ajira

  1. SoC03 Uchumi wa Buluu Uimarishwe ili Kuboresha Uchumi na Ajira kwa Vijana Tanzania

    Utangulizi Uchumi wa Buluu ni nini? Kwa mujibu wa Benki ya Dunia (“World Bank”), Uchumi wa Buluu ni “Matumizi endelevu ya rasilimali za bahari kwa ajili ya ukuaji wa uchumi, kuboresha shughuli za kujipati kipato, na ajira, huku afya ya mfumo wa ikolojia ukihifadhiwa”. Kwa mujibu wa Kamisheni ya...
  2. M

    Jinsi Akili Bandia (Artificial Intelligence) ilivyoua ajira za watu huko India

    Supatech: Sumit Shah ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Dukaan, kupitia ukurasa wake wa Twitter aliufahamisha umma ya kwamba amefanya mabadiliko makubwa kwenye idara ya huduma kwa wateja ndani ya kampuni hiyo. Dukaan ni kampuni kutokea nchi India ambayo inajihusisha na mauzo mtandaoni...
  3. Hizi ndizi kozi zenye soko katika ajira nchini

    Ukiondoa priority course(kozi pendwa) Kuna hizi kozi zenye upana wa Ajira, Upande wa Afya na uhandisi. Electronics& communication (Self) Computer &IT Civil Eng, Electrical Eng, Mechanical Eng, Biomedical Eng, MD(Medical Doctor) Med laboratory (Bach), Pharmacy, Nursing, Clinical Medicine...
  4. Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

    Ushauri wangu kwa vijana wa form 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya chuo kikuu. Tanzania ya sasa haihitaji Degree, zimeshakuwa nyingi sana mtaani mpaka copy za vyeti zinafungiwa vitumbua. Yaani degree ni luxury sio hitaji muhimu. Tanzania ama dunia ya sasa inahitaji stadi na...
  5. Assistant Finance Manager at BRAC

    Position: Assistant Finance Manager Location: Country Office Dar es Salaam Job Responsibilities 1. To supervise all Divisional Accounts Managers/Regional Accounts Manager Activities and ensure strong controls on cash, inventory, and other assets. 2. To provide necessary assistance and direction...
  6. Female Sports and PE Teacher at Dar es Salaam Independent School

    Position: Female Sports and PE Teacher TEACHERS APPLYING FOR A SPORTS & PE TEACHER POSITION should have; At least five years’ experience teaching & training basketball, volleyball, football e.tc. Evidence of students’ achievement. Computer skills. Proficiency in English speaking and writing...
  7. T

    SoC03 Mfumo tiba ukosefu wa ajira nchini

    Ajira ni kazi au shughuli ambayo mtu anafanya kila siku na kujipatia kipato kwa ajili ya kujikimu na kufanya maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla. Mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu (elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari), elimu ya kati vyuo vya kati na elimu ya juu (serikali...
  8. Volunteer Coordinator at Expert Consultancy Ltd

    Position: Volunteer Coordinator Location: Arusha Salary: 250,000-300,000 Gross salary Start date: ASAP Duties and Responsibilities Source and recruit volunteers through various techniques (databases, e-mail, social media etc.) Collect information on availabilities and skills Arrange for...
  9. Tractor Driver at Kilimanjaro Plantation Limited

    Position: Tractor Driver Location: Moshi, Kilimanjaro Region, Tanzania Remuneration: Competitive and depending on experience Contract Type: Fixed Term Ref: KPL/HR/007/2023 Roles Ensuring the smooth operation of our coffee plantation, contributing to the growth and success of our coffee...
  10. Internal Auditor at Tigo (2 positions)

    Position: Internal Auditor (2 positions) HOW TO APPLY If you are interested in applying for either of these positions, kindly address your email to career.tz@tigo.co.tz On the subject line, indicate the role you are applying for (eg. Head of Internal Audit). Attach your updated CV (in PDF...
  11. Head of Internal Audit at Tigo

    Position: Head of Internal Audit HOW TO APPLY If you are interested in applying for either of these positions, kindly address your email to career.tz@tigo.co.tz On the subject line, indicate the role you are applying for (eg. Head of Internal Audit). Attach your updated CV (in PDF format)...
  12. Automotive Senior Sales Manager at Expert Consultancy Ltd

    Position: Automotive Senior Sales Manager Category: Sales and Marketing Location: Arusha Salary: Negotiable Start date: ASAP Description On behalf of our client in Arusha, that provides best quality services on Automobile spares, we are looking for an experienced and successful sales manager to...
  13. Crusher Mechanic at Fabec Investment Limited

    Position: Crusher Mechanic Heavy Equipment Mechanic Responsibilities: Inspecting trucks, cranes, bulldozers, and other heavy equipment for proper performance. Diagnosing faults using computerized testing equipment. Adjusting equipment and replacing faulty parts. Repairing damaged equipment...
  14. Crusher Supervisor at Fabec Investment Limited

    Position: Crusher Supervisor Responsibilities The Crusher Operations Supervisor will be responsible for two to three operating crews once production is under way as set out below: Responsible for shift operations at crushing sites. Supervise the work of personnel engaged in performing...
  15. Crusher Operator at Fabec Investment Limited

    Position: Crusher Operator Responsibilities: Setup and Material Management Ensure the crusher is level at all times Maintain site cleanliness, and perform general labor activities, including but not limited to shoveling in and around the belts and crusher Checks stockpile to ensure product...
  16. Zonal Business Analyst – Western Zone at CRDB

    Position: Zonal Business Analyst Reporting to: Zonal Manager Job Purpose The Job Purpose is to be responsible for zone market analysis, analyzing both product lines and the overall profitability of zone business branch-wise. In addition, zone business analyst is responsible to develop and...
  17. SoC03 Ajira Lukuki za Vijana Kupitia Sekta ya Utalii Nchini Tanzania

    Utangulizi Wakati ninasoma, nilidhani kuwa watalii ni lazima wawe wazungu kutoka Ulaya, na pia nilidhani utalii unafanyika katika mbuga za Wanyama pekee. Nikiwa bado shuleni, nilibahatika kwenda pamoja na wanafunzi wenzangu kutembelea mbuga za Wanyama Manyara na Ngorongoro, tulipokuwa tunakutana...
  18. N

    SoC03 Jinsi ya kufanya utatuzi wa ajira nchini

    Habari zenu watanzania. Ninajivunia kuwa mtanzania, pia ninayo furaha kupata fursa hii, ili na mimi nitoe mawazo yangu katika ujenzi wa nchi yetu. Asanteni sana mlioandaa shindano hili, siyo tu kwamba kujishindia zawadi, bali, tuna tunatazamia mabadiliko chanya, na uwajibikaji katika sekta...
  19. VFX, Modeling, na Archtecturing natafuta Ajira

    Ninaandika ujumbe huu kwa nia ya kutafuta fursa za ajira katika mambo ya VFX, modeling au architectural design. Mimi ni mtaalamu mwenye ujuzi katika maeneo haya na ninatafuta sehemu ninayoweza kufanya kazi zinazo husiana 3D. Nina tumia Blender kwa ubunifu wa 3D, uhuishaji, na modeling. Nina...
  20. SoC03 Hizi ndizo fursa zilizopo vyuo vikuu, enyi wanafunzi wa vyuo vikuu tumieni fursa hizi kutengeneza ajira zenu baada ya chuo

    Tatizo la ajira nchini linazidi kuwa kubwa na hii ni kutokana na wingi wa wanafunzi wanaohitimu kila mwaka huku serikali ikishindwa kutoa ajira kwa wahitimu wote, Katika kukabiliana na tatizo hili serikali imekuwa ikipendekeza njia ya kujiajiri na sio kusubiri kuajiriwa swali la msingi hapa ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…