 700 za kumnunua Dube alikula nani? Tunapoangalia katika misimu ambayo Dube amechezea Azam ni minne. Ambapo ameibuka na magoli jumla 32. Wastani wa magoli...
  20. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Mnaopata kiungulia kila Ripoti ya CAG ikitolewa oneni madudu yanayotokea kwenye nchi za wazungu

    Wakati Tanzania ikizozana kuhusu uwajibikaji wa matumizi ya fedha za umma, hebu tutazame hali katika mataifa yanayodai kuwa vinara wa uwazi na utawala bora. Ripoti za hivi karibuni kutoka Marekani zinaonyesha kuwa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inashindwa kupitisha ukaguzi wa hesabu...
Back
Top Bottom