bajaji

Bajajirao Mudhoji Naik Nimbalkar was a Maratha nobleman and sixteenth Raja of Phaltan Jagir during 1644-1676. He was sardar of Deccan Sultanates and Maratha nobleman.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Biashara ya Spea za pikipiki na bajaji

    HABARI WANA JF. Watu wengi wameulizia kuhusu huduma zetu za consultation kuhusu biashara ya spea za pikipiki na bajaji. Huduma hii inalipiwa, ukitaka kuwasiliana namimi kwaajili ya kukupa elimu, kukushauri na au hata kuku mentor sio bure. Ni garama. Kwa wale wanaotaka huduma za bure karibuni...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Promotion ya Bajaji za umeme kwa mkopo na cash

    Habari Kampuni mpya ya jaha kutoka china imeleta bajaji mpya zinazotumia umeme, bajaji hizi ni bajaji za abiria na mizigo Bajaji ya abiria Bajaji za abiria zipo za aina mbili kuna kubwa na ndogo Bajaji kubwa Ina uwezo wa kubeba abiria saba na dereva wa nane Inachajiwa Kwa masaa manane Kwa...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na bajaji ( Maswali na Majibu)

    Habari, Leo tujifunze kitu hapa. Sehemu ya majibizano ya kujenga uelewa wa biashara ya spea za pikipiki kwa aliyetutafuta kwaajili ya consultation!
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na Bajaji sehemu ya nane Inaendelea

    KUNA FAIDA GANI YA KUWEKEZA MTAJI MKUBWA KWENYE BIASHARA YA SPEA ZA PIKIPIKI? ⚙Watu wengi wamekua wakijiuliza swali hili, kwanini nisiwekeza kiasi kidogo kama inawezekana kijiendeshe hakafu kiasi kingine nifanye mambo mengine? 👉Si vibaya kuwekeza/kufanya biashara ya spea kwa mtaji mdogo...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na bajaji (Sehemu ya Saba...)

    BIASHARA YA SPEA ZA PIKIPIKI, UZOEFU, MAHITAJI NA MIHEMKO YA JAMIII. Habari ndugu msomaji, Siku za karibuni kumekua na muamko mkubwa sana watu wengi wakivutiwa sana na biashara biashara ya spea za pikipiki na bajaji. Hata hivyo mvuto huo unekuwa na changamoto kadhaa, mafanikio kwa wenye...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Bajaji ya Mkataba au ya Kipande nipo Dar

    Habari wadau. Mimi nipo Dar nahitaji msaada wa kupata bajaji ya Kipande au mkataba tufanye maisha niweze kukidhi mahitaji ya familia
  7. Superbug

    JamiiForums Tanzania Dreva bajaji anusurika kutekwa na watu wanaodhaniwa ni ‘askari’ eneo la JUWATA Morogoro mjini

    Ilivyokuwa Bajaji ziligongana zenyewe mbili hapo juwata njia ikawa blocked. Watu waliovaa kiraia wakashuka kwenye land cruiser nyeupe tinted wakawa wanawafokea wale bajaji. Mmoja wa wale bajaji akawa anajitetea hawezi kutoa bajaji kutokana na Hali iliyokuwepo mpaka watu wasogee. Reaction ya...
  8. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Bodaboda na bajaji zimesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uhalifu nchini, vijana wengi wamestaarabika

    Bodaboda na bajaji zimesaidia kutoa ajira kwa vijana wengi hapa nchini hivyo imepunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya kiuhalifu (ukabaji) hapa nchini kulinganisha na miaka ya nyuma ambapo vijana ajira walikuwa hawana na hawana namna ya kupata pesa zaidi ya kuiba na kupora(kukaba) . Pia...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya Spea za Pikipiki na Bajaji (Sehemu ya Tano)

    JINSI YA KUSIMAMIA NA KUENDESHA BIASHARA YA SPEA ZA PIKIPIKI NA BAJAJI. ⚙Watu wengi wanatamani sana kufanya  Biasha hii, laikini hawajui jinsi gani wanaweza kusimamia biashara yao ili iweze Kukua na kuleta manufaa na faida. Suala hili limekuwa changamoto zaidi kwa wale wenye...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya Spea za pikipiki na bajaji (sehemu ya nne) Inaendelea

    SPEA MUHIMU ZA KUANZA NAZO KWENYE BIASHARA YA SPEA ZA PIKIPIKI REJAREJA. Mjadala wa leo utajikita zaidi kwenye Spea za umuhimu zaidi kuanza nazo kwenye duka lako jipya kama mfanyabiashara mpya wa spea za pikipiki. ⚙kwanza nimuhimu kufahamu aina ya pikipiki unazohitaji kuuza spea zake kama...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya Spea za Pikipiki na Bajaji (sehemu ya Tatu) inaendelea...

    JINSI YA KUFANYA BIASHARA YA SPEA ZA PIKIPIKI NA BAJAJI REJAREJA REJAREJA ⚙Mambo Muhimu zaidi ya Kuzingatia kabla ya kuanzisha Biashara ya spea za pikipiki na bajaji rejareja🎯 Ukitaka kuanzisha biashara ya spea za pikipiki na bajaji ni rahisi sana, ila inahitaji msingi thabiti na msimamo...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia apewa Mbuzi wa Supu na Madereva Bodaboda na Bajaji baada ya kuchukua Fomu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi amepewa Mbuzi kwa ajili ya supu atakayotumia baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea urais. Mbuzi hiyo iliyotolewa na Madereva Pikipiki za miguu mitatu (bajaji)na miwili...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na bajaji (Sehemu ya pili)

    Sehemu Iliyopita tuliishia kwenye mjadala wa mtaji, Inaendelea... MTAJI WA SPEA ZA PIKIPIKI NA BAJAJI KWA WAUZAJI WA REJAREJA: Makala hii ya Pili Itaangazia zaidi bishara hii kwa wale wanaopenda kufanya rejareja. Hakuna mtaji kamili/sahihi wakuanza nao. Mtaji hutegemea zaidi hali ya kiuchumi ya...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya spea za pikipiki na bajaji (Sehemu ya Kwanza)

    KAMA UNA MTAJI NA UNATAFUTA BIASHARA YA KUFANYA? Umeshawahi kufikiri kuhusu biashara ya spea za pikipiki na bajaji? Hii ni moja kati ya biashara zinazokua kwa kasi sana, kwani maelfu ya vijana wamejiari kwenye boda boda na bajajiIdadi hii inaongezeka siku hadi siku, hivyo kufanya idadi ya...
  15. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fieldforce na uongozi wa Morogoro wawa kikwazo kwa waendesha bajaji

    Ni huzuni na kero kwa hili linaloendelea mjini Morogoro, Fieldforce wamejikita kukamata bajaji, Pia Tarura na sector zingine za kiutawala zote zimetolea macho waendesha babaji kwa kamatakamata na uwazishwaji wa vitu vipya Kila uchao ili tu kutengeneza mianya ya kujinufaisha huku wakiwaweka...
  16. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama una pesa za majini au za ufisadi zitupe kwenye biashara ya bodaboda na Bajaji

    Hii biashara soko lake limejaa vijana walioharibikiwa akili na ufahamu. Bajaji moja sasa si chini ya millioni 10 za Kitanzania. Pikipiki moja sasa si chini ya millioni 3 za Kitanzania. Utupe hiyo pesa eti kisa tu pesa utakuwa unaletewa nyumbani. Unawajua bodaboda wewe 😂😂😂 Itazame hii picha...
  17. iPhone 6

    JamiiForums Tanzania Bajaji inauzwa Milion 1

    INAPATIKANA BEI POA! 🔥 🛺 Bajaji inauzwa – Bajaj Maxima 📍 Mahali: Yombo Vituka Sigara – Karibu na Viwanja vya VETA Maelezo Muhimu: Aina: Bajaj Maxima Hali: Imetumika Tatizo: Inahitaji matengenezo ya engine (engine imeharibika) Bei: Tsh 1,000,000 (milioni moja tu – maelewano yapo...
  18. iPhone 6

    JamiiForums Tanzania Bajaji inauzwa

    BAJAJI INAPATIKANA BEI POA! 🔥 🛺 Bajaji inauzwa aina ya Maxima (Imetumika) 📍 Mahali: Yombo Vituka Sigara – Karibu na Viwanja vya VETA Maelezo Muhimu: Aina: Bajaj Maxima Hali: Imetumika Tatizo: Inahitaji matengenezo ya engine (engine imeharibika) Bei: Tsh 1,000,000 (milioni moja...
  19. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mavunde Azindua SACCOS ya Waendesha Pikipiki na Bajaji Dodoma

    MAVUNDE AZINDUA SACCOS YA WAENDESHA PIKIPIKI NA BAJAJ DODOMA. ▪️Atoa rai SACCOS kuwainua Vijana kupitia mkopo wa Asilimia 10 ▪️Ataka Vijana wamiliki vyombo vyao vya usafiri ▪️Wampongeza Rais Samia kwa ujenzi wa ofisi ya Waendesha Pikipiki na Bajaj Dodoma(UMAPIDO) Dodoma Mbunge wa Jimbo la...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Bajaji nne zapinduka muda tofauti Ubungo maji, hakuna vifo

    Wananchi wakisaidia kuwatoa abiria waliopata ajali ya bajaji iliyoanguka katika eneo la Ubungo Maji, mchepuko wa Barabara ya Morogoro. Kwa mujibu wa mashuhuda, bajaji nne zimeanguka katika eneo hilo kwa nyakati tofauti. Katika ajali hizo, hakuna vifo vilivyoripotiwa, lakini majeruhi kadhaa...
Back
Top Bottom