caf

The CAF Champions League is an annual continental club football competition run by the Confederation of African Football (CAF). The top club sides from Africa's football leagues are invited to participate in this competition, which is the premier club football competition in the continent and the equivalent to the UEFA Champions League. Due to sponsorship reasons, the official name is Total CAF Champions League, with Total Champions League also in use.The winner of the tournament earns a berth for the FIFA Club World Cup, a tournament contested between the champion clubs from all six continental confederations, and also faces the winner of the CAF Confederation Cup in the following season's CAF Super Cup.
Egypt's Al Ahly SC is the most successful club in the competition's history, having won the tournament eight times. Egyptian clubs have accumulated the highest number of victories, winning the title 14 times.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Uzalendo kwanza:Tunaomba 'CAF' wairuhusu Simba iwape Yanga alama mbili ili wafuzu kuingia robo fainali!

    Habari wana jukwaa... Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali. Yanga atakuwa na jumla ya alama kumi ambazo zitaiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania WAlioshangaa Yanga kutolewa CAF champions cup ni mambumbumbu wa soka: Yanga hufuzu mara moja robo fainali katika muda wa miaka 25!

    Huu ni utaratibu wa Yanga kufuzu robo fainali kila baada ya miaka 25! yaani robo miaka 25!! Ilifuzu mwaka 2024 baada ya miaka 25 toka ifuzu hapo awali. Itafuzu tena mwaka 2049!!!.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Umri laendelea kuitesa Yanga: Yang'olewa Klabu Bingwa Afrika -CAF

    Hatimaye Safari ya Yanga katika Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAF imefikia tamati Baada ya Kuruhusu matokeo ya suluhu katika uwanja wa nyumbani. Pamoja na jitihada kubwa walizofanya wachezaji na hali ya Upambanaji waliyoionyesha lakini ilionekana wazi baadhi ya Wachezaji miili...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Tip of the weekend michuano ya CAF

    1.YANGA VS MCA yanga win 2.SIMBA VS CONSTANTINE Constantine double chance Ni siku nyingine ya kupiga hela za bure , best wishes
  5. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Mechi za CAF za kufuatiliwa Week-end hii

    Week-end hii ndipo mizunguko ya michezo ya CAF inakamilika. Kutakuwa ni michezo 16 lakini ya muhimu kufutaila ni hii hapa chini kwa vile mingine itakuwa ni ya kumailisha ratiba tu. CAF-CL Yanga Vs MC Alger: Mechi hii itaamua ni nani kati ya washindani ataingia robo finali na itakuwa ya...
  6. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Gusa. Achia. Twenda kwao. Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi. Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali. Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za...
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

    Kuna Timu moja nina uhakika wangekumbana na hili Rungu la CAF kama Wangesema wachangishane ili wakalipe Faini huko CAF kwa Mashabiki wao walivyo Masikini na Wabahili (Malugume) nina uhakika hadi hivi sasa wangekuwa na ama Shilingi Mia Tano (Jero) ya Sarafu au Elfu Moja (Buku) ya Karatasi.
  8. Labani og

    JamiiForums Tanzania Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

    Bakuli lishaanza kutembezwa. Mlivyokuwa mnatoa viti mnasema Ubaya Ubwela[emoji23][emoji23][emoji23]Haya toeni pesa. Na Zile za Uwanja zipo wapi kwanza? Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti [emoji23][emoji23] NB: yawezekana hata sio makolo...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania CAF wasifiche kuwa waliosababisha Michuano ya CHAN kusogezwa mbele kwa Kutokamilisha Miundombinu yao ni nchi ya Kenya

    Niwalaumu mno CAF kwani kama Kenya (ambao nina uhakika ndiyo wamechelewa kuwa na Miundombinu inayotakiwa kwa Mashindano hayo ya CHAN) bado kwa kuokoa muda na kutoharibu Ratiba za Mataifa mengine (kama Tanzania na Uchaguzi Mkuu mwaka huu) wangeweza kuwapa Rwanda nafasi hiyo kwani tayari Rwanda...
  10. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Michuano ya CHAN yasogezwa mbele hadi mwezi August, 2025

    Michuano ya CHAN ambayo ilipangwa kuanza kututuma vumbi kuanzia mwezi ujao Sasa imepigwa Danadana Mpaka mwezi August mwaka huu. Miongoni mwa sababu za Ratiba hiyo ni kutokukamilika kwa baadhi ya miundombinu kwa nchi ya Kenya, Tanzania na Uganda. Pia, CAF wametafuta Muda ambao mashindano yote...
  11. Pdidy

    JamiiForums Tanzania CAF mmesubiri tutinge robo final mje kutuaibisha na hii adhabu ilikuwa wapi kwani?

    Nimewaza na kuwazuia sanaa Hivi kwa nini Sxafen walipewa adhabu mapema kabisaaa. Hili hali wotee walifanya Fujo na Simba siku Moja Iweje Hawa jamaa leoo wameona tumeingia robo final WANAANZA kutuadhibu Adhabu yetu ilikuwa wapiii kwani? Kwa nini wasubirie Simba tuingie robo final ndio watupe...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

    Mpaka sasa Yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya CAF ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo Yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba! Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake...
  13. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania CAF wafute kanuni za goli la Ugenini na Head to Head, vinaondoa ladha ya mpira mfano ni Mwakarobo Simba

    Na declare interest,Mimi sio shabiki wa hizo Timu zenu za Kisiasa,Bali mpenda soka tuu Yaani Simba imeingia robo fainali wakati anaemfuatia ana uwezo wa kuzifikia pointi za Simba na Kuipita goal difference Yao. Kilichowafikisha hapo ni huu ujinga wa CAF ku entertain mambo ya goli la Ugenini na...
  14. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania FT: Bravos do Maquis 1-1 Simba SC | CAF Confederation Cup | Estadio 11 de Novembre | 12.01.2025

    Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika. Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kibu Denis: Mwanga upo kuhakikisha kwamba Simba tunachukua ubingwa wa CAF

    Nyota wa Simba Kibu Denis anasema hawana mechi ya nyumbani wala ugenini na kuna dalili kwa timu yao kuchukua ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na upambanaji wao. "Katika malengo yetu msimu huu moja ni hilo la kubeba ubingwa wa Afrika na naamini kwa uwezo wa timu yetu...
  16. Area 56

    JamiiForums Tanzania FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

    Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana. MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu ni muhimu sana kwa hatima ya Yanga katika kusonga mbele. Ikumbukwe MC Alger yupo nafasi ya pili akiwa na...
  17. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania CAF wawe makini na Mechi za MC Alger vs TP Mazembe na Al Hilal vs Yanga, Sisemi sana ila waweke mitego yao kuna Timu itanasa

    Habarini wakuu, Mechi kati ya Mc Alger vs Tp Mazembe, Al Hilal vs Yanga Hizi mechi CAF waziangalie kwa jicho la ukaribu zaidi na la kijasusi zaidi wakitega mitego yao kuna Mtu atanaswa na ndo itakuwa mwisho wa Timu husika kwaherini.
  18. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Tenzi za Rohoni;Cha Kutumaini Sina, unawafaa Yanga michuano ya CAF

    Aliyetunga wimbo huu ni kama aliwatungia Yanga kwenye michuani ya kimataifa? Wimbo sahihi kwa wakati sahihi
  19. Tembosa

    JamiiForums Tanzania FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

    Siku ya Mechi Kali. Mwenyeji: CS Sfaxien FC Mgeni : Simba SC Mashindano: CAF CC Group Stage. Group A. Uwanja: Stade Olympique Hammadi Agrebi Stadium, Rades, Tunisia. Tarehe: 05th January 2025 Muda: Saa 1Jioni (EAT) VIKOSI. 1. CS Sfaxien 2. Simba SC Updates On 1st Half 00' Mpira...
  20. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania Haya ndo yatakuwa Matokeo ya leo na kesho ya mechi za CAF: Constantine vs Bravos(Bravos atashinda), Yanga vs TP Mazembe(Mazembe atashinda)

    Habarini, Kama nilivyoanza hapo juu haya ndo yatakuwa matokeo ya mechi za Leo za Cafcl na Cafcc za Tarehe 4 January 2025 na kesho 5 January 2025. (Kesho): Constantine vs Bravos (Bravos atashinda) (Leo): Yanga vs Tp mazembe (Tp mazembe atashinda) (Leo): Orlando pirates vs stade abidjan...
Back
Top Bottom