biden

Joseph Robinette Biden Jr. ( BY-dən; born November 20, 1942) is an American politician and the 46th president-elect of the United States. After defeating incumbent Donald Trump in the 2020 United States presidential election, he will be inaugurated as the 46th president in January 2021. A member of the Democratic Party, Biden previously served as the 47th vice president from 2009 to 2017 and United States Senator for Delaware from 1973 to 2009.
Raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware, Biden studied at the University of Delaware before earning his law degree from Syracuse University in 1968. He was elected a New Castle County Councillor in 1970, and became the sixth-youngest senator in American history when he was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972, at the age of 29. Biden was a longtime member of the Senate Foreign Relations Committee, and eventually its chairman. He opposed the Gulf War in 1991, but supported expanding the NATO alliance into Eastern Europe and its intervention in the Yugoslav Wars of the 1990s. He supported the resolution authorizing the Iraq War in 2002, but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He also chaired the Senate Judiciary Committee from 1987 to 1995, dealing with drug policy, crime prevention, and civil liberties issues; he led the effort to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act, and oversaw six U.S. Supreme Court confirmation hearings, including the contentious hearings for Robert Bork and Clarence Thomas. He ran unsuccessfully for the Democratic presidential nomination in 1988 and again in 2008.
Biden was reelected to the Senate six times, and was the fourth-most senior senator when he resigned to serve as Barack Obama's vice president after they won the 2008 presidential election; Obama and Biden were reelected in 2012. As vice president, Biden oversaw infrastructure spending in 2009 to counteract the Great Recession. His negotiations with congressional Republicans helped pass legislation including the 2010 Tax Relief Act, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved a debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending "fiscal cliff". He also led efforts to pass the United States–Russia New START treaty, supported military intervention in Libya, and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. Following the Sandy Hook Elementary School shooting he led the Gun Violence Task Force. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction.
In April 2019, Biden announced his candidacy in the 2020 presidential election, and he reached the delegate threshold needed to secure the Democratic nomination in June 2020. On August 11, he announced U.S. Senator Kamala Harris of California as his running mate. Biden won the 2020 presidential election of November 3 against President Trump. Thus, he is only the second non-incumbent vice president to become President-elect of the United States, and the first since Richard Nixon in 1968.

View More On Wikipedia.org
  1. Ex Spy

    Trump afuta Mkataba na Kenya wenye thamani ya KSh7.4 Bilioni uliosainiwa na Biden na Ruto

    Nov 24, 2025 Kenya imekuwa miongoni mwa walioathirika zaidi, huku thamani ya kandarasi za Marekani zilizofutwa hadi sasa ikizidi takribani Shilingi (za Kenya) bilioni 108. ======== Kenya has been among the hardest hit, with the value of cancelled American contracts now exceeding Sh108...
  2. DR HAYA LAND

    All i see is Biden style

    Will miss you Biden , you did what you did , in can't blame you anymore .
  3. Mikael Aweda

    Kitendawili Kisa Cha Rais Biden wa USA kuondolewa na Chama chake Cha Democrats na Sarakasi ya CCM na Samia Dodoma. Yajayo yanafurahisha.

    Muda wa kampeni ukafika. Kampeni ilianza kati ya Trump na Rais Joe Biden. Mdahalo wa kwanza ukaandaliwa kati ya Trump na Biden. Biden akafanya vibaya pamoja na kuibiwa maswali ya mdahalo kabla. Ikumbukwe Establishment ya Democrats akina Obama, Schumer na vigogo wengi hawakumtaka Biden Toka...
  4. The Burning Spear

    Wamarekani walimpiga chini Biden Kwa kukosa uwezo sisi tunashindwa nini?

    GT. Watanganyika kama tutaendelea kama ilivyo sasa tunakoelekea ni kubaya zaidi ya hapa tulipo. Dalili zote zimeshaonyesha kwamba namba moja hana uwezo wowote shida ipo wapi kumweka pembeni? Maono ya mzee wa msoga yameshatimia mambo tayari yashakuwa mabya saaana kwa hiyo hakuna budi akae...
  5. Yoda

    Biden akiangalia Iran ilivyotepeta kirahisi na hakuna WWIII atakuwa anajuta sana kukubali kutishwa na Putin uvamizi wa Ukraine

    Matisho ya Putin wa Urusi kwamba akiguswa na West atafungulia milango ya kuzimu ni kama haya matisho ya MaAyatollah wa Iran tu. Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran iliyokwanguliwa yote na Israel ndani ya wiki moja na kulifanya anga zima la Iran kuwa shamba la bibi kwa ndege za Isreal na Marekani ni...
  6. Logikos

    Trump Mzee wa Distraction: Alisambaza Fake News kwamba Biden ni Clone (Biden wa kweli alikufa 2020)

    Wanakati huku zinakuja News kwamba fortune (Utajiri wa Trump) umeongezeka mara mbili ndani ya mwaka na kwamba alikuwa rafiki wa karibu na molester wa vibinti vidogo Jeffrey Edward Epstein ; Trump akaamua kupost kwenye Platform yake kwamba Biden huyu aliyepo ni Clone... Kweli dunia ya sasa the...
  7. Just Pray

    Aliyekuwa Rais wa Marekani Joe Biden akutwa na saratani ya Tezi dume

    Rais Biden akutwa na saratani ya tezi dume, imesambaa kwenye mifupa Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden (82) amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya tezi dume ambayo imesambaa hadi kwenye mifupa yake. Saratani ni ugonjwa ambao hutokea pindi ukuaji wa seli mwilini unapotokea katika namna...
  8. Yoda

    Trump amtupia lawama Biden uchumi wa Marekani ukitegemewa kufanya vibaya!

    Katika kile kinachooneka uchumi wa Marekani kutegemewa kutofanya vizuri katika robo ya pili ya mwaka baada ya kusinyaa katika robo ya kwanza tangu aingie madarakani, Rais wa US, Trump ameonekana kukwepa uwajibikaji na kutupa lawama kwa mtangulizi wake Biden!
  9. Kijakazi

    D.Trump anazidi kutuamsha, Biden kikaangoni na signatures!

    raisi D.Trump ametutoa tongo tongo baadhi yetu au sijui niseme wengi wetu? kumbe biden alikuwa hasaini yeye mikataba mingi na excutive orders bali ni mashine, sasa raisi D.Trump amesema hizo mikataba yoote iliyosainiwa kwa niaba ya biden haitambuliki, kwa maana ni lazima raisi asaini mwenyewe...
  10. R

    Haya mapenzi ya Trump kwa Israel afanyiwe DNA test yawezekana ni myahudi, Maelfu ya mabomu ya MK-84 yaliyozuiliwa na Biden yamewasili Israel

    Wiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo yamewasili rasmi Israel siku ya Jumamosi, tarehe 15 Februari 2025 kwenye bandari ya Israel. Uamuzi...
  11. Jackal

    Trump Amuondolea Joe Biden Haki Ya Kupatiwa" Taarifa Za Siri/Classified Informations "Kama Ilivyotakiwa Kwa Maraisi Waliotangulia Wa Marekani

    President Donald Trump has said he’s revoking Joe Biden’s security clearance and ending the daily intelligence briefings he’s receiving, in payback for Biden doing the same to him in the wake of the January 6 attacks. Trump announced his decision in a post saying: “There is no need for Joe...
  12. D

    Biden alimfutia mtoto wake mashitaka; Trump kawafutia mashitaka mashabiki zake na kuwafukuza kazi wote waliomhukumu. Demokrasia ipo wapi?

    Wote wametumia nguvu ya uraisi. Tunajifunza nini' ikiwa huko ndo kioo Cha demokrasia Kila mtu anatolea mfano?!!
  13. britanicca

    Biden alimwambia Obama Kidogo ajiuzulu

    Utawala bora Uuzwaji Bandari ya Washington DC Utekwaji wa wamarekani Uchumi ku fubaa Biden alikuwa sahihi kwamba muhula Mwingine hagombei Kama mwenza
  14. Carlos The Jackal

    Tuhuma za Mtoto wa Biden , zilichangia Kwa asilimia Kubwa sana BIDEN kuzuiwa Kugombea Urais ! Ni vipi Hapa kwetu Tuhuma anazotoa LISSU!!

    Kwanini Nyerere alisahau kutamka RUSHWA kama adui mojawapo hapa nchini?. Ni kwamba alichukulia suala la Rushwa kama kitu kidogo? Katika mataifa ye Demokrasia, hizo tuhuma anazotoa LISSU Kila siku zilitakiwa tuone Serikali inatoa Tamko. Na Serikali inapokaa kimya, basi Dola na vyombo vyake...
  15. ELI COHEN

    Hegseth, waziri wa Ulinz mtarajiwa U.S: “Nilijitolea kulinda uapisho wa Biden na nikakataliwa kwa sababu ya kuwa na tattoo ya msalaba wa kikristu"

    Jana Pete Hegseth alipokuwa anahojiwa na kamati ya bunge, alisema alitambulika kama mwenye "msimamo mkali" hivyo kukataliwa nafasi hio ya kulinda sherehe ya uapisho wa Rais Biden. Lakini cha kushangaza jeshi la Marekani linaluhusu ushoga wa kupindukia katika uongozi wake.
  16. errymars

    Netanyahu na Biden wajadili mpango wa Kusitisha Mapigano Gaza na Kuachiliwa Mateka

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, amezungumza na Rais wa Marekani Joe Biden, kuhusu maendeleo katika mazungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza. "Waziri Mkuu alijadiliana na rais wa Marekani maendeleo ya mazungumzo ya kuwaachilia mateka wetu na kumsasisha juu ya mamlaka...
  17. U

    Rais Biden aidhinisha msaada wa kijeshi kwa Israel wenye thamani ya Dola billion 8, yapo makombora hatari na droni za kisasa na mabomu mazito

    Wadau hamjamboni nyote? Rais Biden amebakiwa wiki 2 tu kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais Trump Ameamua kuidhinisha msaada wa Mwisho Kwa taifa takatifu kabla ya kuondoka Mungu ibariki Israel Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Biden administration prepping $8 billion arms package...
  18. Nyani Ngabu

    Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

    Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza. Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake. Hii ni aibu. https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb Video ndefu zaidi hii hapa…...
  19. B

    Rais Biden kukutana viongozi kutoka Angola, DR Congo, Tanzania na Zambia

    02 December 2024 Washington DC na Luanda Angola ZIARA YA RAIS JOE BIDEN AFRIKA KULETA FURSA KWA MATAIFA MANNE Rais Biden kukutana viongozi kutoka Angola, DR Congo, Tanzania na Zambia juu ya mradi wa reli kutoka Lobito, Angola utakaopita DR Congo, Zambia hadi Bahari ya Hindi Tanzania...
  20. G

    Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

    Wiki iliyopita Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini haikuwa hivyo kwa Rais, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta chochote cha kujisifia kwa siku 60 alizobakiza, Alimwambia Netanyahu akubali kustop mashambulizi lasivyo hamuuzii...
Back
Top Bottom