A
Anonymous
Guest
Hii ni barabara ipo Dar Es Salaam
Barabara ya Dege - Mbutu, Kichangani Kata ya Somangila, Mkoa Wa Dar Es Salaam imekuwa kero kwa miaka mingi licha ya baadhi ya Viongozi wa Serikali kuja mara kwa mara pasipo utatuzi wa kilio chetu
Kinachoshangaza hili barabara ni muhimu maana huku Mbutu kuna machimbo ya kokoto, mawe na vifusi ambavyo kila saa malori yanaingia pasi na kukoma na ushuru unatozwa kwa kila lori.
Tunaomba Serikali Itatue hili hiki kilio cha muda mrefu
Barabara ya Dege - Mbutu, Kichangani Kata ya Somangila, Mkoa Wa Dar Es Salaam imekuwa kero kwa miaka mingi licha ya baadhi ya Viongozi wa Serikali kuja mara kwa mara pasipo utatuzi wa kilio chetu
Kinachoshangaza hili barabara ni muhimu maana huku Mbutu kuna machimbo ya kokoto, mawe na vifusi ambavyo kila saa malori yanaingia pasi na kukoma na ushuru unatozwa kwa kila lori.
Tunaomba Serikali Itatue hili hiki kilio cha muda mrefu