Hello best people. Achana na mambo yakuuliza kila siku mtaji wa shilingi ngapi unatosha.
3m+
5m+
8m+
10m+
15m+> Hapa Unapaa kabisa.
Tafuta maarifa yakuwezeshe kufanya biashara. Uzoefu utapata ukishaanza. The earlier, the better!
Hizi hapa ni hatua chache za kufanikisha kwa urahisi mchakato huu:
1. Weka malengo yako
2. Andaa Mtaji wako
3. Pata Maarifa sahihi (Fahamu nature ya biashara, upatikanaji wa spea, machimbo, kamouni bora za kununua, washindani wako na bei za mgaani n.k)
4. Anza biashara yako.
Hapa hakikisha kama ukihisi huwezi kuanzisha na kusimimia. Wala huelewi mzunguuko, hire ana expert- Mlipe mtu akusaidie ujifunze kwa vitendo kutoka kwake mpaka utakapoona inafaa wewe kuendelea mwenyewe. Hii unapunguza risk ya kupata hasara.
NB: HAKUNA CONSULTATION YA BURE
3m+
5m+
8m+
10m+
15m+> Hapa Unapaa kabisa.
Tafuta maarifa yakuwezeshe kufanya biashara. Uzoefu utapata ukishaanza. The earlier, the better!
Hizi hapa ni hatua chache za kufanikisha kwa urahisi mchakato huu:
1. Weka malengo yako
2. Andaa Mtaji wako
3. Pata Maarifa sahihi (Fahamu nature ya biashara, upatikanaji wa spea, machimbo, kamouni bora za kununua, washindani wako na bei za mgaani n.k)
4. Anza biashara yako.
Hapa hakikisha kama ukihisi huwezi kuanzisha na kusimimia. Wala huelewi mzunguuko, hire ana expert- Mlipe mtu akusaidie ujifunze kwa vitendo kutoka kwake mpaka utakapoona inafaa wewe kuendelea mwenyewe. Hii unapunguza risk ya kupata hasara.
NB: HAKUNA CONSULTATION YA BURE