Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.
Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.
Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia CCM.
Sasa...
Ado Shaibu: Aweka Wazi Wajumbe wa Sekretarieti ya ACT-Wazalendo.
UTANGULIZI
Jana tarehe 7 Machi 2024, Halmashauri Kuu ya Chama ya Chama cha ACT Wazalendo ilikutana kwenye kikao chake maalum kilichofanyika katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo katika Jengo la Maalim Seif (Makao Makuu ya...
Jeshi la Polisi Wilayani Tunduru limezuia ziara ya Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu Wilayani Tunduru kwa madai ya vitisho vya ugaidi. Ado yupo kwenye ziara ya kuimarisha Chama kwenye Majimbo ya Tandahimba, Tunduru Kusini na Tunduru Kaskazini iliyoanza tarehe 30 Septemba.
Chanzo: ACT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.