baba levo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Wakazi: Tunatengua hukumu ya kumlipa Baba Levo Tsh. Milioni 100, hukumu yenyewe tuliiona mtandaoni

    Msanii Webiro Wasira (Wakazi) amesema Wakili Peter Kibatala ameanza mchakato wa kutengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kumtaka amlipe fidia ya TZS milioni 100, Clayton Chipando (Baba Levo) kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na za kumkashifu kupitia...
  2. idiomer

    Baba Levo masharti ya mikopo naongezea na riba

    Mikopo ya wafanyakazi sasa inafanyika kupitia mfumo wa kuhifadhi taarifa za watumishi wa serikali ESS. CHA KUSHANGAZA MPAKA SASA HUDUMA ZA KUOMBA MKOPO NI ZILE ZILE LICHA YA KUCHUKUA MUDA MFUPI. PIA RIBA YA 17% NI KUBWA NA V.A.T JUU. Hii si sawa.
  3. Waufukweni

    Baba Levo: Vijana hawataki Konakona wanataka hela, punguzeni masharti ya kukopa

    Mbunge wa Kigoma Mjini, Baba Levo, ameitaka Serikali kupunguza vikwazo vinavyowakabili vijana katika mchakato wa kupata mikopo, akisema masharti yaliyopo kwa sasa ni magumu na yanawanyima fursa vijana wengi kunufaika na mikopo hiyo. Akichangia bungeni jijini Dodoma leo, Februari 3, 2026, mbunge...
  4. Mhaya

    Rasmi Baba Levo Ajiunga na MEMKWA (TEWW)

    Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Mheshimiwa Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo , ametembelea Ofisi za Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) leo tarehe 28 Januari, 2026 Jijini Dodoma, kwa lengo la kujiunga na elimu ya Sekondari kwa njia mbadala. Katika ziara hiyo, Mh. Chipando...
  5. Mafyangula

    PostGE2025 Pingamizi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Baba Levo latupiliwa mbali, Kesi ya Uchaguzi

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, na hivyo kufungua rasmi mlango wa kusikilizwa kwa ushahidi katika shauri la uchaguzi la Jimbo la...
  6. R

    PostGE2025 Baba Levo: Nawasihi vijana msishiriki vurugu kuharibu amani ya nchi yetu, kwanini ushambulie jitihada za Rais Samia?

    Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando Maarufu Baba Levo amewasishi vijana na watanzania wa ujumla kuepuka kushiriki vurugu zozote zitakazoharibu amani ya taifa akieleza tayari Rais Samia tayari amehakikisha maendeleo ya Tanzania akitaja miradi ya huduma za afya na miundombinu ya SGR na bwawa...
  7. Waufukweni

    PostGE2025 Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya, adai “Zinawaumiza Wananchi”

    Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando, maarufu Baba Levo aagiza Halmashauri kuacha kuanzisha kodi mpya kwani “Zinawaumiza Wananchi” bali watengeneze vyanzo vipya vya mapato ambapo amesema yeye pamoja na madiwani washirikiane kupunguza baadhi ya tozo zilizopo kwa Wananchi na siyo...
  8. Sifi Leo

    PostGE2025 Siwaoni majimboni baada ya Bunge kuahirishwa. Mikutano ya shukrani mmemtuma Baba Levo?

    Bandugu mnawaona wabunge waliochaguliwa tarehe 29 Uko majimboni? Wamerudi kimya kimya na kuingia makwao usiku wa MANANE na hawaongei lolote? Wameshindwa hata kuitisha mikutano ya shukurani au bunge lote walimwagiza Baba Levo akafanyie Kigoma kwa niaba Yao? Kwa hiyo Baba Levo ni mbunge wa...
  9. M

    PostGE2025 ACT Wazalendo, Kigoma: Baba Levo na Zitto waliongezewa kura ili zishabiiane na kura alizopata Samia

    Wananchama wa ACT Wazalendo jimbo la Kigoma Mjini wamefungua kesi kupinga matokeo yaliyompa ushindi Baba Levo, moja ya sababu ya kufungua shauri hilo ni ubabaishaji wa kutangaza matokeo mara mbili. Awali Baba Levo alitangazwa kupata kura 35, 725 naZitto Kabwe kupata kura 16,619, baadaye baada...
  10. R

    PostGE2025 Baba Levo awakabidhi pikipiki vijana waliojiandika jina lake kwa rangi wakati wa kampeni

    Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ametimiza ahadi yake ya kuwakabidhi pikipiki vijana wawili waliojitolea kumsaidia kwenye kampeni kwa kujipaka rangi kama ishara ya sapoti. Ahadi hiyo imetekelezwa rasmi jana wakati wa Mkutano wake wa Shukrani, ambapo vijana hao walipokea...
  11. McLaren

    PostGE2025 Baba Levo: Kuna watu walileta vurugu kwenye nchi yetu. Mama ameamua kuachia vijana warudi mtaani

    Wakuu, Kuhusu maandamano ya MO29 huyu wa kuitwa Baba Lebo kampongeza Samia "Kuna watu walileta machafuko lkwenye nchi yetu, walileta vurugu kwenye nchi yetu na akachungulia, kuna baadhi ya vijana walifata mkumbo kwenye maandamano. Maandamano yalikuwa na vurugu ndani yake. Mama ameamua kuachia...
  12. Mafyangula

    Baba Levo: Nitakuwa mbunge tofauti na waliyozoea

    Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema Watanzania watashuhudia aina ya ubunge tofauti na waliyozoea. Chipando amesema watu wengi huamini kuwa wabunge hubadilika wanapopata madaraka na kujiona kama “mabosi”, lakini kwake itakuwa tofauti, kwani...
  13. R

    Diamond ahudhuria bunge kushuhudia Baba Levo akila kiapo

    Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando Maarufu Baba Levo akieleza furaha yake Siku yake ya kwanza Bungeni ambapo leo Novemba 11. 2025 amekula kiapo rasmi kuanza kuwatumikia Wananchi wa Jimbo la Kigoma Mjini Msanii Diamond Platnumz alihudhuria mkutano huo...
  14. Waufukweni

    GE2025 Baba Levo ajitambulisha Bungeni, atamba, "niliangusha Mbuyu"

    Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo alivyojitambulisha Bungeni leo Novemba 11, 2025.
  15. Mkalukungone Mwamba

    Baba Levo: Akiwa bungeni ameanza na ujinga wake! Ajirekodi video na kusema Tunatesti mitambo

    Huyu jamaa vituko vyake visivyo vya maana kabisa! Sijuwi atazingumza nini huko Bungeni. Bila shaka anamtambia Bw Zitto Kabwe! Nasubiri kuona ! =============== Mbunge mteule wa wananchi wa Kigoma Mjini, Revocatus Chipando, ameibua mjadala mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mfupi kwenye ukurasa...
  16. Just Pray

    Baba Levo: Nitamtafuta Zitto kuna mambo mazuri anayo kwa maendeleo ya Kigoma Mjini

    Mbunge mteule wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus (Baba Levo), amesema kuwa alitumia kila aina ya mbinu ili kushinda uchaguzi kutokana na nguvu na uzoefu aliokuwa nao mpinzani wake Zitto Kabwe katika jimbo hilo. Mbubge huyo Mteule ameyazungumza hayo jijini Dodoma, ambapo ameeleza kuwa ushindi...
  17. McLaren

    Baba Levo: Maandamano ni haki ya Kikatiba. Watu wabaya wallingia kwenye yale maandamano kuanza kupeleka chuki

    Wakuu, Akiwa anazungumza hivi karibuni kuhusu maandamano yaliyofanyika wiki iliyopita, mwanasiasa aliyetezwa na Tume kuwa Mbunge wa Kigoma Mjini Baba Levo amesema "Maaandamano ni haki ya Kikatiba lakini nadhani watu waliyatumia yale maandamano vibaya. Watu wabaya waliingia kwenye yale...
  18. DuaZaMama

    PostGE2025 Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando 'Baba Levo' akiwa nje ya Bunge

    Wakuu... Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Chipando (Baba Levo) kupitia instagram yake amepost video akiwa nje ya Bunge akionyesha sehemu yake mpya ya kazi. Unadhani atakuwa mbunge wa aina gani?
  19. Hance Mtanashati

    Je Diamond atakuwa chawa rasmi wa Baba Levo ikiwa Baba Levo atapewa Uwaziri wa Michezo?

    Ninakiri na wengi mnajua namna nilivyokuwa ninamsapoti Diamond Platnumz, Ila kutokana na maujinga yake nilipunguza rasmi ushabiki wangu kwake labda baadaye sana kama itatokea atabadirika na kujitambua kama ilivyokuwa hapo awali. Ninakiri pia mwaka huu hapa Tanzania hakukuwa na uchaguzi bali...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Kumbukizi: Kabla Baba Levo hajalamba asali, Wasanii wengi wanakimbilia chama tawala kwa sababu ni waoga

    "Wasanii wengi wanakimbilia chama tawala; wasanii wengi ni waoga. Wasanii wengi hawapendi bughudha; wasanii wengi wanapenda vitu vya mteremko, vitu rahisi rahisi; hawapendi ‘fighting’". Clayton Revocatus Chipando 'Baba Levo', akizungumza katika kipindi cha Salama Na, Julai 26, 2020.Ambaye kwa...
Back
Top Bottom