Ado Shaibu ni mwanasiasa kijana na maarufu nchini Tanzania. Anajulikana sana kwa nafasi yake kama Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ambacho ni moja ya vyama vikuu vya upinzani nchini humo.
1. Nafasi ya Uongozi (ACT-Wazalendo)
Ado Shaibu ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za kila siku za chama cha ACT-Wazalendo upande wa Tanzania Bara na Zanzibar (pamoja na viongozi wengine wakuu).
Amekuwa na mchango mkubwa katika kujenga ushawishi wa chama chake, hasa kupitia midahalo, maandamano ya amani, na mikutano ya hadhara.
Kabla ya kuwa Katibu Mkuu, amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama hicho, ikiwemo kuwa Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi.
2. Siasa za Hoja na Ushirikiano
Anajulikana kama mwanasiasa anayependa kujenga hoja kuliko kutumia lugha za matusi. Mara nyingi husikika akizungumzia masuala ya uchumi, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali.
Pia ni miongoni mwa viongozi wa upinzani waliounga mkono juhudi za maridhiano kati ya vyama vya siasa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, ili kuboresha mazingira ya kidemokrasia nchini.
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu ametuma tena Salamu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kulitazama suala la kupotea kwa Watoto kwa umakini zaidi.
Ado ameyasema hayo wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Mbogwe Mkoani Geita, Septemba 29, 2024.
Amesema...
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni kujiuzulu kutokana na kushindwa kudhibiti vitendo hivyo kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya ukatili nchini.
Shaibu ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Katoro, Wilayani...
Katibu Mkuu ACT Wazalendo Ado Shaibu akiwa kwenue mjadala wa X (Twitter ya JamiiForums) ametoa mchango wake kuhusu rushwa. Akitoa hoja hiyo anasema:
Tunatakiwa kuangalia vyama vyetu ya Siasa vina maslahi gani dhidi ya Rushwa, mfano huko nyuma Rais wa Awamu ya Tano aliwahi kutaka kurasimisha...
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.
Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.
Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia CCM.
Sasa...
Ado Shaibu: Aweka Wazi Wajumbe wa Sekretarieti ya ACT-Wazalendo.
UTANGULIZI
Jana tarehe 7 Machi 2024, Halmashauri Kuu ya Chama ya Chama cha ACT Wazalendo ilikutana kwenye kikao chake maalum kilichofanyika katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo katika Jengo la Maalim Seif (Makao Makuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.