Tunako katabia kidogo Watanzania, nadhani kitaifa, 'uwoga' wa kutoa mawazo tofauti, na nadhani nayo ni kasoro, katika demokrasia kila mtu lazima asikilizwe hata kama hukubaliani naye, na umuheshimu atoe mawazo yake mpaka yakamilike na umjibu kwa hoja usimtusi wala kumkashifu, jibu kwa hoja"-Mzee...