Je wamjua Adui yako .
Kumbuka Wewe ni roho.
Roho haifi ,inaishi milele yote ,
Adui yako ni Mwili na Nafsi.
Mwili na Nafsi ni marafiki.
Mwili na Nafsi huenda kinyume na roho inavyotaka.
Mwili unapenda majivuno,mwili unapenda kula ili ushibe,mwili hupenda ubinafsi na vyote vya mwilini,mwili...