cag

  1. K

    Hivi kwanini nafasi ya Bosi wa TAKUKURU haina kinga kama nafasi ya CAG?

    Nilikuwa katika kijiwe flani cha Wasomo wakati tukijadiliana suala la rushwa, kuna hoja ilianzishwa kwamba moja ya jambo ambalo watu wanalichukuliwa poa ni kwamba linaweza kuwa linachan gia matukio ya rushwa kuendelea kuwa ngumu kudhibitiwa hasa yale makubwa ni mtu anayeshika nafasi ya...
  2. sanalii

    Kwa hali iliopo sasa, hata report ya CAG ni useless and pointless

    Wanaweza toa report sahihi ila isifanyiwe kazi yoyote mana wahusika ni washirika wa Samia au watatoa report ya kumpamba tu. Kifupi taasisi zote zimeshakua paralyzed na wanafanya kumridhisha au kutomkasirisha samia. Wapigaji nao watatumia mwanya huu ipasavyo. Inasikitisha kuona nchi...
  3. S

    GE2025 Wanaotajwa kwenye ripoti za CAG wangekuwa wanakamatwa kama wanavyokamtwa viongozi na wanachama wa CHADEMA, hii nchi ingekuwa mbali sana

    Ukweli ndio huo na habari ndio hio. Hii nchi inahitaji watanzania tufanye maamuzi magumu. Inasikitisha sana!
  4. Dalton elijah

    Waende kwa CAG kwa sasa CHADEMA imefungiwa inaweza leta hizo document na haina wafanyakazi

    Watu wote wamezuiwa kutumia resources za CHADEMA kama wanataka nyaraka wafungulie CHAMA kishwa waende kwa Katibu Mkuu John Mnyika na kamati tendaji yake waulize maswali kuhusu hizo financial report wanataka Unafungia chama kisifanye kazi halafu unaomba nyaraka za kihasibu huyo mhasibu...
  5. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tumeimarisha CAG na TAKUKURU, Hati Chafu zimepungua kutoka 10 mwaka 2021 hadi 1 kwa Miaka Minne

    Mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM, Samia Suluhu, amesema, "Kwa upande wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi, Serikali imejitahidi kuimarisha taasisi za mdhibiti, Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili ziweze kufanya kazi zake...
  6. B-2 STEALTH BOMBER

    Kila hotuba zao kwenye uzinduzi wa miraji yao utasikia itachochea ukuaji wa biashara/imekuza biashara. Njoo sasa kwa CAG

    Kila hotuba za wanaotuongoza utawasikia wanajitapa mradi huu chini ya mama.samia umekuza biashara kwa asilimia 120% au utakuza uchumi kwa 180%. Ili mradi tu uongo uongo na kuwahadaa watanganyika. Inasikitisha zaidi pale wanapo jifanya kama.hawaoni uhalisia. Ipo shida kwenye usimamizi wa hiyo...
  7. W

    Polepole: Ripoti za CAG zinakwenda kwa watu, watu wanauliza mbona hatua hatuchukui? Na mbona chama kimekaa kimya?

    Humphery Polepole ameeleza kuwa ripoti za CAG zinaeleza vitu vibaya na zinakwenda kwa watu na watu wanauliza mbona hatua hazichukuliwi na chama kimekaa kimya? "Ningewachambulia hapa ripoti za mkaguzi na mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali namna zinasema manenomabaya. Hizi ripoti...
  8. W

    SI KWELI PreGE2025 Utendaji mbovu wa Humphrey Polepole ndiyo sababu ya kuenguliwa

    Wakuu nimekutana na hii Taarifa je ni ya kweli?
  9. Dennis Robert Shughuru

    Nikiwa Rais wa Tanzania wote watakaotajwa kwenye Ripoti ya CAG watachukulia hatua kali za kisheria na hata kifungo

    Deni la Taifa linakuwa alafu mda huo huo ukisoma report ya CAG unaona kuna watu wanaiba na bado wanaendelea kubaki kazini sio sawa kwa nchi ambayo inategemea wahisani ilihali tax base ni ndogo Yafuatayo ntafanya baada tu ya report ya CAG kusomwa Wote ambao idara zao zinahusika kwenye...
  10. K

    Hivi CAG anajua pesa zinazotumika kwenye haya matamasha yanaendelea nchini.

    Tamasha la sungusungu, mara tamasha la bulabo... Haya matamasha yanatumia pesa za walipa Kodi wa Tz he CAG analijua ilo.
  11. Carlos The Jackal

    Rais Samia anawambia Wananchi kujiandaa kulipa Kodi, wakati huohuo CAG tangu 2021 anaonyesha Majizi na Mafisadi yanavyotapanya Nchi

    RAIS anataka kuwakamua wananyonge na Masikini, wakati huohuo amefail katika Usimamizi wa FEDHA hizo zinazokusanywa, amefail katika kukusanya hizo Fedha. Luaga Mpina mara Kadhaa anaonyesha Kwa Ushahidi ni Mabilioni mangapi in USD yapo Mahakaman mpaka sasa!! Luaga Mpina mara Kadhaa anasema...
  12. kagoshima

    PreGE2025 Nani kamsikia Makalla akisemea dhidi ya ufisadi ulooneshwa na CAG, utekaji na, mauaji holela ya raia huko majukwaani zaidi ya kuitaja CHADEMA?

    Wadau hamjamboni? Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu ziara za mwenezi wa CCM. Zaidi ya kumsikia akitaja mara mbili mbili tatu CHADEMA, Lissu sijamsikia hata mara moja akitaja mengine ambayo nitatizo kwa nchi. Mfano, sijamsikia hata mara moja akitaja ufisadi na mafisadi hasa ufisadi wa wazi...
  13. Roving Journalist

    ACT Wazalendo yafanya Uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2023/2024, leo Mei 10, 2025

    ACT Wazalendo wanafanya Uchambuzi wa Ripoti ya CAG 2023/2024 Mei 10, 2025 https://www.youtube.com/live/Ltw_Nm2uc64?si=u_-wloQzSYNSmXcg UCHAMBUZI WA ACT WAZALENDO RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA MWEZI JUNI 2024 “Ubadhirifu, Uozo na Ufisadi...
  14. Waufukweni

    Ripoti ya CAG: TANROADS na TARURA wabainika na mapungufu makubwa, Usalama wa barabara hatarini kwa ukosefu wa bajeti

    Ukaguzi wa kiufundi wa ufungaji na matengenezo ya vifaa vya barabarani na ishara za mawasiliano ya barabara uliofanywa kwa TANROADS na TARURA umebaini mapungufu katika upangaji wa miradi, usimamizi wa mikataba, na matengenezo, hali ambayo imeathiri kwa kiasi kikubwa usalama wa barabara na...
  15. Miss Zomboko

    CAG: Transfoma zenye uwezo mdogo kuliko zilizoainishwa zilinunuliwa na kufungwa bila kufanya tathmini ya mahitaji ya Umeme

    REA alishindwa kufanya utafiti wa mahitaji umeme kama inavyotakiwa na badala yake ilitegemea takwimu zilizopitwa na wakati, hali iliyosababisha makadirio yasiyo sahihi ya mahitaji ya umeme. Pia, kulikuwako na ongezeko la gharama ya Shilingi bilioni 15.34 kutokana na maandalizi hafifu ya...
  16. Prof_Adventure_guide

    System Inatupiga Fix: CAG Anasema Ukweli, Wao Wanazima Taa – Tumechoka Kuibiwa Kifalme!

    Yo ma men, sikiliza hii game real quick... CAG ni OG wetu kwenye system, yaani Controller and Auditor General, the man supposed to check these sneaky-ass politicians when they misuse our tax money. But guess what? Every time jamaa anatoa report, it's like he droppin' a bomb on dirty secrets –...
  17. Zanzibar-ASP

    Sakata la Gambo na Mchengerwa angalau lilipaswa kuishia mikononi mwa CAG.

    Huwezi kutuhumiwa na hapo hapo ukajichunguza na kujihukumu. Gambo alitoa shutuma nzito za ubadhirifu dhidi ya wizara ya TAMISEMI, ilitosha kwa spika wa bunge kumuagiza CAG kwenda kupitia matumizi ya pesa za ujenzi uliotuhumiwa na ripoti yake kujadiliwa bungeni, mwisho wa siku mbichi na mbivu...
  18. Mindyou

    CAG asema amebaini TANROADS wameilipa kampuni ya Kichina malipo ya ziada ya Tshs Milioni 586.43

    Wakuu, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amesema amebaini Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) alimlipa mkandarasi malipo ya ziada kwa wakandarasi ya Sh.milioni 586.43. Amesema katika ukaguzi wake alibaini Agosti mosi mwaka 2023, TANROADS ilimlipa Kampuni ya M/S China...
  19. Roving Journalist

    Ripoti ya CAG: Ucheleweshaji wa Soko la Kariakoo na Mwanza ulisababisha ongezeko la Bilioni 1.35

    Ukaguzi wa kiufundi wa ukarabati na ujenzi wa Soko la Kariakoo, Soko Kuu la Mwanza, na Kituo cha Mabasi cha Nyamhongolo umebaini mapungufu katika upangaji wa miradi, usanifu, na usimamizi wa mikataba, hali iliyosababisha ongezeko la gharama na ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi. Kusoma...
  20. Dalton elijah

    Mukhatasari wa Ripoti Ya CAG kuhusu Mashirika ya Umma kwa Mwaka 2023/2024

    RIPOTI YA MWAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KUHUSU UKAGUZI WA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24 Ripoti hii inaonesha ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2024. Inajumuisha utendaji wa kifedha na uendeshaji wa mashirika ya umma...
Back
Top Bottom