allah

Allah ( A(H)L-ə, ə-LAH; Arabic: الله, IPA: [ɑɫˈɫɑːh] ) is the Arabic word for God, particularly the God of Abraham. Outside of the Middle East, it is principally associated with Islam (in which it is also considered the proper name), although the term was used in pre-Islamic Arabia and continues to be used today by Arabic-speaking adherents of any of the Abrahamic religions, including Judaism and Christianity. It is thought to be derived by contraction from al-ilāh (الاله, lit. 'the god') and is linguistically related to God's names in other Semitic languages, such as Aramaic (ܐܲܠܵܗܵܐ ʼAlāhā) and Hebrew (אֱלוֹהַּ ʾĔlōah).
The word "Allah" now implies the superiority or sole existence of one God, but among the pre-Islamic Arabs, Allah was a supreme deity and was worshipped alongside lesser deities in a pantheon. Many Jews, Christians, and early Muslims used "Allah" and "al-ilah" interchangeably in Classical Arabic. The word is also frequently, albeit not exclusively, used by Bábists, Baháʼís, Mandaeans, Indonesian Christians, Maltese Christians, and Sephardic Jews, as well as by the Gagauz people.
While it is an Arabic word and has historically been used by Muslims and non-Muslims alike in the Arab world, the usage of "Allah" by non-Muslims has been controversial in non-Arab parts of the Muslim world, especially Malaysia, where it became illegal for non-Muslims to use "Allah" after the country experienced a social and political upheaval in the face of the word being used by Malaysian Christians and Sikhs.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    KATI YA AJENDA ILIYOKUWA IKIMTESA IRAM WALIAMBIWA KABLA YA MAZUNGUMZO YOYOTE AOMBE RADHI NCHI JORA. ALIZOZIPIGA TUENDELEE HATIMAE 🚨 Iran's President Masoud Pezeshkian apologised on Saturday to neighbouring countries for attacks launched during the Islamic republic's war with ‘Israel’ and the...
  2. Zee la madawa

    Zahir Zorro moto wa Allah hauzimiki kwa fire extinguisher, ni wa milele

    OOOH ZAHIR ZORO MOTO WA ALLAH HAUZULIKI Mzee Zahir Ali Zoro — Mmanyema wa kabila, mzaliwa wa Uislamu — kwa bahati mbaya aliteleza katika mtego wa anasa za dunia. Akauacha Uislamu, dini aliyozaliwa nayo, dini aliyojua haki yake, mwisho wake na uzito wa kuigeuka. Si hilo tu; aliwavuta pia...
  3. Traxtion

    Taliban yaruhusu wanawake kupigwa ila wasivunjwe mifupa au kupata majeraha

    Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi kuvunjika kwa mifupa kwenye miili yao. Aidha mazingira ya kisheria kwa wanawake yamezidi kuwa magumu...
  4. Clever505

    Kati ya waislam na Allah nani muongo kwenye hili?

    Waislam wote duniani wanafundishana kwamba vitabu vya Mungu; Tourati, Zaburi na Injili vimechakachuliwa. Hili fundisho mmepata wapi! Mbona mnamuona Mungu ni dhaifu sana kiasi kwamba hawezi kulinda vitabu vyake? Yaani Bukhari ana kitabu chake cha Hadith kipo hadi leo tangu kiandikwe ila Mungu...
  5. Ponjoro wa Kinondoni

    Muhammad Alimaanisha nini Kumwambia hivi Allah?

    Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema". Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
  6. Castle_Lite

    Allah alimfundisha Mtume kutengeneza Kimea

    Ndugu zangu Waislam Quran 16 : 67 "Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili." Tumeruhusia kutengeneza kunywa na kuuza vilevi. Tumswalie mtume. Jagina gallow bird adriz Ertugrul Bey Wazolee Cc...
  7. Castle_Lite

    Mtume Mohamed na Upendeleo wa Allah

    Kama Duniani tu Allah alimpendelea Mtume wetu na kumruhusu kuoa wanawake 10+ . Nina amini huko Peponi atakuwa anawazagamua sana wale Mahurumain wa Allah. Quran 33:50 "Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi...
  8. Castle_Lite

    Ndugu zangu katika Imani. Tukumbuke kuwa Allah ametuahidi.

    Mwaka unaishia na mwingine unaanza. Nawakumbusha tu kuwa tuna ahadi ya milele Allah ametuahidi. Kwahiyo Tujitahidi kufanya mema twende Peponi. Quran 45 : 51 -55 "Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani. Katika Bustani (Peponi) na chemchem. Watavaa nguo za hariri nyembamba na nzito...
  9. Chizi Maarifa

    Mussa, Daudi, Yesu na Wayahudi wengine wengi wa kwenye Biblia walikuwa Waislamu!

    Ad-Darr” (ٱلضَّارّ) ni moja ya majina 99 ya Allah (Asmaul Husna). 🔹 Maana yake: “Yule Mwenye Kudhuru” au “Mleta Madhara.”
  10. Chizi Maarifa

    Ubayd Allah aliacha Uislamu na kuwa Mkristo. Alipokufa tu Muhamad akaenda mwoa mke wa Marehem

    Ubayd Allāh ibn Jahsh (عبيد الله بن جحش), ambaye alikuwa binamu wa Mtume Muhammad ﷺ. Nitasimulia kwa ufupi historia yake halisi kama inavyopatikana katika vyanzo vya mapema vya Kiislamu Jina kamili: ʿUbayd Allāh ibn Jahsh ibn Riʾāb al-Asadī Alikuwa ndugu yake Zaynab bint Jahsh, ambaye baadaye...
  11. Chibike

    LAANA ya wanasimba kwa timu mbovu ya Berkane hatimaye yatimia rasmi leo, ashukuriwe Allah

    Wanasimba wenzangu kama mnavyokumbuka tulivyofanyiwa figisu na uonevu mkubwa na timu hii mbovu ya Berkane na hata kiongozi wao sababu ana cheo kikubwa huko CAF tukanyimwa kucheza mechi yetu ya fainali kombe la shirikisho katika uwanja wetu wa nyumbani Mkapa, hio haitoshi wakahakikisha wanamhonga...
  12. The Father of All

    Kwanini miungu ya kigeni allah na yehova inapenda kuabudiwa hata isipofanya lolote au kutatua tatizo au ni utumwa wale waliozileta kutunyonya?

    Wangapi wameomba Mungu wasipate kitu? Wangapi hupatwa na woga wanapoambiwa hasira na visasi vya Mungu/ Wangapi wameibiwa hata kuharibiwa maisha kwa jina la Mungu?> Wangapi wana wasi wasi hadi kuhoji kama mimi? Wangapi wanaogopa kuhoji? Maswali ni mengi kuliko majibu. Kichwa cha habari...
  13. Dalali wa Mjini

    Hakika umebarikiwa na Mungu/Allah subhanahu wa taala

    Amani iwe juu yenu wenye Imani ya Mungu. Baraka za Mungu ziendelee kuwa na Nyinyi Amini. Kwenye haya Maisha unakutana na watu tofauti Sana wenye roho mbaya wenye roho za Kati na wenye roho. Hawa wenye roho mbaya wao hawajali Maisha ya watu wengine. Hawa wenye roho za kati huwa na roho mbaya...
  14. Echolima1

    Ajivika sanda kupinga kuondolewa huko Gaza anataka awahishwe kwa Allah wake

    Idhaa rasmi za Hamas zinasambaza video inayoonyesha mtu wa Gaza aliyejitoa muhanga akiwa amevikwa sanda ya mazishi akiwahutubia wakazi wa Shati na vitongoji vya Sheikh Radwan: “Mbona mnaogopa kifo, mbona mnatoka majumbani mwenu, mnawasaidia Mayahudi kuingia maeneo haya, mimi hapa nimejifunika...
  15. Muuza madafu wa Ikulu

    Auawa kwa kumkufuru mtume Muhammad S.A.W

    Mwanamke mmoja ameuawa kwa kuchomwa moto na kundi la watu katika jimbo la Niger Kaskazini mwa Nigeria baada ya kutuhumiwa kumkufuru Mtume Muhammad (S.A.W). Polisi walilaani mauaji ya mwanamke huyo aliyetambuliwa katika vyombo vya habari vya ndani kama mchuuzi wa chakula anayeitwa Amaye ...
  16. MK254

    Musa wa waislamu alitiwa aibu na Allah kwa kukimbia uchi mbele ya watu na kuanikwa kila kitu ili aache kukejeliwa

    Musa wa kwenye uislamu alikua mwoga mwoga ambaye siku zote alijisitiri mwili wote kwa nguo, hadi Waisraeli wakawa wanamsema kuwa ana ukoma au maradhi fulani ya ngozi, sasa ili mungu wa waislamu aonyeshe kweli jamaa hana matatizo ya ngozi, akasubiri siku moja Musa anaoga, alipomaliza na kwenda...
  17. Nucky Thompson

    Mwanamke akabiliwa na adhabu ya kupigwa mawe mpaka kufa baada ya kuvaa Tshirt inayomtukana Allah

    Mwanakulitafuta, Mwanakulipata Ibtissame Lachgar wa nchini Morocco anatuhumiwa kwa kuweka picha akiwa amevalia shati ambalo linauchukiza Uislamu, na kuandika maelezo ambayo pia yalikuwa yanaitukana dini hiyo kuwa Allah ni msagaji
  18. Wazolee

    Waandishi wa Bibilia wameficha sehemu Yesu alitamka Allah kama ndio Mungu wake

    Ukiisoma Injili zote ni sehemu Moja tu wandisha ndio wameandika Yesu akitaja jina la Mungu wake na Kwa mujibu wao alitaja hilo jina akiwa yupo msalabani Mathayo 27:46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona...
  19. Nucky Thompson

    Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

    Kwa haraka haraka ukitazama hiyo picha unaona nini? Je ukiitazama kwa makini unaona nini? Basi hayo ndio maajabu ya Allah
  20. Yoda

    Kwanini Allah ni "he" kama hafanani au hafananishwi na kitu chochote?

    “If Allah finds goodness in your hearts, He will give you better.” — Al Qur’aan 8:70 He ni utambulisho wa jinsia ya kiume!
Back
Top Bottom