Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,896
- 30,234
Naeleza mazishi yalivyokuwa kuanzia dakika ya 7.
Labda unaweza kujifunza kitu kitokana na historia hii ambayo kwa hakika ni historia ya watu wa Dar-es-Salaam na utamaduni wao na vipi historia hii ni sehemu muhimu sana katika historia kubwa ya Tanganyika.