K Konzogwe JF-Expert Member Feb 24, 2008 434 156 Jan 12, 2016 #1 Nawasalimu wadau! Naomba mwenye kujua ni tawi gani la CRDB ambalo linafanya kazi hata leo siku ya sikukuu ya mapinduzi. Nauliza kwa hapa Dar es Salaam tu. Last edited by a moderator: Jan 12, 2016
Nawasalimu wadau! Naomba mwenye kujua ni tawi gani la CRDB ambalo linafanya kazi hata leo siku ya sikukuu ya mapinduzi. Nauliza kwa hapa Dar es Salaam tu.
Pascal Mayalla Platinum Member Sep 22, 2008 53,770 121,822 Jan 12, 2016 #3 CRDB tawi la Vijana na Mlimani City
Dumbuya JF-Expert Member Jan 23, 2014 596 878 Jan 12, 2016 #4 Kibo Complex - Tegeta Kibaoni..Ogopa sana Mlimani City kama unaenda bulk cash utarudi na uzi wa majanga!!
Kibo Complex - Tegeta Kibaoni..Ogopa sana Mlimani City kama unaenda bulk cash utarudi na uzi wa majanga!!
K Konzogwe JF-Expert Member Feb 24, 2008 434 156 Jan 12, 2016 Thread starter #6 Asanteni wakuu! Nataka nikalipe ada ya mtoto