KUTOKA KIKOMBE CHA BABU hadi MAFUTA YA UPAKO
NI Jumapili 6/7/2025, Wakristo tumeenda makanisani, Mahemani na mahekaluni. Uhuru wa kuabudu tunao mpaka unafurika! Hata kuabudu wakati unalia, unarukaruka, unapigwa mabomu, umekanyaga mafuta, unachapwa viboko, yote sawa.
1. Mungu huwainua...