amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    THRDC NA TLS Walani Mauwaji Na Ukandamizaji huko Tanzania

    Muungano wa Shirika la Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania THRDC na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, wamelaani vitendo vya mauaji na ukandamizaji wa raia wasio na hatia vilivyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya uchaguzi. Katika taarifa ya pamoja, mashirika hayo yamevitaka vyombo vya...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Moja ya hotuba ambayo iligusa moyo wangu nakubadili kila kitu kwenye moyo wangu kuhusu siasa Pumzika JPM

  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vurugu za uchaguzi Tanzania: Waandamanaji wakaidi amri ya Mkuu wa Majeshi

    Chanzo cha picha,Reuters Maelezo ya picha,Rais Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani mwaka 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake na huu ni uchaguzi wake wa kwanza wa kugombea urais. 31 Oktoba 2025 Waandamanaji wameingia mitaani nchini Tanzania kwa siku ya tatu mfululizo, kukaidi amri...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    KHRC, Global Rights Group Confront Samia Suluhu as Post-Election Violence Rock Tanzania

    Tear gas fills the air as police confront protesters in Tanzania, October 29, 2025. Kenyan and international human rights organisations have issued a joint set of demands to President Samia Suluhu Hassan’s government, calling for an immediate end to what they described as escalating...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dunia imeisha! Stori ya mwanamke aliyetokea nchi ya Torenza ambayo haipo duniani

    Who is the Torenza Passport woman and why is the JFK Airport video going viral? Explained. A viral video showing a woman at JFK presenting a passport from the nonexistent country ‘Torenza’ has sparked theories of AI-generated misinformation. A bizarre video from John F Kennedy International...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dah Wanaume hii ni Dhambi Kabisa MunaMcheat Mpaka Bubu?

  7. Its Tesha

    GE2025 Samia: Kibati Kikipasuka, sisi tuko nao, ninayezungumza ni Amirijeshi mkuu, Tokeni mkapige Kura Oktoba 29, 2025

    "Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi “Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    GE2025 Serikali ya Tanzania imeongeza ukandamizaji wa kisiasa, jambo linalozusha wasiwasi mkubwa kuhusu iwapo uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29

    Serikali ya Tanzania imeongeza ukandamizaji wa kisiasa, jambo linalozusha wasiwasi mkubwa kuhusu iwapo uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu utakuwa huru na wa haki, Human Rights Watch imesema leo. Mamlaka zimekandamiza Matangazo ya Mchana: Upinzani wa kisiasa na wakosoaji wa...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Netanyahu: Tunakwenda Kutimiza ahadi yetu kwamba hakutakuwa na Taifa la Palestina eneo hili ni letu

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, siku ya Alhamisi alisema kuwa "hakutakuwa na taifa la Palestina." Alitoa kauli hiyo wakati wa ziara yake katika makazi ya Maale Adumim yaliyoko katika Ukanda wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu. Netanyahu alisaini rasmi hati ya kuidhinisha ujenzi wa...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Moja ya hotuba ambayo iligusa moyo wangu nakubadili kila kitu kwenye moyo wangu kuhusu siasa. Pumzika Hayati JPM

  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Usiku Mwema Marafiki Zangu

  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mtu anapaswa kunywa maji kiasi gani ili kuweka figo zake salama?

    Figo ni moja ya viungo muhimu vya mwili wa mwanadamu, ambavyo vina majukumu mengi ya kuweka mwili katika afya njema. Madaktari mara nyingi wanashauri kwamba ili kuweka figo kuwa na afya njema, kula kiasi cha chumvi, kuepuka sukari ya ziada na kutotumia dawa za maumivu bila ushauri wa daktari...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dalili sita za kugundua ugonjwa wa figo

    Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini ya elektroliti. Figo hufuatilia shinikizo la damu na pia kusaidia katika kutengeneza seli nyekundu za damu. Lakini mara nyingi watu hupuuza dalili za mwanzo za figo kushindwa...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nchi 7 'hatari' zaidi kwa usalama Afrika

    Maelezo ya picha, Makumi ya watu nchini Kenya wametekwa nyara na kuuawa tangu maandamano yalipozuka mwezi Juni 2024Maelezo kuhusu taarifa Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara imeshuhudia kushuka kwa viwango vya amani katika mwaka uliopita, ambapo wastani wa hali ya amani katika eneo hili...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kuna Aina sita ya vyakula ambavyo vikichanganywa hugeuka sumu

    Kila binadamu ana kile alichojaaliwa na Mungu. Siku zote anachoamua mmoja kula huenda kikawa sumu kwa mwingine. Chakula anachokula mtu kinaenda sanjari na hali ya kiafya. Wengine huumwa hadi kusababisha kupoteza uhai na hii ni baada tu ya kupendelea kuchanganya chakula. Mtu mmoja anaweza kula...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    War No More Trouble Live At The Rainbow Theatre, London 1977

  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Unarudi Toka Kazini Unamkuta Mkeo anampiga Mama yako Mzazi.Je utafanya kitu gani kwa mkeo?

    Hatari kweli kisia huyu atakuwa ni mama yake mzazi au mama mkwe wake?
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Je, Tanzania iko tayari kwa umeme wa nyuklia?

    Maelezo kuhusu taarifa Author,Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutokaBBC Dar es Salaam 26 Mei 2025 "Ndani ya nchi yetu Mungu ametubariki uraniamu (urania). Ni vyema kusimamia ule mradi wetu kule Namtumbo, wale wawekezaji waanze kazi sasa tufaidike na rasilimali ile." Ni kauli nzito ya Rais wa...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ni mara ngapi unapaswa kuosha taulo yako?

    Maelezo ya picha,Taulo inaweza kuonekana safi machoni ila imekusanya mamilioni ya bakteria Kwa kunusa tu kipande cha nguo au kukichunguza kwa uangalifu ikiwa hakina mabaka, tunaweza kuamua ikiwa kiko tayari kuoshwa au kinaweza kustahimili matumizi mengine. Lakini tunajuaje ni wakati wa kuiosha...
Back
Top Bottom