askofu bagonza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Kufikiri unakataliwa au unakubaliwa kwa sababu ya dini yako ni udini

    Askofu Benson Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook anasema; UDINI UNAWEZA KUWA HUU. Suala la udini katika taifa letu ni mgumu kuuthibitisha. Unachoweza ni kuonyesha au kuona dalili. Ukiona hali hiyo, wewe binafsi unachukua hatua; 1. Kumbagua mtu kwa sababu ya dini yake ni UDINI. 2...
  2. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Kazi ya Viongozi wa Dini ni kuombea mvua. Mengine tunajipendekeza tu!

    Kazi ya Viongozi wa Dini ni kuombea mvua. Mengine tunajipendekeza tu! Taifa haliumwi: Uponyaji wa nini
  3. R

    Askofu Bagonza: Taifa lililoungana linaweza kupambana na Mabeberu

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza, amesema Taifa lililoungana lina uwezo wa kupambana na Umoja wa Ulaya (EU), Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Pia akisisitiza kuwa hatari kubwa kwa Tanzania si...
  4. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Hivi kuna sababu ya kumwacha huru GWAJIMA wakati utekaji unaendelea na Safe House zimejaa mateka?

    Hivi kuna sababu ya kumwacha huru GWAJIMA wakati utekaji unaendelea na Safe House zimejaa mateka?
  5. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Wamekuja Gen Z Wametikisa misingi, Risasi haiwapunguzi, inawaongeza Mabomu ni mbolea yao Wanahitaji kusikilizwa siyo kuhutubiwa

    Askofu Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook. WAZEE HUKUMBUKA NA KUTAFAKARI 1. Lilikuja Azimio la Arusha: Yaliyofichwa Yakafukuliwa. Tukawa ndugu bila kuwa sawa lakini tukawa wamoja. Maskini akamtunishia msuli kiongozi na akabaki salama. Maskini wakafa na tai shingoni lakini hawatekwi. 2...
  6. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Kuliangalia Kanisa kwa miezi 6, yaweza kumaanisha mahubiri yapelekwe idara ya MAELEZO ili yahaririwe. Haitakuwa sawa

    Fikra za Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook; Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Mchemba ametoa maelekezo kadhaa. Napongeza kwa uangalifu mkubwa. Mjaluo ukimpongeza kabla hajamaliza kazi, huwa anaacha na kuondoka kwenda nyumbani akiamini amemaliza...
  7. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Desemba 9 ni siku ya Uhuru wetu, siyo siku ya Miundombinu tu

    Anaandika Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook; "Kuahirisha maadhimisho ya Uhuru na fedha kutumika kukarabati Miundombinu. Hii pia ni nzuri. Mtoto wa Mjaluo akinya, mzazi ndio huzoa kinyesi cha mtoto. Na mtoto wa Mkurya akinyea mbeleko...
  8. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Nawaombea hata waliofika kuniteka wakakuta sipo, Wasikate tamaa, narudi upesi

    Anaandika Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza kwenye ukurasa wake wa Facebook. TUTOKE CHUMBANI TULALE SEBULENI Bibi wa Kijaluo alijiandaa kwa safari ya kwenda mbali kwa miguu. Usiku wa kuamkia safari, alitoka chumba cha kulala na kulala sebuleni. Kisha akajiambia, “hizo...
  9. Just Pray

    Askofu Bagonza: Kubaki ndani si kigezo cha uzalendo. Kuna mijizi, mifisadi, michokoraa, miuza siri za nchi na mirafi imejaa humu ndani

    Wino wa Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook; Kuna kilio na kijembe kimezoeleka masikioni: Kinahusu watu walio nje kuwa ni wachochezi. Kina kasoro nyingi, nashauri kiachwe. a). Watu si wajinga kushawishiwa wasichopenda. Kama huamini, nawe...
  10. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Kuna “vita” imeanzishwa kulishambulia Kanisa Katoliki nchini

    Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook anasema; WARAKA WA TEC: Kuna Watu Wanaiharibia Serikali. Kuna “vita” imeanzishwa kulishambulia Kanisa Katoliki nchini. Vita hiyo inaiumiza serikali kuliko walengwa wa vita hiyo. Nashauri...
  11. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Askofu Bagonza awauliza BAKWATA; Kwa Miaka 60 tunaitwa kisiwa cha amani, Je Haki ilikuja?

    Huyu ni Askofu Bagonza, Msomi wa PhD , anawauliza hao Wafuga Ndevu zinazopakwa Brichi, Wanaohusudu Ngono na kupitisha visheria Uchwara vya kuoa watoto wa miaka 10 , Watu wenye Elimu za Darasa la Saba , anawauliza, Kwa miaka 60 ambayo Tanzania imeitwa Kisiwa Cha Amani, je HAKI ILIKUJA??. Kwa...
  12. M

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Maridhiano au maviziano?

    Hili ni gumu kuliko yote. Kuna watu wameanza kumharibia Mama wakati ana uwezo wa kujiharibia. Wanazuia miili ya waliokufa isitolewe, wanazuia takwimu za waliopotea zisijulikane. Wanatisha madaktari, wauguzi, madereva, familia nk. Ili taifa lipone na kuanza kufikiria maridhiano: - Idadi ya...
  13. Just Pray

    PostGE2025 Askofu Bagonza: Nani aliruhusu wauawe? Hata aliyehukumiwa kifo na mahakama ni mpaka mama aweke sahihi

    Anaandika Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza; NANI KAMA MAMA? Wekeni Mawe Chini! Najua hamtaki niseme NANI KAMA MAMA? Simaanishi huyo Mama mnayedhani nataka kumzungumzia. Basi wekeni mawe yenu chini ili niwasimulie: 1. Mama mmoja, Mjane, mwenye mtoto pekee na wa kiume...
  14. M

    GE2025 Askofu Bagonza: Hili la Askari wa kukodi (Mercenaries) lisikaliwe kimya

    Ameandika Askofu Bagonza Kuna mambo ukiyakalia kimya yanaisha yenyewe kwa sababu hayakusaidii wala hayakuumizi. Kuna mambo ukiyakalia kimya hayaondoki yenyewe na ni ya hatari. Hili la Askari wa Kukodi (Mamluki au Mercenaries), LISIKALIWE kimya. Kama ni kweli wapo, WAONDOLEWE mara moja kimya...
  15. W

    GE2020 Askofu Bagonza: Tuombe Mungu atuepushe na amani inayoletwa na Bunduki, Virungu na mabomu

    Askofu wa Dayosisi ya kKKT Karagwe, Askofu Bagonza akizungumza katika misa ya uzinduzi wa Sharika mpya katika Jimbo la Ihembe amewataka waaamini kuendelea kumuomba Mungu katika uchaguzi huu ili kupata amani itakayoletwa na haki na si virungu, mabomu wala bunduki. "Tumuombe Mungu ili haki ilete...
  16. B

    Askofu Bangoza: Kuna Watu Wana Leseni Ya Kuua license to kill katika nchi yetu Tanzania

    Askofu Benson K. Bagonza amesema nchi hii imegawanyika katika itikadi za kisiasa na kuwa hali ya nchi imefika pabaya maana tumeweza kushinda changamoto ya ukabila na udini ila hili la itikadi za kisiasa tumegawanyika vibaya maana kuna watu wana leseni ya kuua watu, kukata miguu, kupoteza watu...
  17. R

    GE2025 Askofu Bagonza: Tuache kutekana wala kukamatana kwa tofauti za maoni, Maoni siyo kura turidhiane kwanza

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Facebook Askofu Bagonza ameandika haya: UCHAGUZI SI “Tumbo la Kuhara”: TURIDHIANE KWANZA. Sikati tamaa kuleta wito wa MARIDHIANO katika Taifa letu kabla ya uchaguzi mkuu mwezi ujao. Uchaguzi Mkuu siyo “tumbo la kuhara” kutufanya tuharakishe bila kujali...
  18. R

    GE2025 Tafakuri ya Askofu Bagonza kwa yanayoendelea CHADEMA, CCM na Tume huru ya Uchaguzi Tanzania

    Kupitia ukurasa wake wa Facebook Askofu Bagonza ameandika tafakuri hii: FIKIRI MPAKA UTOKE JASHO: Usihukumu na Usibariki. 1. Ukiona makatibu wenezi wa Upinzani wanapita nyumba kwa nyumba kukusanya kadi za wapiga kura na namba za NIDA wakati chama tawala kiko kimya ujue wapinzani wanataka...
  19. bob_fundi

    GE2025 Askofu Benson Bagonza: Fikiri mpaka utoke jasho; Usihukumu na Usibariki

    Habari za muda huu wana jf FIKIRI MPAKA UTOKE JASHO: Usihukumu na Usibariki. 1. Ukiona makatibu wenezi wa Upinzani wanapita nyumba kwa nyumba kukusanya kadi za wapiga kura na namba za NIDA wakati chama tawala kiko kimya ujue wapinzani wanataka kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura. Penye...
  20. Msanii

    Anaripoti Askofu Bagonza:“Gari la Mchungaji Wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Lachomwa Moto

    Wapendwa Great Thinkers. Nchi yetu inapitia kipindi kigumu sana. Nimewawekea taarifa ya video hapa ili mpate taarifa kamili. =================== Anaandika Baba Askofu Rev. Dr. Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Usiku wa kuamkia leo, tarehe 5/9/2025 watu “wanaojulikana”...
Back
Top Bottom