Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,165
- 4,581
Mnatuzuga
una hamu ya kuwa Mjane?Natamani iwe kweli siku Moja tukio litokee kwenye mikutano ya CCM
Eh! Kwahiyo, tupo hatarini. Kesho mtu akiripoti tishio la ugaidi anaitwa polisi.Jeshi la Polisi Wilayani Tunduru limezuia ziara ya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu Wilayani Tunduru kwa madai ya vitisho vya ugaidi. Ado yupo kwenye ziara ya kuimarisha Chama kwenye Majimbo ya Tandahimba, Tunduru Kusini na Tunduru Kaskazini iliyoanza tarehe 30 Septemba.
Chanzo: ACT Wazalendo
Dah nchi ngumu hii, but suala la ugaidi ni zito tuwe wapole 🔨🔨Mnatuzuga
View attachment 2376427
mtu mweusi ana matatizo sanaMnatuzuga
View attachment 2376427
ungesema upuuzi wangu nini ningejua wewe sio mpuuzi kama mm vinginevyo nachelea kuamini kwamba wewe ni mpuuzi zaidi yangu.Huna akili mpuuzi mkubwa
Hyo imetokea wapiKuna siku itatokea kweli, nimekumbuka kile kisa Cha yule Kijana aliyeliwa na chui, Kila siku anawatania Wanakijiji kuwa analiwa na chui, Watu wanatoka na silaha wakifika hakuna kitu,...siku ya siku akavamiwa na chui kweli, akapiga kelele hakuna mwanakijiji aliyejitokeza akiamini ni mchezo wake ule ule ....ndio wanachofanya Askari wa CCm