Butiama is a town in northern Tanzania and the birthplace of Julius Nyerere, the first president of Tanzania. Butiama is administrative centre of Butiama District, and lies within the Mara Region; it is also the local residential area of the Wazanaki tribe which is believed to be the smallest tribe in the region. The Mwalimu Nyerere Museum Centre is located in the town.
Several things have been named Butiama because of its significance to Tanzanian history, including the ferry MV Butiama that operates between Mwanza and Ukerewe.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of Butiama was 15,383.
MHE. GHATI CHOMETE ASHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU SUNZY MWITA CHAMBIRI WILAYANI BUTIAMA, MKOANI MARA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete Leo tarehe 10 Machi, 2026 ameungana na mamia ya waombolezaji waliojitokeza kushiriki Mazishi ya Marehemu Sunzy Mwita Chambiri...
Habari zenu.
Ni ipi ruti rahisi zaidi ya kufika Butiama kwa mwaka huu 2026 kwa kutokea Dar es Salaam.
Naomba kujua, Basi za Kupanda.
Nauli kiasi gani?
Shughuli kuu za kiuchumi za Butiama ni zipi?
Ulikuwa ni mkutano wa Kampeni na mgombea ubunge wa CCM alikuwa anakampeni apigiwe kura kuwa mbunge .
Baada ya Ngoma nyingi za utamaduni spichi zikaanza.
Akafika kada mmoja kuongea. Nimeshasahau alisema nini, lakini alikuwa tu anafungua mkutano anawakaribisha wote.
Halafu akaja huyu kada...
Mgombea urais kwa tiketi ya NLD, National League for Democracy,Bw. Doyo Hassan amefika Butiama leo.
Alipokelewa na Madaraka Nyerere na Andrew Nyerere.
Ametembelea kaburi,ameonyeshwa residence ya Chief Nyerere Burito.
Nimefika hapa jana nimeona uwanja unatayarishwa kwa shughuli fulani. Nimeuliza kuna nini hapa leo.? Nimeambiwa hapa Leo tunasheherekea Mara Day. Lakini uwanja ni maridadi sana. Nikaambiwa labda neye atafika.
Basi naona hawana habari. Lakini nimeambiwa hapa katika mjengo kwamba Rais atafika...
Natoka Morogoro naelekea Singida. Pale 100 km kutoka Morogoro imeanguka tanker ya mafuta, imeanguka pale pale kwenye lami. Wanakijiji wanakuja from all sides kuchota mafuta.
Nimeona malori mengi yamepaki pembeni. Nimeuliza,"Huyu hapa ameanguka, lakini hawa wengine wana shughuli gani hapa?"...
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia anayeshughulikia Elimu, Wilson Mahera, ameibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Butiama, akimshinda mbunge aliyekuwa akitetea nafasi hiyo, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria...
Wakuu,
Yaani wananchi hawana mchezo sasa hivi wanaruka na kila mtu. Leo wameruka na Sagini
Haijalishi wewe ni Waziri au Mbunge lakini wanaruka na wewe na hapa ni kwenye kura za maoni tu tunasubiri kuona kwenye kampeni itakuwaje.
Sagini Jumanne Abdallah amakutana na balaa zito kwa wananchi wa Butiama, baada ya ya baadhi ya wananchi kuonyesha kutomtaka kuendelea kujinadi mbele ya wajumbe
Hakika kweli wananchi mwaka huu wanalao jambo kwa viongozi waliwakimbia kuwaletea maendeleo
JamiiCheck imefuatilia Taarifa hii na kubaini kuwa inapotosha uhalisia.
Soma hapa
Msikilize huyu Mzee ambaye Kwa record zake nyingi amejipambanua kwa ukweli na kuwa mtu wa kuaminika,
Joseph Butiku ni Mzsee Msemakweli na Uelewa mpana.
Msikilize,
Mkuu wa Kanda ya Kaskazini, Vodacom Tanzania PLC, George Venanty (kushoto) akimkabidhi kiti mwendo mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkata ambapo pia walikabidhi matundu ya choo 10, magodoro 40, vitanda 20 na viti mwendo 47 kwa shule hiyo ikiwa ni sehemu ya shughuli zinazofanywa katika...
Wakuu
Wananchi wa Wilaya ya Butiama mkoani Mara wamejikuta wakinusuru fedha zao kwaajili ya bajeti ya kitoweo cha sherehe ya sikukuu ya kuchinja ‘Eid al-Adha’ baada ya Mbunge wa Jimbo la Butiama Jumanne Sagini kuchinja Ng’ombe zaidi 500 na kuwagawia.
Tukio hilo limetokea mapema leo Juni 7...
Nina safari hivi karibuni kwenda mkoa wa Mara Butiama naomba kujua yafuatayo:
-Je mabasi yanaondoka asbhi saa 12 au muda wowote?
- Safari kutoka Dar mpaka Butiama inachukua masaa mangapi mpaka kufika?
- Sehemu ya kufikia inayoridhisha nikiwa hapo Butiama.
Kuna tetesi kuwa mchakato wa uchaguzi wa CWT katika wilaya hiyo umegubikwa na visa vingi vinavyokiuka taratibu za uchaguzi.
Mojawapo ya visa hivyo ni pamoja na usambaji wa fomu kwa wagombea ngazi ya matawi unaoambatana na kupewa kiasi fulani cha pesa.
Tunaiomba TAKUKURU imulike uchaguzi huo...
Habari za mchana? Nilikuwa napenda kufahamu kwa ujumla mazingira ya wilaya ya butiama kwa mtu anayeenda kuanza kazi katika wilaya hiyo.
Kwenye upande wa mazingira na tamaduni za huko butiama ?
Gharama pia za maisha huko butiama zipoje ? Kama nyumba na vyakula.
Pia wanajidhughurisha na kilimo...
MBUNGE WA JIMBO APONGEZA VIJANA 32 WA MUSOMA VIJIJINI WALIOTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA
Leo ilikuwa siku ya Kikao cha Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) wa Wilaya ya Musoma Vijijini. Kikao kimefanyika Kijijini Murangi, Makao Makuu ya Chama Wilaya
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini...
Machozi ya furaha yanawatoka wana Butiama baada ya kuletewa mradi wa maji wa Mugango-Butiama, sasa hivi wamesahau kutumia punda kwenda umbali mrefu kutafuta maji. Rais Samia amekuwa mkombozi wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.