bukoba

Bukoba is a city situated in the north west of The United Republic of Tanzania on the south western shores of Lake Victoria. It is the capital of the Kagera region, and the administrative seat for Bukoba Urban District. Population estimate: 100,000. The city is served by Bukoba Airport and regular ferry connections to and from Mwanza, as well as roads linking to Uganda's Rakai District for the cross border car commuters with plans underway for a standard gauge railway construction[1] to fulfil the high ambitions of Uganda.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Fatma Mwassa: Ifanyike tathimini waliojenga eneo la Mto Kanoni (Bukoba). Inadaiwa wamepelekea ujenzi wa daraja kusuasua

    Ikiwa imepita miezi minne tokea Mwanachama wa JamiiForums.com adai kwamba kuna ujenzi holela wa 'Night Club & Bar' ambapo alidai sehemu ya miundombinu yake imejengwa kwenye eneo la Hifadhi ya Mto Kanoni, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa amefanya ziara eneo hilo akiwa na wataalamu wa mipango...
  2. Roving Journalist

    TANROADS: Barabara ya njia nne (Bukoba) yenye urefu wa Kilometa 1.6 iliyoanza kujengwa 2023 kukamilika Novemba 2025

    Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Kagera, Mhandisi Ntuli amesema kwamba ukamilishaji wa ujenzi wa Barabara njia Nne Bukoba kutoka Rwamishenye hadi Makutano ya barabara ya stendi ya mabasi Mkoani Kagera unatarajiwa kukamilika Mwezi November 15/2025. Akizungumza kuhusu maendeleo ya...
  3. U

    Fahamu vituo mbalimbali kwa mnaosafiri kwa njia ya mabasi kwenda mkoa wenye wasomi wengi kagera

    Wadau hamjamboni nyote? Niwakumbushe vituo mbalimbali kwa wanaJF mnaosafiri kwa njia ya mabasi kwenda kanda pendwa ya ziwa Morogoro, Dodoma,Manyoni, Singida, Shelui , Igunga, Nzega, Tinde, Kahama Ushirombo na Muleba Niwatakie siku njema
  4. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Oliver Semuguruka atoa majiko ya Gesi kwa Wanawake Wajane, Bukoba

    Leo tarehe 22 Aprili, 2025, Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kagera, Mhe. Oliver Daniel Semuguruka, amekabidhi mitungi ya gesi zaidi ya hamsini (50) kwa wanawake wajane wanaoishi katika Halmashauri ya Bukoba. Akizungumza katika Baraza Maalumu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Bukoba...
  5. M

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI Nauza kiwanja changu kilichopo Ihungo, Bukoba Mjini. Kiwanja ni tambarare, kina ukubwa wa 20m x 40m, na barabara inapitika vizuri hadi kiwanjani. 📍 Mahali pazuri kwa makazi 🏫 Shule, hospitali na maduka vipo karibu 📄 Miliki halali, salama...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Bukoba: Zaidi ya nyumba 300 zazingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha

    Mvua kubwa iliyonyesha takribani saa tatu katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, imesababisha zaidi ya nyumba 300 katika mitaa ya Omukigusha, Byekela na Nyamkazi kuzingirwa na maji huku baadhi ya barabara zikifungwa ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza. Soma Pia: Morogoro: Zaidi ya...
  7. Y

    Wapi napata chemical bukoba

    Habari walee wanaoifahamu bukoba wapi naweza nikapata duka linalouza chemical bukoba
  8. Just Pray

    PreGE2025 Mbunge Bukoba Vijijini: Serikali imetoa bilioni 106.4 kutekeleza miradi ya maendeleo

    Serikali imetoa Sh bilioni 106.4 kufanikisha miradi ya maji, afya, barabara, umeme na elimu katika jimbo la Bukoba Vijijini mkoani Kagera kwa kipindi cha miaka minne, Mbunge wa jimbo hilo, Jassoni Rweikiza anasema. Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa...
  9. JanguKamaJangu

    Mkandarasi anayekarabati Stendi ya Bukoba amerejea 'site' baada ya ujenzi kusimama mwaka mzima

    Nimefanikiwa kupita kwenye Stendi ya Bukoba ambayo iliezwa na Viongozi wetu wa Serikali kuwa inafanyiwa ukarabati mkubwa, nimekuta kwa sasa ujenzi unaendelea baada ya kusimama kwa zaidi mwaka mzima. Mnamo Januari 2025 nilileta hoja hapa Jukwaani nikaeleza kwamba ujenzi umesimama na mkandarasi...
  10. W

    Kiwanja kinapatikana Bei Poa Bukoba Mjini

    🔹 Eneo: Ishambya, Block D, Bukoba Mjini 🔹 Ukubwa: 1,052 sqm 🔹 Umbali: Dakika chache kutoka lami 🔹 Mandhari: Eneo limeendelea, watu tayari wamejenga Inafaa kwa matumizi yote – Makazi, biashara n.k. Miundombinu yote ipo – Maji, umeme, shule, hospitali na huduma nyingine muhimu Wasiliana nami...
  11. W

    Natafuta dalali wa kiwanja

    TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali. Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
  12. Y

    Natafta Room yakuanzia maisha bukoba

    Habari Wana JF Nashukuru kwa wote walio changia ushauri katika harakati zangu zakutaka kwenda kutafta maisha bukoba katika Uzi uliopita na majibu nikwamba naenda kuuza senene.🙏🙏 Naam Sasa ninaomba kwa alieko bukoba naomba anisaidie nipate room Moja yakukaa 🙏🙏
  13. Superbug

    Leo naomba kujuzwa kuhusu senene wa bukoba

    Naomba nielimishwe kuhusu senene wa bukoba. Je wanaharibika baada ya muda Gani? Na kwanini wapo bukoba ZAIDI kuliko maeneo mengine?
  14. Y

    Fursa za biashara Bukoba mtaji million 5

    Habari Wana JF Naomba kwa mtuu anae ifahamu Bukoba anipe abc za fursa za kibiashara Nina mtaji wa million 5 nanimgeni katika mkoa huo 🙏
  15. A

    KERO Ukosefu wa maji Kata ya Buhembe - Manispaa ya Bukoba unatuumiza wengi

    Sisi Wakazi wa Kata ya Buhembe katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera tunaomba Mamlaka ya Maji Bukoba (BUWASA) kushughulikia suala la ukosefu wa maji kwenye Kata ya Buhembe. Serikali imewekeza fedha nyingi ujenzi wa tenki kubwa la maji katika Kata ya Buhembe na limeshazinduliwa na Mwenge wa...
  16. K

    Rais Samia ikumbuke kata ya Ijuganyondo iliyopo Manispaa ya Bukoba Mjini, inakosa huduma muhimu za kijamii

    Mh Rais ikumbuke kata ya IJUGANYONDO iliyopo Manispaa ya BUKOBA MJINI maana kata hiyo Ina changamoto nyingi sana. Yaani huduma za kijamii hazipo katika kata hiyo.
  17. Apollo tyres

    Tetesi: Dr Bashiru kugombea udiwani kata ya Kanazi, Bukoba vijijini.

    Hii Taarifa nimedokezwa na Wadau wa kanazi kuwa Dr Bashiru anataka udiwani wa kata kanazi. Kama ni kweli basi nadhani ameamua kujiua kisiasa na kukubali matokeo.
  18. Knock life

    Justin Kimodoi anafanya kazi kubwa sana, naomba uje ugombee Ubunge Bukoba Mjini

    Justin Kimodoi Njoo uchukue Jimbo Bukoba mjini. Kijana Kimodoi kutoka Texas nchini Marekani tunakuomba uje uchukue Jimbo Bukoba mjini . Tunahitaji Kijana Mzalendo na mchapa Kazi na anayejitambua. Wananchi wanakuhitaji wewe tu Pia soma > TANZIA - Mdau wa maendeleo Kagera, Justin Kimodoi...
  19. Jipatie Siagi ya karanga

    Naomba msaada kwa wenye usafiri wa kwenda Bukoba kesho.

    Wakuu nimeitwa Usaili Bukoba , baada ya kusambaza CV yangu Ila changamoto nilionayo ni nauli tu. Kama unaweza nisapoti lift nitashukuru Sana . Au Kwa namna yoyote ile.
Back
Top Bottom