Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,127
- 30,476
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."
...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."
Mwaka huu wa 1950 Abdul Sykes akiwa Secretary wa TAA na mjumbe wa TAA Political Subcommittee, Abdul alikuwa na umri wa miaka 26.
Kijana mdogo sana.
Jomo Kenyatta alikuwa na miaka 56.
Jomo Kenyatta kazaliwa mwaka wa 1894 sawasawa na umri wa Kleist Sykes baba yake Abdul ambae alikuwa kafariki mwaka wa 1949.
Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha historia kama hii na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?
Kisha anatokea mtu anasema kuwa chama cha TAA kilikuwa chama cha starehe.
Ningeweza kueleza mengi katika uandishi wa historia ulifanywa na Chuo Cha CCM Kivukoni lakini tutosheke na haya.
Kila nipitapo mitaa ya Maktaba nakutana na kumbukumbu hizi.
Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.
Historia hii alinihadithia Mzee Ahmed Rashaad Ali tumekaa nyumbani kwake Ali Hassan Mwinyi Road tunazungumza.
Ahmed Rashaad Ali ni huyo kuliwa kwa Jomo Kenyatta.
Mzee Rashaad aliniomba nisimtaje jina katika kitabu cha rafiki yake Abdul Sykes nilichokuwa natafiti.
Wakati huo nilikuwa sijapata nyaraka hii ya Special Branch.
Siku nilipoletewa nyaraka hii nilinyanyua mikono juu kumshukuru Allah kwa kuthibitisha kile ambacho Mzee Rashad alinieleza.
Wakati huu Mzee Rashad alikuwa tayari keshafariki.
Huko tulikotoka miaka hiyo watu walikuwa wakihofu kueleza historia ya kweli ya TANU.
Hakika tumetoka mbali na leo ukweli umedhihiri.
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."
...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."
Mwaka huu wa 1950 Abdul Sykes akiwa Secretary wa TAA na mjumbe wa TAA Political Subcommittee, Abdul alikuwa na umri wa miaka 26.
Kijana mdogo sana.
Jomo Kenyatta alikuwa na miaka 56.
Jomo Kenyatta kazaliwa mwaka wa 1894 sawasawa na umri wa Kleist Sykes baba yake Abdul ambae alikuwa kafariki mwaka wa 1949.
Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha historia kama hii na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?
Kisha anatokea mtu anasema kuwa chama cha TAA kilikuwa chama cha starehe.
Ningeweza kueleza mengi katika uandishi wa historia ulifanywa na Chuo Cha CCM Kivukoni lakini tutosheke na haya.
Kila nipitapo mitaa ya Maktaba nakutana na kumbukumbu hizi.
Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.
Historia hii alinihadithia Mzee Ahmed Rashaad Ali tumekaa nyumbani kwake Ali Hassan Mwinyi Road tunazungumza.
Ahmed Rashaad Ali ni huyo kuliwa kwa Jomo Kenyatta.
Mzee Rashaad aliniomba nisimtaje jina katika kitabu cha rafiki yake Abdul Sykes nilichokuwa natafiti.
Wakati huo nilikuwa sijapata nyaraka hii ya Special Branch.
Siku nilipoletewa nyaraka hii nilinyanyua mikono juu kumshukuru Allah kwa kuthibitisha kile ambacho Mzee Rashad alinieleza.
Wakati huu Mzee Rashad alikuwa tayari keshafariki.
Huko tulikotoka miaka hiyo watu walikuwa wakihofu kueleza historia ya kweli ya TANU.
Hakika tumetoka mbali na leo ukweli umedhihiri.