binti

Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.

View More On Wikipedia.org
  1. EDIGAR JO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta binti au mchumba

    LEO ULIJUE HILI Tofauti Sahihi (Kibiashara): 1. New Phone (Mpya Kabisa) Haijawahi kutumika. Imefungwa (sealed) moja kwa moja kutoka kiwandani. Inakuja na warranty ya kiwandani. Hii ndiyo aina ya juu zaidi na bei kubwa zaidi. 2. Refurbished (Referb) Simu iliyowahi kutumika (labda ilikuwa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti yangu; ukiona Dalili hizi kwa Mchumba anayetaka Kukuoa kimbia haraka Sana

    BINTI YANGU; UKIONA DALILI HIZI KWA MCHUMBA ANAYETAKA KUKUOA KIMBIA HARAKA SANA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwanza nilikuambia unatakiwa ujitegemee na uweze kujimudu mahitaji yako ya msingi. Huo ndio UTU wako. Na hiyo ni Moja ya sifa kuu ya Mwanamke Bora atakayekuwa Mama Bora na Mke...
  3. kadiri kasimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JE single Father nae anaruhusiwa kuowa Binti kigoli ambaye ni mgeni kwenye ntansinia ya mapenzi?

    Salam kwenu wakuu! Twende kwenye mada husika, yupo mwamba moja yeye ana umri wa miaka 39 saivi, na hadi sasa ana watoto 6, wanne mama tofauti tofauti, na wawili mama moja huyo ndo waliishi nae km 8yrs, wakaachana, hao wengine jamaa alipita tu, ss baada ya kuachana na huyu alieishi nae...
  4. RUKUKU BOY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nipeni ushauri kuhusu huyu binti

    I hope everyone is doing well. Mie ni mwanaume, 30 years. Nilipomaliza chuo nilipambana Ili kujenga uchumi wangu,,sahivi namshukuri Mungu maisha yanasonga. Kwa Sasa nataka kuoa ila mpenzi niliyenae ananiweka dilemma, Kwa maana kwamba nimuoe au nisimuoe. Huyu binti ana 22years, amesoma...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna wazazi wangapi wasomi hapa Tanzania wanaolea mtoto kama ambavyo huyu binti anavolelewa ?

    binti wa miaka saba akiwa anakamua maziwa kwenye ngombe wa nyumbani kwao binti akiwa bandani anafuga zake kuku
  6. Damaso

    JamiiForums Tanzania Video ya binti akivuta sigara

    Katika siku kadhaa kumekuwa na video ikimuonesha binti mdogo mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 12 mpaka 14 akifika duka moja na kuwasha sigara kisha kuivuta. Ni video fupi ambayo imesambaa kwa kasi sana, Facebook, Tiktok na hapa X (Twitter). Kwa baadhi ya watu inaweza kuwa ni video...
  7. SweetyCandy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama wewe ni binti au kijana

    Umekuta mwanamke ana mume wake na wanandoa halali acha kuivuruga . Maana kwa sasa utaona sawa ila kwa baadae wewe na familia yako , mtakipata pata , mtapata kijitoto kingine kimteke mume wako na wewe utamani kujiua. Kama sasa unavyomfanyia mwenzako kwenye ndoa yake. Kuna mwanadada alikuwa ni...
  8. SHIMBWE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa mawazo kuhusu huyu binti

    Habari wanaJf, Kuna binti nipo nae kwenye mahusiano yakususua karibu mwaka wa pili huu. Huyu binti kipindi anasoma chuo kwa bahati akapata ujauzito na kufanikiwa kupata mtoto. Mwanzo alikuwa anaogopa kuniambia kama ana mtoto ila akaja akaniambia ukweli. Sasa kamaliza chuo anataka kuja kwangu na...
  9. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Naomba niijibu hoja ya Mtume Mohamed kumuoa binti wa miaka tisa

    Mimi ni Mkristo Mkatoliki lakini ni freemind,au open mind,freemind ni mtu asiyefungwa na mipaka ya ufahamu wa eneo moja kwa maana nyingine ni msaka maarifa kwa maana elimu ni bahari. Elimu Zipo za aina nyingi maandamu usitoke nje ya reli elimu ni sawa na miruzi mingi chukua ile ikufuayo. Nirudi...
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na video ya huyu binti, imenikumbusha kuwa asilimia kubwa ya mabinti wa kileo hawako resistant na ushawishi wa jamaa mwenye pesa na jina

    Masikini unakuta hata bwana yake huko alikuwa ndio anajichanga aende kujitambulisha ghafla akaona hii clip😂 Ukiwa una pesa alafu ukikutana na demu mwenye bwana, ukimuulizia kuhusu bwana yake ataakuambia "aah yule tunasumbuana"
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Huyu binti ali drop kali ya mji moja hivi alafu ghafla akapotea tena bila kuonekana

    Mitandao hii inaweza kukufanya ukawa star kwa mambo ambayo hukutarajia au ulifanya makusudi ila iikaenda ndivyo sivyo, nafikir ameamua kujificha kuiepuka aibu
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana mjifunze Kutongoza. Mmenisikitisha Sana kwa waliomfuata Binti Kimoso. Mbinu za kutongoza Mwanamke mtandaoni ni hizi;

    Habari za Jumapili! Hatukatai nanyi ni wanaume mnapenda wanawake wazuri Sana. Hatukatai wanaume tumeumbwa kuwajaribu wanawake kuona yaliyomo yamo na anamsimamo au Hana! Kama mwanaume kutongoza kupo damuni. Sisi Watibeli hatuzuii wake zetu au wachumba zetu kutongozwa kwa Sababu kuu mbili...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KHERI ya kuzaliwa Kipenzi changu Binti Kimoso

    Kheri ya kuzaliwa Binti Kimoso! Mungu akupe maisha mazuri yenye KHERI nyingi Sana katika mapito yako. Kwangu umekuwa Baraka Sana. Wewe ni Mama wa Watibeli. Watibeli wanajivunia kuwa na mama kama wewe. Nakupenda Sana Binti Kimoso. Binti Kimoso ni Mmoja tuu. Mtoto mzuri kila idara. Mwaah!
  14. Mobutu JR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yule binti aliyekuwa anataka aje kwetu kuolewa Sasa ninae Kama mke wangu

    Wakuu Kama mnakumbuka niliwahi kuleta Uzi unaohusu kuwa nilienda kuchumbia, binti akanikubali ila wazazi hawakukubaliana mahali so zoezi halikufanikiwa Baada ya muda kidogo binti akawa ananipigia simu anadai kuwa licha ya wazazi kua hawakuelewana anataka aje kwetu kuolewa no matter what...
  15. Kinyungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Faida za Kumuoa Binti wa Kwanza Katika Familia

    Katika familia zetu za Kitanzania Binti wa kwanza hulelewa akiwa na uwajibikaji mkubwa kutokana na majukumu aliyobeba tangu utotoni. Huwa na uzoefu wa kusimamia familia, uvumilivu, na ujuzi wa kutatua changamoto. Malezi haya humjenga kuwa mke anayejali, mwenye maamuzi sahihi na mshauri mzuri kwa...
  16. Isaya wa njombe

    JamiiForums Tanzania NAHISI KUROGWA NA BINTI WA KICHAGA😂😂

    h
  17. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Binti miaka 19 afariki siku yake ya kuzaliwa akiwa geto kwa mpenzi wake

    Polisi huko Lang'ata, Kenya wanachunguza tukio ambalo Faith Momanyi, binti mwenye umri wa miaka 19 aliyemaliza kidato cha 4, alifariki kwa kutatanisha nyumbani kwa mpenzi wake baada ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa. Faith inaripotiwa kuwa aliondoka nyumbani kwa wazazi wake, na katika kundi...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Binti sayuni, can you be mine please??

    Binti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata kujaribu. Si mara zote mtu hukutana na upekee wa namna hii—ule mng’ao wa nyota ya jioni, wa kuvutia...
  19. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemwambia binti ambaye ni jirani yangu haina maana "kunyimana" sisi ni kitu kimoja amechukia!

    Wakuu, poleni na pilika Sasa, kuna binti ambaye ni tunaishi nyumba moja, Huwa anavaa khanga moja anapita akaniona tu anapita anatikisa mzigo sio poa, wengine anapita amevaa amejizinga vizuri tu Ila akiniona anavaa "nusu ngozi nusu nguo""🥶 👉Ni mzuri wa maumbiko amejaa haja nyuma sio poa Sasa...
  20. kiredio Jr

    JamiiForums Tanzania Kila nikikumbuka aibu niliyoipata sitamani tena hata kuonana na yule binti

    Siku hiyo nilienda msibani ambapo nilifiwa na mjomba wangu, sasa kama unavyojua kwenye msiba ndugu mbalimbali hukutana. Na siku hiyo alikuwepo ndugu yangu ambaye alikuwa ni binti mrembo sana na tunafahamiana na kiukweli huwa namtamani sana. Wakati shughuli za mazishi zimekamilika, tukabaki...
Back
Top Bottom