Busara was a literary journal published quarterly by the East African Publishing House, and later biannually, by the English Department at the University of Nairobi. It was first published under that name in 1968, and became one of the most influential literary journals of its time in Kenya. Jared Angira became its editor in chief in 1969.Originally the journal was founded as Nexus, and four issues appeared in 1967 and 1968, but it was renamed in 1968: "Busara" means "wisdom" in Kiswahili. Awori wa Kataka and Richard Gacheche were its first editors under that name; the choice for a Kiswahili name was influenced by other publications doing the same thing at a time when there was broad discussion in newly-independent Kenya about a national language.Notable contributors and editorial staff included Taban lo Liyong, Grace Ogot, Adrian Roscoe, Angus Calder, and Ngũgĩ wa Thiong'o, Jared Angira, and Chris Wanjala.
Kwa nini sikuhizi kila post ambayo inaonesha busara za Samia zinapata reaction nyingi za kucheka. Ni kama hamchukulii serious anachokisema. Sijapenda 😂😂
Kwaza swali kubwa la msingi Lissu anashitakiwa kwa uhaini au kuchochea uchaguzi usifanyike?
Kwamba alichochea vipi? Kwa watu kutazama video you tube na kuwafanya wakazuia uchaguzi kufanyika!
Uhaini ni kosa kubwa kuliko yote hapa nchini. Alikuwa na majeshi ya kupindua nchi? Kama hakuwa na...
Naona hata yeye ameshajua kuwa ana wakati mgumu.
Juzi amesikiika akiongea kwa unyonge kuwa mimi nitaondoka na watakuja wengine.
Hakuna haja ya kutumia nguvu na kumpeleka Icc kama Rodrigo Durtete mumchukue taratibu msije mkatuletea matatizo mengine
https://youtube.com/shorts/fqV8YjqT4bg?si=-IfgOWOIcnYOg8Wh
Maneno kuntu ya aliyekuwa PM In brief note:
Kassimu Majaliwa: Madaraka hayalazimishwi. Mungu ndiye hupanga nani awe nani ktk kuongoza watu wake
Kassimu Majaliwa: Hata ukilazimisha kupata nafasi hiyo, huwezi kupata kama Mungu hajasema...
Mtavunjiwa heshima bure kwa ajili ya uroho wa kula na kunya!
1. Utekaji
2. Uuaji
3. Ufisadi
4. Kuiba uchaguzi
5. etc
hivi havimvunjii mwalimu heshima.
Bure kabisa mabichwa mazee makubwa hamna kitu
Matamko ya juzi yameitenga kabisa Tanzania na Dunia
Imefika hatua mpaka waafrica wenzetu ( Ghana ) wanatoa tamko kuhusu hali ya Tanzania, na sasa kidogo kidogo tumeenza kukataliwa nje ya Africa.
Tukichelewa, tunaweza fika 2026 na jeraha ambalo litakua gumu au litachukua gharama kubwa...
Ndugu Watanzania,
Katika kipindi hiki ambacho hisia zimepanda, sauti zimegawanyika, na tumaini limeanza kuyumba, tunalazimika kurejea kwenye msingi mmoja unaotufanya tuwe taifa: Amani, utu na busara.
Leo, nchini mwetu zipo sauti nyingi.
Serikali inaona inalinda utulivu.
Wananchi wanaona...
Nawapa pole Wananchi wote wa Tanzania, pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia mshtuko, simanzi na sintofahamu iliyotokana na matukio ya Oktoba 29, 2025. Tukio lile lilileta majeraha kwa nyoyo za Watanzania, likaibua hofu, maumivu na maswali mengi kuhusu mwelekeo wa...
Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea.
Ni kweli tumeumbwa tofauti kila mmoja ana namna yake ya mihemuko na hasira lakini tuangalie hasara za baadae ambazo tutakuwa tumeziumba sisi wenyewe kutoka kwenye Vinywa vyetu...
https://youtu.be/a3x3e1QFasQ?si=WxGatqMY68D7RZ8v
Hili ni swali la Ansbert Gurumo kupitia Youtube Channel yake (SK Media Online TV)
Na huyu hapa 👇🏻👇🏻ni mmoja wa watazamaji wake waliotoa maoni yake akijitambulusha kuwa yeye alikuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura huko Shintanga, Manispaa ya...
Kosa na Mama Samia ni kupuuza wazee sasa nani atakuongelea! mwenye busara. wazee kama Warioba na Kimiti wangeweza kuongea na kunyamazisha vijana lakini dharau na kejeli za viongozi wa CCM na ubinafsi wa Raisi Mstaafu Kikwete sasa nchi haina mtu mmoja wa kuongea na kusikilizwa mwenye busara...
Ulikuwa mtu mwema kipindi cha uongozi wako, lakini leo watanzania wanakulilia. Umeiuza nchi kwa majambazi.Watanzania wanakufa, wanateswa sababu uliamua hawa wahuni wapewe nchi.
Nini Hatima ya Waliotekwa na Kufungwa na kuuwawa?.
Nini Hatima ya Vyama vya siasa hasa CHADEMA ?
Ni Hatima ya Tundu LISSU ?.
Nini Hatima ya Walio, wanao na watakaoendelea kuikosoa Serikali Kwa namna mbovu inavyoendesha Nchi?.
Nini Hatima ya Wazalendo ambao wanahitaji kuhakikisha...
Nimesikitika sana kuona unyama wanaofanyiwa wanyama na wachinjaji wa Ng'ombe.
Nimeona jamaa wakichinja huku Ng'ombe wengine wakiangalia ajabu kuna Ng'ombe walikuwa wanahalisha na kulia machozi kabisa wengine wakikojoa.
Hakika nimejifunza kitu siku zote nilijua wanyama hawana akili kumbe wanazo...
Siku ya leo, Dunia imeshtushwa na taarifa ya kifo cha Jaji Frank Caprio aliyejizolea umaarufu mkubwa duniani kutokana na kusikiliza mashauri kwa Hekima na busara za hali ya juu kabisa kuwahi kutokea.
Jaji huyu aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa anahudumu kama Jaji kiongozi wa Mahakama ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini ya urani kilichopo Namtumbo mkoani Ruvuma, ni hatua muhimu na ya kihistoria katika safari ya taifa kuelekea uchumi wa kisasa unaotegemea maarifa na rasilimali za...
Wananchama wengi wa CCM wametia nia ya kugombea nafasi za Udiwani na Ubunge. Moja ya sharti lililowekwa na CCM ni kuwa watia nia wote kwa nafasi za Udiwani na Ubunge kwanza watachujwa na Kamati za Wilaya na Mikoa na hatimaye majina yote kupelekwa Makao Makuu ya CCM - Dodoma kila mmoja akipewa...
Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...