askari

An askari (from Somali, Swahili and Arabic عسكري ʿaskarī, meaning soldier, or military) was a local soldier serving in the armies of the European colonial powers in Africa, particularly in the African Great Lakes, Northeast Africa and Central Africa. The word is used in this sense in English, as well as in German, Italian, Urdu and Portuguese. In French, the word is used only in reference to native troops outside the French colonial empire. The designation is still in occasional use today to informally describe police, gendarmerie and security guards.During the period of the European colonial empires in Africa, locally recruited soldiers designated as askaris were employed by the Italian, British, Portuguese, German and Belgian colonial armies. They played a crucial role in the conquest of the various colonial possessions, and subsequently served as garrison and internal security forces. During both World Wars, askari units also served outside their colonies of origin, in various parts of Africa, the Middle East and Asia. In South Africa the term refers to former members of the liberation movements who defected to the Apartheid government security forces.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Mganga Mkuu wa Serikali afafanua sakata la Muuguzi na Askari kuvutana Wodini Hospitali ya Kibondo

    Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo ambalo amesema sio kweli na likiwa...
  2. MSAGA SUMU

    Unaweza kutoa rushwa kwa askari huyu?

    Huu uzi uende sambamba na nyuzi hizi. https://www.jamiiforums.com/threads/sare-za-traffic-wa-uganda-ni-za-ovyo-ukanda-huu-wa-afrika-mashariki.1983812/ https://www.jamiiforums.com/threads/sare-ya-trafiki-wa-uganda-unaipa-asilimia-ngapi.2272120/ Japokuwa rushwa ni rushwa lakini hapa unaweza...
  3. M

    Rais Samia ameweza kuimarisha jeshi la polisi kwa kuboresha miondombinu ya kazi.

    Amejenga vituo vya polisi 472 vya kata na kuboresha makazi ya askari. Na kutoa magari mapya ya polisi ili kurahisisha utendaji wa majukumu
  4. Stuxnet

    Rais Kim Jung Un amewatunuku askari waliorudi salama na kutoa pole kwa familia za waliofia kwenye vita jimbo la Kursk-Urusi

    Rais Kim Jung Un amewatunuku askari waliorudi salama na kutoa pole kwa familia za waliofia kwenye vita jimbo la Kursk Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amewapongeza na kuwatunuku askari wa Korea Kaskazini waliorejea salama kutoka vitani katika mkoa wa Kursk, Urusi, ambapo walishiriki...
  5. A

    KERO Katavi: Askari mgambo kijiji cha Mwamapuli, Halmashauri ya Mpimbwe wamekuwa ni kero kubwa

    Askari hawa wamekuwa wakibambikizia watu kesi na kukamatwa hovyo. Tunaomba Mamlaka ziwachukulie hatua hawa matapeli kwa kivuli cha 'mgambo' ambao wanatembea na pingu ovyo na hatujui wanatoa wapi hizo pingu. Askari mgambo hao ni Isaya na Mashada.
  6. Webabu

    Askari 14,600 wakimbia vita wakiogopa kuingia Gaza kupambana na Hamas.IDF yatafuta diaspora wake kuziba pengo

    Wakati Netanyahu akidhamiria kuiteka Gaza yote,vita vinaelekea kuchukua mwelekeo wa ajabu na kwisha kwa namna moja au nyengine . Jumla ya idadi hiyo ya askari wamekimbia vita na mshike mshike imekuwa kubwa sana na ndio sababu Israel imekwama kuendelea na kupeleka jeshi Gaza kwa haraka...
  7. Mindyou

    Baada ya kuchoshwa na mateso ya Askari wa Maliasili, wananchi waamua kuchoma pori

    Wakuu, Wananchi wa Kijiji cha Rwamgasa, Wilaya ya Geita, wamechoma moto sehemu ya pori la akiba lililopo katika Kitongoji cha CCM wakipinga kile walichokiita uonevu na ukatili unaofanywa na askari wa Maliasili. Tukio hilo limeibuka baada ya watoto wawili kukutwa porini wakiwa wamepigwa na...
  8. Benson Mramba

    Tetesi: Eti yule askari aliyemsukuma Lissu pale kizimbani alishayaaga mashindano

    Kama ni kweli hii inapaswa kuwa alarm kwa kila anayejiingiza kwenye hii kesi ya mchongo hasa wale mawakili na wanaowatuma
  9. R

    Askari wawili wahukumiwa kifo kwa kupanga njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda kikosi, Somalia

    Mahakama ya kijeshi mjini Mogadishu imewahukumu kifo askari wawili wa Somalia waliopatikana na hatia ya kushirikiana na kundi la kigaidi la Al Shabab kupanga mauaji ya kamanda wao wa kikosi. Hukumu ya kifo ilitolewa Agosti baada ya askari hao kutiwa hatiani kwa mauaji ya Kamanda Aided Mohamed...
  10. Adverse Effect

    Je, kuna umuhimu au faida kufahamu mahali wanaishi watumishi/watendaji wa serikali kama mahakimu, majaji, askari magereza na mapolisi kwa wema tu?

    Tunapokutana na matatizo au changamoto mbalimbali tunapata fursa ya kuchagua mambo mawili. Mosi ni kukabiliana na changamoto na kujaribu kuzitatua ili zisiwepo na jambo la pili ni kujaribu kuzoea changamoto na kuendelea kuishi nazo hata kama zinakutesa. Miaka mitano iliyopita bi mkubwa wetu...
  11. Sifi Leo

    Wanasheria wa Tanzania wengi ni VIHIYO WA SHERIA WAKIONGOZWA NA MWABUKUSI RAIS WAO, mnakubalije mwanasheria mwezenu asukumwe kama kondom na askari mag

    Mwabukusi na WENZAKO wote nyie ni vihiyo haiwezekani mnajua Lissu sio muhaini nyie mmekaa TU mmeshindwa hata kuandaa maandamano ya kushikiza aachiwe Hivi Jana mliona alivyosukumwa kama kondom iliyotolewa kwenye sehemu za Siri za kiume zilizomaliza kujamiana Shame on you all rubish lowyer...
  12. Just Pray

    GE2025 CHADEMA yalaani askari magereza kumsukuma mwenyekiti Tundu Lissu

    TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapaza sauti kwa hasira na huzuni kubwa kulaani vikali kitendo cha kinyama na kisicho cha kibinadamu kilichotekelezwa na askari wa magereza, ambaye alimshambulia kwa kumsukuma kwa nguvu na kumuangusha Mwenyekiti wa Chama Taifa...
  13. DuaZaMama

    Shinyanga: Askari Magereza auwawa na watu wasiojulikana

    Watu wasiojulikana wamemuua Mkazi wa Mtaa wa Lwelyangula kata ya Kitangiri mkoani Shinyanga Malini Kilucha (37) ambaye ni Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Magereza kwa kumfunga mdomo na pua kwa kutumia nguo alizokuwa amezivaa karibu na nyumba aliyokuwa akiishi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga...
  14. M

    Askari Magereza wamsukuma Lissu kibabe

    Katika hali inayoendelea kuitia dola aibu, Leo mahakamani Askari Magereza amemsukuma ndugu Lissu na kumsababishia sintofahamu kubwa. Lissu ambaye ni kiongozi wa Umma, ambaye anastahili heshima katika jamii, inashangaza dola inamfanyia kitendo hiki. Dila isiyoheshimu viongozi wa umma hii ni dola...
  15. Msanii

    Mwenendo na ukatili wa askari wetu unatafakatisha na kuhuzunisha

    Hakuna asiyejua kwamba mtawala aliyepo sasa ni mkandamizaji na muuaji dhidi ya raia wake wanaokosoa utendaji wake. Analitumia jeshi letu kwa ujumla wake kama jeshi lake binafsi. Tumeona baadhi ya wananjeshi wakivikwa sare za polisi wakati wananchi walipotaka kuandamana kupinga utekaji, utesaji...
  16. Roving Journalist

    TAKUKURU Tabora: Tunafuatilia tuhuma za Askari wa Kigwa na Mwalimu kuomba rushwa kwa Mwananchi wa Kijiji cha Izumba

    Baada ya malalamiko yaliyoibuliwa na Mwananchi kupitia JamiiForums.com kuhusu Mwanamke Mkazi wa Kijiji cha Izumba Mkoani Tabora, kudai kuombwa fedha na Askari wa Kituo cha Polisi Kigwa kwa kushirikiana na Mwalimu wa Shule ya Sekondari Kigwa ili mume wake aachiwe huru baada ya kushikiliwa kwa...
  17. A

    DOKEZO KERO Mnazi Mmoja: Trafiki analipisha faini madereva kwa kosa ambalo hawajatenda kutokana na taa za kuongoza magari kuharibika

    Kuna huyu Askari Namba H 2223; Jina halikuweza kupatikana mara moja. Yupo pale Mnazi Mmoja Dar es Salaam kwenye mataa akiongoza magari. Taa za barabarani za kuongoza magari zina shida ya kuzimika kwa muda mrefu kisha zinawaka. Basi madereva wamekuwa wakijiongeza na kupita kwa usalaama kabisa...
  18. Carlos The Jackal

    Rais Samia na Jeshi la Polisi, hawataki Waumini wa Ufufuo na Uzima wamwabudu Mungu, Hata Leo ,Walituma Askari Polisi kwenda Kuzuia Ibada ya Waumini

    Video hii hapa Wakuu !. https://youtu.be/zwQUrn544As?si=5x4Ui0D4tQBilTOt
  19. Echolima1

    Magaidi wa Hamas wajaribu kumteka askari wa Israel huko Khan Younis na kushindwa!!!

    Askari wa akiba aliuawa huko Khan Yunis baada ya kuhangaika na magaidi waliojaribu kumteka nyara. Kulingana na uchunguzi wa awali, wakati wa operesheni za IDF huko Khan Yunis, magaidi waliibuka kutoka chini ya ardhi na kushambulia kitengo cha IDF. Wakati wa shambulio hilo, magaidi hao...
  20. E

    Mh.Rais Askari wanakudai posho ya chakula

    Wanadai hujaongeza posho yao miaka 10 sasa vilevile posho yao ya maji na umeme imegomewa wizarani. Mh.Rais mwenye nchi ni wewe malalamiko haya wameyawasilisha bungeni mara nyingi na yamepelekwa sehemu husika lkn imeshindikana. Kila la kheri mh.Rais
Back
Top Bottom