Ado Shaibu ni mwanasiasa kijana na maarufu nchini Tanzania. Anajulikana sana kwa nafasi yake kama Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ambacho ni moja ya vyama vikuu vya upinzani nchini humo.
1. Nafasi ya Uongozi (ACT-Wazalendo)
Ado Shaibu ndiye mtendaji mkuu wa shughuli za kila siku za chama cha ACT-Wazalendo upande wa Tanzania Bara na Zanzibar (pamoja na viongozi wengine wakuu).
Amekuwa na mchango mkubwa katika kujenga ushawishi wa chama chake, hasa kupitia midahalo, maandamano ya amani, na mikutano ya hadhara.
Kabla ya kuwa Katibu Mkuu, amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya chama hicho, ikiwemo kuwa Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi.
2. Siasa za Hoja na Ushirikiano
Anajulikana kama mwanasiasa anayependa kujenga hoja kuliko kutumia lugha za matusi. Mara nyingi husikika akizungumzia masuala ya uchumi, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali.
Pia ni miongoni mwa viongozi wa upinzani waliounga mkono juhudi za maridhiano kati ya vyama vya siasa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, ili kuboresha mazingira ya kidemokrasia nchini.
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, amehoji hatua zinazochukuliwa na Serikali kutekeleza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya Namiungo wilayani Tunduru, akisema ahadi hiyo ilitolewa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Ado amesema Kata ya...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado ameshiriki Ibada ya Jubilei ya Miaka 25 ya Upadre ya Mhashamu Askofu Filbert Mhasi wa Jimbo Katoliki Tunduru Masasi iliyofanyika katika viwanja vya Kanisa la Mtakatifu Xavery Tunduru, Agosti 23, 2026.
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado amepokelewa kwa kishindo na shangwe kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika viwanja vya Baraza la Idd Tunduru Mjini, tarehe 23 Agosti 2026 kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Mkutano wa Bunge la Bajeti na kukusanya maoni kuelekea Mkutano wa Bunge ujao...
TAARIFA KWA UMMA
Nimewasilisha Bungeni mapendekezo ya masuala mawili muhimu kwa ajili ya kupangiwa muda na kushughulikiwa katika Mkutano wa Nne wa Bunge, unaotarajiwa kuanza tarehe 26 Agosti 2026.
1. HOJA KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Kwa mujibu wa Kanuni ya 64(1) ikisomwa pamoja na Kanuni ya...
Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hazina madhumuni ya dhati ya kuwapatia Watanzania Katiba Mpya.
Akizungumza katika Kongamano la Vijana...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amesema maridhiano ya kisiasa hayawezi kufanikiwa bila kuwepo kwa ukweli na uwajibikaji kuhusu matukio ya kisiasa yaliyotokea nchini.
Amesema hatua ya kwanza katika mchakato wa maridhiano ni kuweka wazi ukweli kuhusu matukio yaliyojitokeza kabla, wakati...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, akizungumza katika Jukwaa la Demokrasia lililofanyika leo Julai 9, 2026, amesema;
"Kwa sasa bungeni ni kama umewekwa utaratibu ambao haumo kwenye kanuni, lakini hakuna space ya kuzizungumzia. Hauruhusiwi ndani ya bunge kuzungumza juu ya utekaji...
Wakuu,
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina dhamira ya kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya, akisema hadi sasa hakuna hatua zozote zinazoonyesha utekelezaji wa ahadi iliyotolewa kuhusu kuanza kwa mchakato huo.
"Sasa mimi nawauliza, tangu tuapishwe...
Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu Ado, ameikosoa vikali CCM kwa ukimya wake kuhusu madai ya kutekwa kwa aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho na Balozi wa Tanzania, Humphrey Polepole, akidai hatua hiyo inaonesha unafiki wa kisiasa na kudhoofisha matumaini ya wananchi kupata...
Mbunge Ado Shaibu amesema akichangia Bungeni leo, Mei 19, 2026 amesema kuwa kati ya vitu ambavyo Jeshi linapaswa kuvilinda sana ni kutojihusidha na Siasa.
Hayo ameyasema akiwa Bungeni wakati akichangia hoja
Pia soma: ACT Wazalendo: Spika Zungu anatumia madaraka vibaya, amkalisha chini Ado...
Akizungumza Bungeni leo Mei 19, 2026, Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amezua mjadala kuhusu kucheleweshwa kwa malipo ya posho kwa Maveterani wa Vita vya Kagera
"Mimi jimboni kwangu, wazee hawa wapo. Wengi wao, umri wao ni baina ya miaka 70 mpaka 90. Vikongwe. Lakini taarifa nilizonazo...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ado Shaibu amependekeza kuwepo na kambi ya upinzani licha ya kuonekana kuna wabunge wa chache wa vyama vya upinzani akidai kukosa kambi ya upinzani bungeni kuna vitu vingi wanavikosa na kujikuta wanalazimika kufanya wenyewe
Ado ameyasema hayo leo wakati...
toa mwongozo na ufafanuzi kuhusu taratibu za bunge na mahusiano kati ya Kamati za Bunge na taarifa za CAG. Hapa kuna nukuu muhimu kutoka kwenye video hiyo;
"Wakati wa jioni Bunge lilipokuwa limerejea Mheshimiwa Ado Shaibu Ado Mbunge, alipata fursa ya kuchangia hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais...
Kwaiyo hao askari wanashindwa kujiongelea kwa anayewatuma kufanya upuuzi kwa raia :FeelsWeirdMan:
------------
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, ameuliza swali Bungeni leo Aprili 17, 2026 akitaka kujua Serikali ina mpango gani kuhakikisha kwamba, Askari nchini wanapata makazi...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria kufanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kama watu wote waliokamatwa katika matukio ya Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru, kama...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ado Shaibu amechangia Shilingi Milioni tatu katika harambee ya ujenzi wa Bwalo la Chakula na Ofisi ya Utawala katika Shule ya Msingi Jamhuri iliyopo Wilayani Tunduru.
Ado ametoa mchango huo kwenye harambee ya wazazi iliyofanyika shuleni hapo leo tarehe 13...
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema kukosekana kwa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kumeendelea kuwa chanzo cha wananchi wengi “kulia machozi ndani ya mioyo yao,” akiahidi kupigania mabadiliko hayo ndani ya Bunge bila kuchoka.
Ado alitoa...
Mbunge wa Jimbo laTunduru kaskazini akila kiapo Bungeni wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu wa Bunge leo Novemba 11, 2025.
Ikumbukwe Ado Shaibu ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani kutoka ACT-Wazalendo walioshinda katika kinyanganyiro batili cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.