Search results

  1. byembalilwa

    Katiba ya chadema imepitwa na wakati

    Kabla ya kuanza kudai katiba mpya , tunajukumu la kuanza kudai katiba ya chama chetu, hakika hii ya sasa imepitwa na wakati ina mfumo usiotoa uhuru kwa wanachama , Kiti cha mwenyekiti imekuwa nafasi ya kudumu , mfumo wa kupata uongozi wa matawi nao umejaa ukiritimba Katiba mpya ya Chadema ni...
  2. byembalilwa

    Upandishaji wa bei za bati na Alaf unaumiza wanachi serikali ichunguze

    Kumekuwa naongezeko la bei za bati kila mwezi hasa kampuni za Alaf na sunshare bila utaratibu. Tunaomba serikali ilitazame maana tunaoumia ni sisi wananchi. Waziri wa viwanda na tume ya ushindani tusaidieni wanyonge tunaumizwa na hizo bei.
  3. byembalilwa

    Matukio mengi ya kiserikali kufanyika Dar lengo la Rais litatimia?

    Nimeona kwasasa mikutano,warsha na hafla nyingi zikifanyika Dar es salaam hata hizi ofisi mbili(waziri mkuu na makamu wa Rais) ambazo tayari wamesha hamia rasmi Dodoma nao siku hizi shughuli zao zinafanyika Dar badala ya makao makuu Dodoma. Wasiwasi wangu ni kuongezeka gharama za uendeshaji...
  4. byembalilwa

    Naibu Spika amzuia Waziri Mkuu Majaliwa kujibu swali la barua ya KKKT

    James Mbatia alitaka kama Serikali inatambua kazi za taasisi za kidini na umihimu wa dini katika nchi,na Jana kuna barua imesambaa mitandaoni ikiwataka KKKT wajibu ndani ya siku kumi na ikidhaniwa kutoka Serikalini ,ni upi msimamo wa Serikali kuhusu barua hiyo? Naibu spika amesema kwasasa...
  5. byembalilwa

    Tetesi: Bakwata kusimamia ujenzi wa chuo kipya cha kiislam

    Msemaji wa mufti amesema ahadi iliyotolewa na waziri wa masuala ya dini wa Saudia Arabia kujenga chuo kikuu kipya cha kiislam nchini Tanzania ni mwendelezo na matokeo ya ziara ya mufti nchini Saudia Arabia. Swali, Bakwata hamna ardhi mpaka muombe serikali iwapatie ardhi?
  6. byembalilwa

    DODOMA: Kamati ya Bunge yabaini madudu mtumishi kulipwa TZS 96 million

    Leo kuna kabidhiwa ripoti ya kiuchunguzi ya uvuvi wa Bahari kuu na gesi asilia mbele ya Mh.Spika Job Ndugai ====== Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Bunge ya Gesi Asilia, Dunstan Kitandula amesema wamebaini madudu yanayoisababisha Serikali hasara ya Sh291bilioni sawa na bajeti ya wizara nne...
  7. byembalilwa

    TRA yaahirisha mnada wa kuuza kontena za Makonda pamoja mali nyingine zilizokaa bandarini muda mrefu

    Katika tangazo lake kupitia Azam News, mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imesitisha mnada wa kuuza kontena za Makonda pamoja na mizigo mingine mpaka pale itakapotangazwa vinginevyo.
  8. byembalilwa

    ATCL: hakuna bonbadier mbovu

    Kulikuwa na habari za upotishaji dhidi ya kampuni ya ATCL kuwa ndege yake ni mbovu na imepakiwa mwanza jambo ambalo sio kweli.
  9. byembalilwa

    MC Pilipili acha kulilia mwanamke, unatuaibisha Wagogo

    Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
  10. byembalilwa

    Faida ya benki ya CRDB yashuka ,wanahisa wapata gawio nusu ya mwaka jana.

    Faida ya Benki ya CRDB imeshuka kutokana na mikopo isiyolipika. Ni nini tatizo wakati uchumi unakuwa? Karibu tujadili
  11. byembalilwa

    Ruhaga Mpina kwenye hili la uvuvi haram kubali kasoro zilikuwepo.

    Pamoja na kazi nzuri ambayo wizara yake imefnya lakin katika jambo la kushangaza jana nilimsikia Mh.Ruhaga waziri wa mifugo na uvuvi akitamka bayana kuwa zoezi la operation sangara halijatia watu umasikini! Na akijaribu kuuliza kuwa wapi ama kijiji gani watu wametiwa umasikini ( hapa majina ya...
  12. byembalilwa

    Ajira za wageni nchini: Serikali yatoa msimamo wake

    Ajira zote za wageni nchini Tanzania ni kwa nafasi zile za kitaalam tu ambazo Watanzania hawana uwezo nazo na hatujaacha wazi, tumeweka ukomo kuwa ni wageni watano tu kwa kila taasisi ndio wanapata fursa ya kuajiriwa ndani ya nchi". Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa. Chanzo: ITV
  13. byembalilwa

    Wakuu naombeni ushauri ninunue gari ipi kati ya hizi ,Toyota Rav4 new model au Vanguard

    Nimejichanga mbali na vyuma kukaza nahitaji kutimiza ndoto yangu mwezi ujao ila bado nipo dilemma katika kufanya maamuzi maana gari zote hizi nazipenda ,Toyota Rav4 new model na Toyota vanguard Hizi gari nimeziangalia kwa mda zote zinaonekana kuwa na sifa zinazofanana hasa katika upande wa Cc...
  14. byembalilwa

    Kesi ya Bilionea Msuya: Licha ya mateso ya Polisi bado mshitakiwa akana kuwa na ukaribu na Chussa

    Moshi. Mshtakiwa wa kwanza, Sharifu Mohamed ameiambia mahakama kuwa hajawahi kukutana gerezani na mfanyabiashara Joseph Mwakipesile maarufu Chussa na kupanga mauaji ya Erasto Msuya. Mbali na kukana kuwa na ukaribu na Chussa, aliyakana pia maelezo ya kukiri kosa yanayodaiwa kuwa ni ya kwake...
  15. byembalilwa

    Rais Magufuli awaambia wananchi wa Morogoro wajifunze kuchagua

    Mh.Rais kasimamishwa na watu wakati akielekea ziarani Morogoro, wananchi hao wamemsimamisha huku wakiwa na mabango yanayoonyesha mahitaji na matatizo yao, miongon mwa kero ni kutosajiliwa kwa shule ya kijiji ambayo ipo darasa la tano. Katika kujibu kero zao ametoa kiasi cha milioni tatu na...
  16. byembalilwa

    Mh.Rais umeharibu malengo yangu na familia yangu

    Kiukweli baada ya kusikiliza hotuba yako ya jana na kuahidi kutoongeza mshahara mpaka utakapotoka madarakani, huku baadhi ya makada wa chama chako wakitaka uongezewe muda japo ulikanusha. Jana mimi na familia yangu imetubidi tupange upya namna ya kuishi na hiki kipato kidogo. Baadhi ya mambo...
  17. byembalilwa

    IPP punguzeni udini

    Najua wengi mnafahamu hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Dr. Mengi, hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigumu sana iwe hata kazi ndogo ndogo. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi. Kumbukeni vituo na...
  18. byembalilwa

    Nahitaji sim aina ya Techno phantom 8 plus

    Yeyote mwenye sim hiyo used in a good condition aje pm
  19. byembalilwa

    RC Mnyeti atengua agizo la Kigwangalla la kuwataka wakazi wa Kimotoro mkoani Manyara kuhama eneo la hifadhi

    Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti ametengua agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla la kutaka wakazi wa kaya 3000 wa kijiji cha Kimotorok Wilayani Simanjiro mkoani Manyara kuhama eneo la hifadhi. Kigwangala alitoa alitoa miezi 9 mnamo...
  20. byembalilwa

    Sheria inasemaje kuhusu mhusika anayekamatwa na madawa ya kulevya kwenye vyombo vya usafiri?

    Gari likisafirisha madawa ya kulevya au samaki wasiotakiwa mwenye gari anapigwa faini ila kwenye ndege ukikutwa na madawa ya kulevya ndege haipigwi mnada adhabu inamlalia msafirishaji
Back
Top Bottom