ajira

  1. Jamii Opportunities

    Request for Proposals – RFP at WWF June, 2024

    REQUEST FOR PROPOSALS – RFP PROVISION OF HEALTH INSURANCE SERVICES TO WWF TANZANIA STAFF FOR FY 2024/25 WWF Tanzania Country Office is a Non- Government Organization dealing with environmental protection in Tanzania since 1990 and it has supported the Government of Tanzania in implementing...
  2. Jamii Opportunities

    Request For Proposals at Nature Conservancy June, 2024

    Request For Proposals The Nature Conservancy (TNC) is among the leading conservation organizations working around the world to protect ecologically important lands and waters for nature and people. TNC addresses the most pressing conservation threats at the largest scale. Thanks to the support...
  3. Jamii Opportunities

    Request For Expression Of Interest (EOI) 83466872 – at GIZ June, 2024

    REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EOI) Eol No.: 83466872 Construction work in Muheza DC and Korogwe TC in Tanga, Tanzania The Deutsche Gesellschaft fur Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH is currently implementing its project Improving Health Care in Tanzania II (IHCP2)as part of the...
  4. Jamii Opportunities

    Request for Expression of Interest (EOI) 83466852 at GIZ June, 2024

    REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EOI) Eol No. 83466852 Renovations in 16 health facilities, Tanga, Tanzania The Deutsche Gesellschaft fur Internationale Zusammenarbeit (GIZ) GmbH is currently implementing its project Improving Health Care in Tanzania II (IHCP2) as part of the support of the...
  5. Jamii Opportunities

    Expression of Interest for Services at Sotta Mining June, 2024

    EXPRESSION OF INTEREST FOR SERVICES TO THE NYANZAGA GOLD PROJECT EQI/NGP/023 SUPPLY OF FENCING MATERIALS Sotta Mining Corporation Limited (Sotta) is a Tanzanian incorporated joint venture company between the Nyanzaga Mining Company Limited (NMCL) and the Government of Tanzania. Sotta is...
  6. Jamii Opportunities

    Expression of Interest for Catering Services to The Nyanzaga Gold Project at Sotta Mining June, 2024

    EXPRESSION OF INTEREST EOI/NGP/021 FOR CATERING SERVICES TO THE NYANZAGA GOLD PROJECT Sotta Mining Corporation Limited (Sotta) is a Tanzanian incorporated joint venture company between the Nyanzaga Mining Company Limited (NMCL) and the Government of Tanzania. Sotta is developing the Nyanzaga...
  7. Jamii Opportunities

    Expression of Interest for Services to The Nyanzaga Gold Project at Sotta Mining June, 2024

    EXPRESSION OF INTEREST FOR SERVICES TO THE NYANZAGA GOLD PROJECT EOI/NGP/024 SUPPLY OF ROUGH TERRAIN CRANES Sotta Mining Corporation Limited (Sotta) is a Tanzanian incorporated joint venture company between the Nyanzaga Mining Company Limited (NMCL) and the Government of Tanzania. Sotta is...
  8. M

    SoC04 Ajira kwa watumishi tarajali (internship)

    Tarajali ni kipindi ambapo wafanyakazi hupokea mafunzo ya kazi chini ya uangalizi maalumu katika shirika ama kampuni fulani kwa kipindi cha muda fulani ili kupata uzoefu utakao muongezea thamani katika kazi yake ili apate soko katika ajira kirahisi. Hapa tanzania tuna taasisi inayowasaidia...
  9. M

    Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

    Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inasemekana inamilikiwa na Joseph Kusaga , salim kikeke wakishirikiana na msanii alikiba Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc. Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata...
  10. T

    Natafuta ajira yoyote ndugu zangu betting imenishinda

    Ndo hivyo wakuu Hali sio Hali nimeamua nipige yowee mwenye maskio na asikie, maana jiwe limepigwa gizani na Mimi ndo nilikuwa nimejificha humo na jiwe ndo limenipata😓 Mimi ni kijana wa makamo tu zaidi ya vibarua Sina kingine cha kufanya naombeni kazi jaman, Sina ujuzi wowote ule zaidi ya...
  11. Muhsin Snr

    TAMISEMI mbona kimya mwezi wa sita huu mwaka huu hawaajiri Walimu na Afya?

    Habari wakuu, kama title inavojieleza....tunaelekea mwaka mpya wa kiserikali(kibajeti) Hofu yangu kuu ni kua tamisemi hawajafungua ajira za walimu na watu wa afya hadi mda huu naandika uzi swali la kujiuliza a) Tuna sufficient za hao watu katika hizo sehemu nyeti kabisa katika maendeleo ya...
  12. Chongeni

    Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli?

    Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa. Wenye siri nzito za ajira mpya ni lini zitatangazwa tudokezeni. Thank you
  13. Frajoo

    SoC04 Suluhisho la tatizo la ukosefu wa ajira rasmi kwa vijana

    SULUHISHO LA TATIZO LA UKOSEFU WA AJIRA RASMI KWA VIJANA NCHINI TANZANIA. Ndoto ya kila mzazi au mlezi ni kuona kijana anapata ajira rasmi mara tu anapohitimu masomo yake.Huku ajira ya serikalini ndio lengo kuu.Pia inachochea maendeleo kwa taifa kuajiri vijana wenye ufahamu wa ujuzi mpya...
  14. N

    SoC04 Inawezekana ajira zikawepo, kwa sababu uhitaji upo wa wafanyakazi. Lakini hamna wanao ajiriwa

    Unakuta kuna uhaba wa ajira sekta fulani mfano uhandisi, ualimi, udaktari na sekta mbali mbali. Lakini kuna watu wengi ambao wapo katika hizo fani na wengine wanafanya kazi ambazo hata haziwapi uzoefu au kuongeza maarifa kwa walichosomea/ taaluma yao. Kwa sababu mbali mbali moja wapo ikiwemo...
  15. G

    Interview kwa walimu walio wahi kuomba kazi ajira PORTAL sector ya curriculm na assistasistant lecturer

    Habri Aliye wahi kuomba Tutor grade ii of english for NTA level 6 pale ajira PORTAL au curriculum developer ii pale TIE kupitia ajira PORTAL Naomba anisaidie nondo na jinsi maswali yanavyo toka au kama ana maswali na notes zilizopita naomba ani save 🙏
  16. Nyanda Banka

    Ajira ni mtihani

    Hakika tunaoishi kwa matumaini ya kusubiria ajira tunapitia changamoto sana asee, yani mimi ni wakupewa kibarua na mtu aliyeacha shule darasa la 5, hiki hakijaniuma sana kilichoniuma ni maneno yake kwamba shule nilienda kupoteza muda. Daah!!! Ni lini hizi dharau zitaisha jamani
  17. H

    SoC04 Ongezeko la watu isiwe tatizo ila iwe chachu ya kujiboresha katika nyanya zote muhimu ndani ya nchi

    Tanzania inazidi kuongezeka hasa Kwa idadi ya watu tulikuwa ml 60 kwa Sasa Kwa takwimu zisizo rasmi tunaenda kufika ml 67 hivyo tunazidi kuongezeka Kwa idadi ya watu ndani. Nchi yenye watu wengi duniani ni china na Kwa afrika ni nigeria.hizo nchi mbili tunaweza tumia kama mifano ya kutuimarisha...
  18. Crocodiletooth

    Ajira lukuki, heko ccm na serikali yake!

    Kampuni HOPE HOLDINGS ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na Maduka ya FLO, Bottega Verde, Flormar, Skechers, Defacto na LC Waikiki, imetangaza nafasi za ajira...
  19. Pionaire

    Asome kozi gani kati ya hizi ili kuendana na soko la ajira la sasa hapa nchini

    Habari wanaJF, Natanguliza shukrani. Kuna mdogo wangu kwenye haya matokeo ya mwaka huu mwezi wa pili ya kidato cha nne alipata ufaulu wa DIV 2 YA 18(CIVICS: C, HISTORY: B, GEOGRAPHY: C, KISWAHILI: B, ENGLISH: C, LITERATURE: C, CHEMISTRY: C, BIOLOGY: B, MATHEMATICS: D, PHYSICS: D). Alipangiwa...
  20. Tlaatlaah

    Poleni sana wasaka ajira, msikate tamaa

    inasikitisha sana, ina uma sana, na kwakweli inatia huruma na kukatisha tamaa mno, lakini daima usichoke wala kukata tamaa. kumbe ni hali halisi ya maisha na ukosefu wa ajira, ndio inawachochea na kuwavutia kujiingiza katika hali hizo za fedhaha na aibu kubwa kiasi hicho. pole sana rafiki...
Back
Top Bottom