awamu ya tano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    Awamu ya Tano: Wakandarasi wamedharaulika sana

    Katika utawala wa Awamu ya Tano, kwa makandarasi mambo ni magumu sana. Ukandarasi maana yake ni kufanya kazi kwa ajili ya mtu mwingine (sasa ni serikali), kimkataba. Makandarasi ni kada iliyoenea nchi nzima, na kada hii imetumika sana katika kampeni Awamu ya Nne ili kuiingiza Awamu ya Tano...
  2. GENTAMYCINE

    Unafiki huu wa baadhi ya viongozi wa serikali hii ya awamu ya tano ndiyo 'unaigharimu' hadi 'kudharaulika' na wengi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaka gereji nchini kurasimishwa na kuwa sekta rasmi huku akihimiza mafundi waliokaa muda mrefu gereji kupatiwa vyeti kutokana na kuwa na ujuzi wa kutosha. Chanzo Habari: Azam Tv Endeleeni tu kuwafanya Watanzania wote (hasa wale wa Dar es Salaam ni...
  3. Mystery

    Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

    Tulishuhudia Mara kwa Mara, huko siku za nyuma, watawala wetu wakitupa updates, tena wakati mwingine hata wakitupa taarifa nyingine za ziada kama vile wametuma wanasheria wetu mahiri kwenda igomboa ndege yetu iliyokamatwa huko Afrika Kusini kutokana na deni tunalodaiwa na mkulima wa huko...
  4. FRANCIS DA DON

    Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

    Just imagine, yaani mkandarasi anasemwa na waziri kwa kuchelewesha kazi hadi mkandarasi anazimia kabisa, huu si uuaji jamani? Na ni udhalilishaji pia, hayo ni maoni yangu. Angalia video hapo mwishoni kabisa. --- Mkurugenzi wa kampuni ya SCOL Building Contractors Limited Vicent Massawe...
  5. chiembe

    Iandaliwe listi ya Watumishi na Wakandarasi wa kuwatumbua na kuwakaripia jukwaani ili kasi ya awamu ya tano ionekane haijapoa

    Nashauri iandaliwe listi ya watumishi, hasa wa umma wakurugenzi wa halmashauri, ziara zipangwe, na muhusika abanwe kuelezea mambo mbalimbali, tunajua wana mambo mengi hawawezi kuyakariri yote, lakini walazimishwe kuyajibu mbele ya hadhara. Wakionekana kujaribu kufanikiwa kuyajibu tusiwaruhusu...
  6. K

    Muda na vyeo ndio unawahadaa watawala wa awamu ya tano, wanadhani wanayoyafanya hayajulikani

    Ni muda tu ndio unawapa kiburi ukichanganya na vyeo. Wanadhani wamejificha sana na pengine wanadhani wayafanyayo hayajulikani. Kwanza hakuna jambo baya na zuri kama system. Matendo huhifadhiwa na kuwekwa rikodi. System inaendeshwa na binadamu ambao ni dhaifu vile vile. Hawa viongozi wetu iwe...
  7. Beira Boy

    Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

    Aman iwe juu yenu wakuu, Rais Magufuli akiwa njiani Wilaya ya Nzega kuelekea Shinyanga amewahutubia wananchi wa Wilaya ya Nzega na kuwapongeza viongozi wote walioshinda katika Uchaguzi wa Serikari za Mitaa. Aidha, katika hotuba hiyo Raisi Magufuli akigusia kuhusu Uchaguzi wa Serikali za mitaa...
  8. Mystery

    Ni kwanini Serikali ya awamu ya tano inatumia propaganda ya kuminya Demokrasia katika kivuli cha kuleta maendeleo?

    Tumekuwa tukiwasikia sana watetezi wa utawala huu wa awamu ya tano wakitetea sana uminyaji wa demokrasia unaofanywa na serikali hiyo kuwa ni sahihi kwa madai ya kutumia kivuli cha kuleta maendeleo ya nchi hii. Mifano mikubwa wanayotoa hao watetezi wao ni kasi ya maendeleo wanayodai inafanywa...
  9. N

    Utekaji Hai ,Lema kuhitaji viza kwenda hai ni figisu za kawaida,Dc sabaya ni shujaa wa awamu ya tano,millard ayo alikosea kuomba radhi

    Haina haja ya kulialia sana hata waziri Jafo alisema figisu katika chaguzi ni vitu vya kawaida sana hata Israel na Marekani vipo cha muhimu ni vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu na kujiongeza kama walivyofanya Renamo au Unita Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na...
  10. N

    CCM ya awamu ya tano inamuhitaji sana DC wa hai tena sana tu na wengine wa kaliba yake

    Chama hiki kinachosifika kwa kubadilikabadilika kama kinyonga na kinachojiendesha kisayansi kwa mfano ambao haupo popote duniani kwa sasa yaani hii awamu ya tano hakina ujanja zaidi ya kumtegemea DC wa hai, yule undercover wa TISS anayeenda kwa jina la eagle :D vuilevile RC wa Mbeya, RC wa DSM...
  11. S

    Hivi bado Watanzania tunajidanganya mfumo wa siasa uliopo utadumisha amani na umoja wa kitaifa?

    Amani na umoja wa Watanzania, ni sifa ambayo ilijulikana juu ya Watanzania duniani kote. Kwa miaka mingi sana Tanzania ilikuwa haitajwi na vyombo vya habari kama BBC na CNN kwa kuwa hatukuwa na habarai mbaya ambazo vyombo vya magharibi hupenda kuzitangaza juu ya nchi zinazoendelea na masikini...
  12. K

    Maisha yamekuwa magumu sana mtaani

    Mkuu wetu tumeona jitihada zako kuanzia kutumbuwa kule bandarini na kushughulikia wakwepa kodi,kushughulikia waliovamia viwanja na ubomoaji hapa Dar es Salaam, kuzuiya vibali vya kuagiza sukari nje na kubana matumizi ya serikali.Nadhani ilikuwa lengo ni kuimarisha maisha ya wananchi na kuleta...
  13. Mwana Mpotevu

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Leo ndio siku ambayo Spika wa Bunge atafungua Bahasha yenye jina la Waziri Mkuu na kisha Bunge kuketi kama kikao kumpitisha ama kumkataa Waziri Mkuu Mteule. Tujiunge mahala hapa kwa ajili ya Updates kutoa bungeni Dodoma - Bunge linaanza na kazi ya kwanza kuthibitisha jina la waziri mkuu. Spika...
Back
Top Bottom