KWELI NGOMA IKILIA SANA MWISHO HUPASUKA.
HIZI TUHUMA ENZI ZA NYUMA TULIJUA UMBEA NA CHUKI, SASA NIMEAMINI BAADA YA MKUU WA WILAYA KUAGIZA MKUU WA SHULE HII KUSIMAMISHWA KAZI NA KUPISHA UCHUNGUZI. SIJUI, LABDA NA MKUU WA WILAYA NAYE ANA CHUKI, LAKINI NAAMINI HAJAKURUPUKA.
Nawasalimu!
Nina mgodi, nahitaji kuuza madini nchi za nje japo sijawahi na sijui bei zake. Naomba mwwnye kujua anisaidie kujua bei ya gram moja ya dhahabu ni dola ngapi???
Natanguliza shukrani
Nahitaji kununua gari toka Zanzibar na kulileta Bara. Naomba mwenye kujua anisaidie utaratibu wa kodi na usajili. Je, ni process zile zile kama za kuimport toka Japan?
Nawasilisha
Nitashukuru kwa msaada
Nakukaribisha kwenye kampuni yetu:www.kalumbilo.online tutakuagizia kwa bei nafuu. Tractor zilizopo toka kwa washirika wetu ni pamoja na Massey, New Holland, Ford, Fiat, International, John Deere na kadhalika. Karibu ofisini kwetu Quality Plaza Dar es salaam au piga simu...
Unaweza kupata gari safi sana toka kwa mtu ila ni chache sana! Nyingi huwa na ubovu uliojificha, hata kama utatafuta fundi mkaguzi. Siku chache itakusumbua.
Binafsi nina uzoefu na kuagiza Japan, na ninayo kampuni maalumu ya kuhudumia watu wanaohitaji kuagiza lakini hawawezi wao wenyewe au kama...
Nawasalimu wadau!
Naomba mwenye kujua ni tawi gani la CRDB ambalo linafanya kazi hata leo siku ya sikukuu ya mapinduzi.
Nauliza kwa hapa Dar es Salaam tu.
Tumesajiliwa Brela na kupewa Certificate of Incorporation no 116636, Tunayo TIN na tunalipa kodi.
Tupo Quality Plaza, 2nd Floor, West Wing, along Nyerere Road.
P.o.box 100007,
Dar es Salaam.
+255-684-454-441
Wapo watu tuliowahudumia na tunaendelea kuwahudumia, tumewaweka na tunaendelea kuwaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.