bank

A bank is a financial institution that accepts deposits from the public and creates a demand deposit while simultaneously making loans. Lending activities can be directly performed by the bank or indirectly through capital markets.
Due to the importance of banks in the financial stability and the economy of a country, most jurisdictions exercise a high degree of regulation over banks. Most countries have institutionalized a system known as fractional reserve banking, under which banks hold liquid assets equal to only a portion of their current liabilities. In addition to other regulations intended to ensure liquidity, banks are generally subject to minimum capital requirements based on an international set of capital standards, the Basel Accords.
Banking in its modern sense evolved in the fourteenth century in the prosperous cities of Renaissance Italy but in many ways functioned as a continuation of ideas and concepts of credit and lending that had their roots in the ancient world. In the history of banking, a number of banking dynasties — notably, the Medicis, the Fuggers, the Welsers, the Berenbergs, and the Rothschilds — have played a central role over many centuries. The oldest existing retail bank is Banca Monte dei Paschi di Siena (founded in 1472), while the oldest existing merchant bank is Berenberg Bank (founded in 1590).

View More On Wikipedia.org
  1. ndege JOHN

    Je, ukihama bank unakuwa umejiondoa kwenye Direct Debit postings za hizi credit company?

    Naombeni wenye ujuzi wa haya mambo kwa mfano umekopa kwenye hizi micro credit wakawa wanakata hela Moja kwa Moja bank je ukiamua kubadilisha mshahara uuchukulie bank nyingine itakuwa umejiondoa kwenye hako ka mkataba?
  2. Mr Why

    Hongera sana NMB Bank kwa kuthamini utu, hakika ninyi ni bank bora kila Mtanzania ni shuhuda wa maneno haya, mnasifika kwa kuepuka dhuluma

    Hongera sana NMB Bank kwa kuthamini utu, hakika ninyi ni bank bora kila Mtanzania ni shuhuda wa maneno haya, mnasifika kwa kuepuka dhuluma kwa wateja wenu Mnaonesha uaminifu wa hali ya juu na taarifa zote za miamala kwa wateja wenu ni za wazi na zenye maelezo yanayojitosheleza Tangu mtoe...
  3. Mr Why

    Kuna bank moja hapa Tanzania inaendeshwa kikabila, wahudumu wake zaidi ya asilimia 95% ni wa Kabila moja, wana kauli mbaya na wezi wa fedha za wateja

    Kuna bank moja hapa Tanzania inaendeshwa kikabila, wahudumu wake zaidi ya asilimia 95% ni wakabila moja, wanakauli mbaya na wezi wa fedha za wateja Kila tawi lao utakalofika hapa Tanzania wahudumu wake ni wa kabila hilo hilo moja Kauli zao kwa wateja ni mbaya Wanachukulia wateja kama omba omba...
  4. B

    Gavana aipongeza CRDB Bank kwa kuthubutu kufanya mageuzi chanya ya kimataifa ktk huduma

    02 October 2025 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba (kushoto) akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nsekela (kulia) wakati wa mkutano wa kujadili utekelezaji wa mageuzi ya mfumo mkuu wa benki hiyo, hatua ya kimkakati inayolenga kuboresha huduma...
  5. nzalendo

    Zamani kulikuwa na Bank Meridian BIAO

    Hii benki ilikimbia na pesa za watu kadhaa...vikiwemo vijisenti vyangu.... Nikaomba ushauri kqa mwanasheria fefenge kwamba tuishtaki benki kuu kwa manake wao ndio the last resort... Yule mwanaaheria akaniambia achana na hayo mambo kwamba Mungu atanilupa. Alisema haya baada ya kupata uhakika...
  6. T

    Msaada kuhusu bank ya CRDB

    Habari zenu ndugu zanguni, Ninaomba msaada wa uzoefu wenu 🙏. Kwa wale waliowahi kuchukua mkopo wa mshahara kupitia CRDB Bank, benki hutumia mfumo gani wa riba kwenye marejesho yao? Je, ni ule wa flat rate (unakata kiasi sawa kila mwezi bila kujali salio), Au ni ule wa reducing balance (ambapo...
  7. darautobroker

    Car4Sale Nimekuletea power bank ya kijapan🇯🇵 a.k.a toyota aqua hybrid

    Bei/Price TSH 13.9M Call +255 747 999 927 TOYOTA AQUA HYBRID Year: 2013 Engine: 1490Cc Mileage: 124,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Alloy Wheels 2-SRS Airbags Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  8. M

    Ni bank gani tanzania mtu akifa basi pesa zake zitabakia kwenye account kama zilivyo?

    Kwenye harakati za maisha nimekutana na mambo ya kustajabisha ya ajabu: Case1: jamaa alikuwa mfanyabiashara akamfungulia mtoto wake acc kwa majina yake kimsingi humo ndio alikuwa anamwekea dogo fees na Hela ya ada.sasa siku moja huyo mdingi kamwekea dogo Hela ya ada kama kawa na baadae dingi...
  9. DZUDZUKU

    Anatokaje black list bank?

    Salam. Kuna rafiki yangu mmoja ni mfanyakazi wa umma. Miaka 5 iliyopita alichukua mkopo bank x. Baada ya serikali kuleta mfumo mpya wa ESS akakuta bank x haipo kwenye orodha ya Mankato kwenye mshahara wake. Aka Kaa kama miez 6 hivi akaamua kukopa kwenye bank nyingine yaani bank y. Siku ya...
  10. Jamii Opportunities

    Buildmart Hiring: 2 Job Openings in Arusha, August 2025

    Cashier and Billing Clerk Vacancies at Buildmart Limited Buildmart Limited is seeking qualified candidates for two positions at our Arusha location: Cashier and Billing Clerk. Below are the detailed job descriptions, including responsibilities, qualifications, and application instructions for...
  11. M

    JF MOVIE BANK

    Habari Naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu Kwa wale wote ambao ni wapenzi wa movie na series motomoto na za aina zote yaani movie na series za kizungu , kikorea, kifilipino kihindi nk nawakaribisha ktk Uzi huu Nimeandaa Uzi huu maalum Kwa ajili ya wale wote wenye uhitaji wa movie au...
  12. Kitomai

    House4Rent Modern Villas for Rent Near Stanbic Bank Head Office, Dar es Salaam

    These beautiful villas are ideally located near the Stanbic Bank Head Office, offering an unbeatable combination of convenience, comfort, and tranquility. The neighborhood is peaceful, family-friendly, and just a short drive to the city center and peninsula areas. Perfect for couples, business...
  13. Kipenzi Changu

    Waya hauwezi kutoka NIDA kwenda bank accounts za CCM na sisi tupate ya soda?

    Ni dhahiri sasa huu uchaguzi sio tena kwa ajili ya kuchagua wawakilishi wa wananchi. Ni dhahiri sasa hawa CCM hawapo tena kuhakikisha ustawi wa Tanzania. Wewe umeona wapi mtu anatumia gharama kubwa na mbinu za aibu eti kwa ajili ya kutaka kukuwakilisha? Huu ni uchaguzi kwa ajili awamu nyingine...
  14. Godfrey- denis

    Umenunua hisa za benki yoyote kwenye soko la hisa la Dar-es-Salaam?

    Sekta ya Bank inazidi kukua. Takwimu za nusu ya kwanza ya mwaka 2025 zinaonesha picha nzuri sana kwa sekta ya benki nchini. Benki za biashara zimepata jumla ya faida ya Sh1.2 trilioni, ongezeko la 9% ukilinganisha na Sh1.09 trilioni kipindi kama hicho mwaka 2024. Ukuaji huu umechochewa na...
  15. Pdidy

    Benki ya NBC ina mhudumu mmoja pamoja na kuwa na foleni

    Hivi mmekosa wafanyakazi?? Ama wafanyakazi wanafanya kaxi kwa mazoea? Hii mara ya tatu nimetoka hapo mlimancity tumepangana kama watu 12 mhudumu n mmoja tu huu n ushenzi Wewe unaepanga kutoa hela kuweka nenda sehemu zingine branch ovyo kabisa. Mbaya zaidi wanakuja wazungu ama wahindi...
  16. Blasio Kachuchu

    Dkt. Tulia Avutiwa na CRDB Bank Marathon Iliyokusanya Bilioni 2 kwa Afya na Jamii

    Dar es Salaam, 17 Agosti 2025 - Maelfu ya wakimbiaji na wapenda michezo kutoka ndani na nje ya Tanzania wamejitokeza leo katika viwanja vya The Green, Oysterbay, kushiriki CRDB Bank Marathon 2025, mbio za hisani ambazo mwaka huu zimekusanya Shilingi Bilioni 2 ili kusaidia matibabu ya watoto...
  17. M

    CRDB Bank makao makuu na kelele kwa majirani

    Tunashangazwa na kelele za jirani zenu CRDB Bank makao makuu, Ali Hassan Mwinyi. Mfano leo tangu saa 11 alfajiri wanefungulia mziki mkuubwa wakati muda huo hakukuwa na watu hata 10. Na mara zote hata wakiwa na promotion tu magari yao makubwa yenye PA system yatakuwa kupaki nje na sauti kuubwa...
  18. Super mega

    Kero kwa Bank ya CRDB

    Wakuu hivi naomba kuuliza hivi CRDB BANK wanakata malipo ya huduma ya kutunza fedha kila siku na kwa kila muamala unaoingia mana dah sio kwa haya makato yanayoendelea yani hela ikiingia tu wanakata 4000,au 5000,kisha unapotoa wanakata sio chini ya 10000 hapo ni kwa amount kwanzia Mil.1 chini ya...
  19. KENZY

    Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    Wadau vipi kuomba bank statement inahitaji kulipia..? Kama kuna kulipia ni shingapi..?
  20. fufumajeusi

    Usithubutu kuomba mkopo Bank of Africa (BOA)

    usije sema sikusema, jamaa yangu kaa aplai loan alikua na immediate cause kwenye mfumo wao ,mpaka sasa wiki imepita kwenye mfumo wao inasoma complete disbursed ila kwenye account hakuna pesa imeingia ,akiwapigia hawatoi ushirikiano wowotee.
Back
Top Bottom