app

A mobile application, also referred to as a mobile app or simply an app, is a computer program or software application designed to run on a mobile device such as a phone, tablet, or watch. Apps were originally intended for productivity assistance such as email, calendar, and contact databases, but the public demand for apps caused rapid expansion into other areas such as mobile games, factory automation, GPS and location-based services, order-tracking, and ticket purchases, so that there are now millions of apps available. Apps are generally downloaded from application distribution platforms which are operated by the owner of the mobile operating system, such as the App Store (iOS) or Google Play Store. Some apps are free, and others have a price, with the profit being split between the application's creator and the distribution platform. Mobile applications often stand in contrast to desktop applications which are designed to run on desktop computers, and web applications which run in mobile web browsers rather than directly on the mobile device.
In 2009, technology columnist David Pogue stated that smartphones could be nicknamed "app phones" to distinguish them from earlier less-sophisticated smartphones. The term "app", short for "software application", has since become very popular; in 2010, it was listed as "Word of the Year" by the American Dialect Society.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ni websites au app gani nzuri za kuangalia historia ya ajali, matemgenezo na service za magari kutoka Japan?

    Ni websites au app gani nzuri za kuangalia historia ya ajali, matemgenezo na service za magari kutoka Japan? Msaada kwa hizo websites tafadhali
  2. Vien

    Nilipata demu wa chuo kupitia dating app, sikujua kama bado alikuwa bikra

    Huyu demu nilimpata kupitia hizi dating app kama ilivyo kawaida siku hizi. Unajua tena maisha ya sasa - watu wengi wanakutana mtandaoni, wanaongea kidogo, halafu wanaamua kuonana. Yeye aliniambia anaishi Sinza, na alikuwa mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili IFM. Kwa kifupi alikuwa msichana wa...
  3. R

    SOFTWARE Backrow Rush: App ya Drafti - Checkers/Draughts Online

    Nimetengeneza app ya Kucheza Drafti Mtandaoni pia unaweza kucheza na rafiki yako kwa kutumia Game Code. Inapatikata Google Play store, itafute inaitwa Backrow Rush
  4. KENGE 01

    Hii ni Pendeza Booking App, Je itafeli au Itafaulu?

    Habari Wajamii, Mod ukifuta uzi litakukuta jambo... Leo nataka tuzungumze kuhusu kitu kipya ambacho kimezinduliwa hapa Tanzania — Pendeza Booking App — app inayolenga kubadilisha jinsi tunavyohifadhi na kupata huduma za uzuri (salons, barbershops, spas, na zaidi). 📱 App hii ni nini hasa...
  5. Planet Data bundles

    Kwanini app ya DSE inasumbua sana?

    Hii app inasumbua sana sijui imetengenezwaje -time out -server error -failed to connect to server Unaweza useme kunashida ya internet lakini si kweli app n shida hasa kwen kurefressh na kulog in
  6. Collin Butondo

    Mobile App Development and Web App Development Services

    We specialize in Mobile App Development and Web App Development tailored to your business goals. ➤ Custom-built solutions. ➤ Android & iOS Apps. ➤ Responsive Web Applications. ➤ High performance & Secure architecture. ➤ Ongoing Support & Upgrades.
  7. A

    KERO Kwanini N-CARD hawana App inayowezesha abiria kutop-up balance bila kupanga foleni?

    Wakazi wa Kigamboni kwa muda mrefu tumekuwa tukitumia Vivuko vipya ambavyo ni vya Azam maarufu kama SeaTax kazi yao ni nzuri, lakini kuna hii Kampuni N-CARD ambayo imekuwa ikihudumia upande wa hizi card zinazotumika kukata ticket ili uweze kuvuka. Kinachonishangaza kwa kipindi cha digital...
  8. K

    Naomba mnisaidie app za mikopo zinanzowezesha kukopa

    Niaje? Mtaani Hali kugumu deile kila kukicha unasema afdhali ya Jana wapambanaji tusichoke kupambana life ni gumu balaa, wana ndo tunasota nao tukipeana mahope siku Moja tukatoka tu🙏😔naamini Hilo deile wadau wangu Nimekuja na mishe yangu hii naomba mnielekezs app ya kupata mkopo mtandao
  9. Fukua

    Misaada namna ya kupata app ya loan online

    Hatari Wana jukwaa Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwenu. Ninahitaji kuwa na app ya kukopesha pesa mtandaoni lakini sijui ninaipataje, ninafahamu hum Kuna wataalamu WA Kila kitu. Hivyo ninaomba msaada wenu wakuuu kuhusu njia za kutengeneza hiyo app au gharama zake mpaka niwe na app...
  10. Godoro la kioo

    Hivi Kuna app ambayo mtu akiwa na namba Yako anaweza kujua jina lako

    Wakuu. Teknolojia inazidi kukua Kila kunapokucha Kama ilivyo kwa Whatsapp mtu akiwa na namba Yako anaweza kuona picha Yako Je Kuna app ambayo mtu akiwa na namba Yako inaweza kumletea jina lako au hata akaunti zako za mitandao ya kijamii Nauliza hivyo kwa sababu Leo mchana Kuna mwanadada...
  11. Drone Camera

    Maoni yangu kuhusu Antigravity: iOS App (Vibe coding)

    Kama last year hivi mwanzoni niliingia ulimwengu wa mobile app baada ya kuwa kwenye web kwa kipindi kirefu. Sikuwahi kufanya Vibe coding hapo nyuma(programming kwa kutumia AI) kutokana na hizi program kutoa bugs nyingi kipindi cha nyuma, so muda mwingi unautumia kufix code baadala ya kutengeneza...
  12. T

    App ya kupima ardhi

    Naombeni msaada kwa wajuvi. Kuna namna mtu anaweza jua ukubwa wa shamba kwa kutumia simu yake?
  13. Bullshit

    Ushauri wa App zangu huzi

    Habari jf Nisiwachoshe sana Mimi ni non-code Developer na hizi hapa ni App zangu zilizokamilika Chini ya 50%. Nilizotengeneza kutoka Loveble Fanya kupitia Apps hizi na toa ushauri wako https://linkdash.lovable.app https://linkinn.lovable.app https://golink1.lovable.app...
  14. Meja Jenerali Isamuhyo

    Azam Tv Max ndio App ya hovyo kabisa kuwahi kutengenezwa

    Imagine ubora wa Azam Tv lakini wanaangushwa na App yao. Watu wana studio kali, OB Van kali, Camera za kisasa. Mnashindwaje kutengeneza App yenu iwe imara muda wote? Mtu uko mbali na nyumbani unasema ngoja nicheki boli kupitia Azam max, unakutana na changamoto lukuki. Mara App igome...
  15. stakehigh

    Yaani unamiliki app inaingiza mapato alafu Kodi ya Marekani hutaki kulipa sio

    Hali sio Hali Kwa Binti yetu, sasa ni ule mda wa kumchangia mliokua mnampenda sana
  16. N

    Katika dunia ya sasa ya kidijitali kuwa na website au app ya mishe yako muhimu

    HABARI KUU Katika dunia ya sasa ya kidijitali, uwepo mtandaoni si hiari tena bali ni hitaji muhimu kwa biashara, taasisi na watu binafsi. Ikiwa unahitaji website ya kisasa, Android App, au iOS App yenye muonekano mzuri na utendaji wa hali ya juu, sasa ndio wakati sahihi wa kuchukua hatua...
  17. Brayan_Jk

    Bila wewe Fuga App haipo!,tumia dk 1 kutuambia nini unakichukia au kukipenda ndani ya Fuga App ili tuboreshe

    Tulipoanza kutengeneza Fuga App, hatukutaka kubahatisha kile wafugaji wanahitaji. Ndiyo maana ndani ya app tumeweka kitu rahisi sana. Kama kitu kinakusaidia, tuambie. Kama kuna sehemu inakuzngua, tuambie. Kama una wazo la kuboresha Fuga App, tuambie. Una wazo? Una Swali, Kuna sehemu...
  18. Brayan_Jk

    Sababu kuu 2 za kutumia hii App kama unataka kuanza Ufugaji wa Kuku mwaka 2026

    Kama wewe ndo umemaliza chuo au mwaka kesho unataka kuanza ufugaji wa Kuku Kwa urahisi,hii ni kwa ajili yako Kama unataka kuanza Kufuga kuku kwa urahisi,bila kuhangaika kujua pa kuanzia, bila kuteseka kupata bajeti halisi, na bila stress ya kufuatilia kila kitu manual, basi hivi ndivyo unaweza...
  19. Fbn

    Ukipiga simu sana leo D9 App ya true call inakwambia kuna mtu ameangalia namba yako wakati ufahamu hiyo namba

    Mnaotumia true call mnaweza kujiuliza leo tarehee 9 .App ya true call inaweza kukuonesha wanaokutafuta kama wataweka namba yako. Na kwa nini ili jambo limeanza leo
  20. Pakome

    Kesi ya Mange Kimambi inaweza kumwelemea sana kwasababu App yake ilivuna mapato illegally

    Kesi ya Mange Kimambi inaweza kumwelemea sana kwasababu App yake ilivuna mapato illegally Serikali inachukizwa sana na kitendo cha kujivunia mapato kinyume na Sheria Biashara isiyokuwa na Leseni pamoja na biashara isiyolipa kodi Makosa haya yanawezakumwingiza hatiani Kesi yake ingekuwa...
Back
Top Bottom