akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Udikiteta sio dili tena. Wanaccm Kwa haya mapigo saba(7) mna la kujifunza?? Msipokuwa makini mtapata magonjwa ua akili.

    Habari za Mchana huu. Tukiwa tunafunga wiki kuelekea wikendi hebu tutafakari kidogo. Nimegundua udikteta sio ishu tena kwenye ulimwengu unaostaarabika. Dunia ya Sasa madikteta wa zamani wapo lakini hawa wapya wanaoibukia kishamba hakuna nafasi tena kwao. Dunia inapambana na hawa wachache...
  2. Fahamu magonjwa ya akili madogo madogo ambayo sio rahisi kujitambua

    Magonjwa ya Akili ni Nini na husababishwa na Nini? • Magonjwa ya akili ni matatizo ya ubongo ambayo humfanya mtu kuwa na hisia, fikira na matendo tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii na kushindwa kukabiliana na changamoto za maisha. Magonjwa ya akili yanaweza kusababishwa na sababu za...
  3. M

    Nini Maana Na Tofauti ya Akili, Nafsi na Roho?

    Naomba msaada kwa mwenye uelewa anisaidie (Kwa lugha rahisi) kuelezea maana na tofauti ya maneno haya (Akili, Nafsi na Roho). Ikiwezekana kwa mifano halisi au kama kuna vitabu au tovuti ambayo inaweza kuelezea kwa kina dhana hizi za Akili, Nafsi na Roho. Nimeyasikia maneno haya mara kadhaa...
  4. K

    Ni kipi kinafanya viongozi wengi wa vyama vya upinzani kuonekana wana akili ?

    ni ipi sababu ya hawa jamaa kuonekana hivyo wakati kielimu wengi wako chini kuliko wenzao wa chama cha mapinduzi
  5. Polepole: Bulembo si tu ni mhuni bali pia ni tapeli

    Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika hayo huku akidai hana hata huo muda wa kufanya mdahalo na na tapeli. "...vilevile aliifilisi Jumuiya yetu moja ndani ya CCM."Ameandika Polepole.
  6. Kwa haya aliyoyafanya, Polepole hapaswi kuitwa Mzalendo

    Katika taifa hili mtu ukifikiria sana unaweza weka kuona ni unafki mtupu umetamalaki kila mahali, yaani ni umbeya tu na Majungu ndiyo maisha yetu ya sasa. Yaani Polepole huyu aliyekua anawasiliana wenzake hadharani akiwa mwenezi wa ccm? Huyu huyu Pole pole ambaye alikua ambaye juzi juzi tu...
  7. Suala la ardhi halimo kwenye Muungano, Zanzibar wapo makini kulinda ardhi yao lakini wametuzidi akili kuimiliki ardhi ya bara

    Kwenye katiba ya Tanzania hakuna sehemu iliyohusisha ardhi kwenye muungano, Ardhi ya Tanzania bara ni kwajili ya raia wake na ardhi ya Zanzibar ni ya raia wake. Hatuna budi kuwapongeza wazanzibari maana hawana mchezo kwenye kulitekeleza hili kwa kulinda ardhi yao iwe kwajili yao, Lakini sasa...
  8. Nawashangaa sana watu wanaoniona mimi ni mtu mwenye akili. Sijui wameona nini kwangu?

    Ipo hivi, kuna ofisi moja kubwa sana hapa mujini nilianza kufanya nayo kazi takribani miaka minne hivi iliyopita mpaka sasa. Wakati huo nikiwa bwana mdogo, ila sasa sijui ilikuwa kuwaje hawa wafanyakazi wenzangu kadri mda ulivozidi kwenda, walikuwa wananichukulia wa tofauti sana, mchapa kazi na...
  9. B

    Madhara ya kuondoa watu wenye akili Serikalini nakutumia wenye nguvu, taifa lakosa dira

    Mifumo yetu yote yakijasusi na kiraia imekosa au imepungukiwa watu wenye akili na kukaliwa na watu wenye nguvu. Watu wenye akili hata wakizeeka au kuugua still wanaweza kutoa strategies zakuwasaidia wenye nguvu kufanya KAZI lakini watu wenye nguvu iwe ya mwili au uchumi au ya dola wakipatwa na...
  10. Akili za ‘Bongo Movie’

  11. FUTIKA FUTIKA: Kilevi kinachofuta akili ndani ya muda mchache baada ya kunywa

    Maandalizi *Pukuchua mbegu zake *Changanya na maji lita 1 *Acha baada ya masaa 6+ *Kunywa Matokeo: Kati ya matukio haya manne, moja nimelishuhudia juzi kwa kijana mmoja ninayefahamiana naye na leo aliponiletea mmea huu ilibidi niupige picha nilete humu kwa ajili ya kujuzwa zaidi juu ya mmea...
  12. Hivi nina matatizo ya akili au vipi?

    Hivi kweli mtu anaweza kuwa ana ishi bila kujua kama ana matatizo ya akili? Mimi mwenzenu na shangaa saana watu wengi wananiambia kuwa awanihelewi kabisa yaani kuanzia maneno yangu mpaka vitendo vyangu na wengine Wana sema nimepungukiwa akili kabisa Hata mimi mwenyewe kuna mda uwaga si helewi...
  13. Amini una akili yenye uwezo mkubwa wa kubuni wazo la kuweza kukusaidia kufanikiwa kimaisha

    Huwa nikikaa na kufikiri ni namna gani binadamu aliweza kubuni ndege, meli kubwa hasa za mizigo, gari na vitu vinginevyo na badae kuja kuwa msaada mkubwa katika dunia yetu ya siku leo hata kurahisisha maisha katika eneo fulani lililokuwa na ugumu kwetu, basi nauona uwezo wa Mungu aliouweka ndani...
  14. Mfumo wa elimu Tanzania unafanya wenye vipaji kuonekana hawana akili, kitu ambacho si kweli

    Daktar anapoingia chumba chenye wagonjwa tofauti tofauti halafu wote akawapa dawa ya malaria hii inamana kuwa watakao pona ni wenye malaria tu wengine atakuwa hajawasaidia. Hicho ndio kinacho tokea shuleni kwa sababu Tiba inayotolewa inalenga kuwa tibu wanafunzi wenye logical na linguistic...
  15. S

    Umenunua kigari cha milioni 15 unakata bima comprehensive. Una akili sawa sawa wewe?

    Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini? Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao...
  16. Dalili zinazoashiria magonjwa ya Afya ya Akili

    Kihisia: Kukosa furaha na kuhuzunika sana. Au kuwa na furaha sana kupita kiasi wasiwasi na au woga kupita kiasi. Kupunguza kuongea au kutokuongea kabisa au kuongea sana kupita kiasi. Hasira za haraka haraka hata kufikia kupiga wengine. Kuwa na msongo wa mawazo. Kujitenga na watu na kupenda kukaa...
  17. M

    Ewe Mwenyezi Mungu nakuomba usipokee Maombi ya Watanzania ulete Mvua, bali acha Kwanza tufe ili Akili zitukae sawa na tuache kuwa Mazuzu

    Yaani tunaharibu wenyewe Mazingira kwa Uzuzu wetu huku wengine tukikataa Kupanda Miti mingi au hata Kuitunza tu ili ije itusaidie kwa Kivuli, Upepo na hata Mvua leo tunataka Kumhangaisha Mwenyezi Mungu mwenye Majukumu Mamilioni kidogo dhidi ya Watu na Mataifa mbalimbali atusamehe na atushushie...
  18. Tusijisahaulishe; Akili na elimu ni kama Jua na Mwezi

    Kwema Wakuu! Leo sina mengi ya kusema, Mada tajwa hapo yahusika. Akili ni jua Elimu ni mwezi. Jua Kwa 90% ni kitovu cha uhai WA viumbe. Wenye Elimu msijisahau, Elimu sio Akili. Elimu haizai Akili isipokuwa Akili ndio inazaa Elimu. Elimu ni Kama mwezi, unasharabu mwanga kutoka kwenye...
  19. Ilikuwaje watu wakaamini kwamba Tanzania inaweza kuendelea bila kushirikiana na dunia?

    Huwa nawaza sana tulifikaje hapa tulipo leo, Hivi ilikuwaje taifa lenye wasomi wazuri kabisa likaamua kufanya maamuzi ya kipumbavu ambayo hata Waroma wa kale walioishi miaka 2000 iliyopita wasingeyafanya. Hivi katika maksudi kabisa, taasisi nyeti za Tanzania ziliamini kabisa kwamba wao...
  20. Akili inayotumika kumponda Hayati Dkt. Magufuli ndio ile ile iliyowagharimu wana Libya

    Salama humu, Wale chawa wa awamu ya 6 wanajitahidi sana kufifisha yote mazuri yaliofanyika na kiongozi wa awamu ya 5! Alikuwa na madhaifu yake kama binadamu ila swala la kukomalia social services ziwe available and accessible kwa umma ndio kitu ambacho wengi wenye akili tutamkumbuka nacho...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…